Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Hellow habar mkuu nimesoma na nikavutiwa na ushauri wako sijui unapatikana wap au u a number

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuj upo wapi nataka mkaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipigie 0657316399

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mchana wakuu...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita baada ya kuhitimu nikiwa nasubiri post za chuo mlezi wangu amenipa kiasi cha tsh laki moja...sasa sijajua nifanye biashara ipi kwa mkoa wa dar ninàkoishi naomba msaada wa mawazo wakuu....
 
Habari wakuu...
Nina laki moja biashara gani...ninaweza fanya kwa mkoa wa dar mm n mhitimu wa kidato cha sita
 
Nguo za wadada/watoto

Matunda mchanganyiko (yale ya kwenye kikontena kidogo)

Maji ya kunywa ya kuuza..

Na zinginezoo........

Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…