Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Habari wadau wa JF nipeni ushauri mana vyuma vimekaza mtaan. Nina laki 3 nataka kufanya biashara ambayo kwa mwezi itakuwa na return ya million moja. Nipo Moro kwa sasa ila nafanya biashara popote..
Maoni ya wengi yanalenga kukukatisha tamaa
usiwasikilize angalia mbele..
njoo PM
 
Nunua smartphone anza udalali and promote on social media. Anza na ma appartments. Network na other dalalis.
 
Nashukuru kwa maoni yenu hasa yale ya kujenga. Bado natafakari maana maisha haya yamekuwa kama kaa la moto
 
Back
Top Bottom