Mkuu hii biashara itamuingizia pesa na atakula kupitia biashara hiiKula Haipo humo ndugu
Ahsante sana mkuu.!Tupa,maeneo mengi ya jiji la Dar es salaam chips zinaliwa kuliko chakula chochote kile,kama hapa kinondoni unaweza ukakuta
Mabanda kama matano yamefuatana na biashara ni murua fedha zinapatikana...ni wewe tu na utajari na ubora wa huduma bila kusahau usafi...mishkaki ndio kiburudisho....mwisho kuwa mbunifu..
Kila la kheri ktk kuwauzia chips
Ahsante mkuu kwa ushauri.Ngoja nakuja sasa hivi. Unatakiwa ununue mashine ya risit TRA, n laki nane
Ukishanunua lesen ya biashara n elfu hamsin
Baaada ya hapo eneo LA kupanga kodi n laki kwa mwe z na unatakiwa ulipe miez sita...
Jaribu kuongeza mtaj ufike million 2
MmmmhUsifungue mkuu kula bata
BabyMmmmh
Karibu tenaaa..Ahsante sana mkuu.!
Ahsante mkuu, nitajaribu kufanya survey kwa hayo maeneo.!Kunduchi mtongani au sala sala magengeni
Kila MTU akifuga kuku nani ata nunua wa mwenzie???Ufugaji wa kuku naona unalipa
Asante kwa ushauriMkuu hii biashara itamuingizia pesa na atakula kupitia biashara hii
Cha msingi ajue jinsi ya kufanya biashara na kutunza pesa
Asiweke starehe mbele atapotza
Huli? Emergency??Nauli ni Tshs. 80,000/=kwenda na kurudi,guest siku Moja 20,000/=
nakuja kuuza kwa jumla
Inasikitisha sana kuona watanzania wengi hawapo tayari kutake risk,, hawatoi ushauri mzuri kwa vitu vya maendeleo and they are always hoping for the worse to happen!!!Mi nlivojifunza hadi sasa, ukiomba ushauri juu ya biashara lazima ukatishwe tamaa, lazima uambulie negativity...
Asante kwa ushauri nduguInasikitisha sana kuona watanzania wengi hawapo tayari kutake risk,, hawatoi ushauri mzuri kwa vitu vya maendeleo and they are always hoping for the worse to happen!!!
Ili ufanikiwe ni lazma uwe risk taker.....ukiomba sana ushauri kwa bnadam wa sasa hautokaa uanzishe biashara yeyote!!!
Mkuu, we uskilize moyo wako tu,, Kumbe kuwa safari ndeefu huanzishwa na hatua moja tu
Inakera....Inasikitisha sana kuona watanzania wengi hawapo tayari kutake risk,, hawatoi ushauri mzuri kwa vitu vya maendeleo and they are always hoping for the worse to happen!!!
Ili ufanikiwe ni lazma uwe risk taker.....ukiomba sana ushauri kwa bnadam wa sasa hautokaa uanzishe biashara yeyote!!!
Mkuu, we uskilize moyo wako tu,, Kumbe kuwa safari ndeefu huanzishwa na hatua moja tu