Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kweli wazungu wanajua kucreate wajinga akilini mwao
 
U dont know anything about me, Robert Kiyosaki kwny Rich Dad, Poor Dad alisema "Most of poor people are poor because they CRITICIZE instead of ANALYZE". Uwe na asubuh njema mrs sam.
Nilianza network since 2015 till now nothing despite of working hard on them
 
Nilianza network since 2015 till now nothing despite of working hard on them
Pole kwanza, pengine hukua sehem sahihi au hukua trained vizur. Quitting haitakusaidia, take your time and do some research kuhusu AIM Global au nichek (0659426390) nitakusaidia kukufafanulia, kama ulishawah kujihusisha na network marketing before utakubaliana na mimi kua this one is very different na nyingne ambazo ushawah kuzisikia.
 
Siku ukitengeneza milion 10 kutoka global ndo na mimi nitajiunga otherwise ngoja niendelee na mgahawa wangu napata faida elf 15 kwa siku si haba
 
udalali wa vitu gani,na atapataje hivyo vitu au itambidi azunguke kuulizia vitu vya kuvidalalia ili kujiridhisha na akisha jiridhisha atafute wateja?
 
Kuwa makini wengine wanakubal then wanakutapeli
 
mke wangu ameniudhi leo amenunua kreti za bia 25 kwa sh 9000@ alitaka kufungua grocery then akaghairi leo kaziuza hizo kreti kwa 7000@
 
Kwa mtaji Huo ni Biashara Gani yeyote inaweza fanyika kutunzia na kukuza mtaji wakati Huo huo kupata Hela ya kula kwa hapa Dsm.Ushauri positive unakaribishwa
 
Wadau naomba mwenye kunipa idea

leo katika tembe tembea zangu mtaani, nimegundua kuna sehem kuna bar na groceries nyingi sana zimerundikana sehemu noja na kila moja nimeona ina wateja wengi!

sasa swali langu ni je, kuwa na groceries na bar nyingi sehemu moja ni indicator ya fursa gani za kibiashara maeneo hayo tofauti na bar, grocery na chips?
 
Hapo kuna fursa za mbunye bei poa na ushetani mwingine
 
Habari ndugu

Napenda sana kupata michanganuo ya biashara na mitazamo tofauti kutoka kwenye akili za watu wengi kadri inavyowezekana. Issue ni kupata michanganuo ya biashara ya mtaji wowote ili tu kujikwamua na hili life.

Tafadhali orodhesha baadhi ya biashara ambazo unadhani ni vema kuifanya kwa sasa na itaweza kukulipa. Tafadhali usizingatie sana mtaji hii ni kwa mtu yeyote, mwenye kipato cha chini, kati na cha juu kabisa.

KARIBU!!
 
1. Uza juice ya miwa
Mtaji ni mashine (zinatengenezwa buguruni sheli), ndoo 2, glass kama 5, mirija, na barafu 1500, miwa mzigo 1@ (10000-15000) tandale, kama uko dar lkn
Ukitafuta Center nzuri watu wanpanga folen kusubiri.

2.Mikoba ya kike na mabegi mtumba
Inapatikana sana chang'ombe kwenye magodown, mikoba standard bell mixer na mabegi ya mgongoni sh 350000 ukiuza unapata 45000-500000

3.Kunenepesha ng'ombe na kuuza (wale walioko Arusha,shinyanga, Mwanza na maeneo mengine yenye mifugo mingi)
nk
 
Naomba ufafanuzi mfupi na kwa kina zaidi hapo
Ukiwa kwenye mikoa yenye ng'ombe wengi kama aliyotaja mtoa mada , unatafuta eneo zuri la kutunzia ng'ombe then unaingia vijijini unanunua ng'ombe waliodhoofu(waliokonda) wanauzwa bei ndogo sana.sababu ya muonekano wao, unaweza kuwanunua hata 100,000#kwa mmoja.ukiwafikisha kwenye eneo uliloandaa,unaanza kuwalisha kitu kinaitwa mashudu,unawapa na maji,chakula hicho kinawafanya wanenepe haraka na kuwa na maumbo makubwa.then unawasafirisha mpaka dar na kuuza kwa bei nzuri sana. Kama mtaji bado mdogo unaweza kuwanenepesha then ukamuuzia mtu akayesafirisha kupeleka dar. Maana kusafirisha ng'ombe gharama yake sio ya kitoto Lakini ukimuuzia mtu faida yake sio kubwa sana kama vile utakavyosafirisha mwenyewe .kwa kuanzia unaweza ukamuuzia mtu mwingine awasafirishe then mtaji wako ukiwa vizuri unaanza kusafirisha mwenyewe inalipa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…