Hyo ni bahati nasibu kupata au kukosa mana kupigwa ni 70%Hahahahah beti game moja moja ukiotea game tatu tu kwa siku utakuwa umefikisha lengo la milenia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo ni bahati nasibu kupata au kukosa mana kupigwa ni 70%Hahahahah beti game moja moja ukiotea game tatu tu kwa siku utakuwa umefikisha lengo la milenia.
Kweli ww kijana wa leoAnza kubet, weka team moja tu ya uhakika kila siku weka laki 2 stake, baada ya week moja utakua na zaidi ya milioni 2.
Kwa huu uchumi wa sasa forex is the only choice.... Tafuta nyuzi za ontario humu ziko kama tatu hivi pitia utapata mwanga...Habari wadau wa JF nipeni ushauri mana vyuma vimekaza mtaan. Nina laki 3 nataka kufanya biashara ambayo kwa mwezi itakuwa na return ya million moja. Nipo Moro kwa sasa ila nafanya biashara popote..
Thanx sanaaKwa huu uchumi wa sasa forex is the only choice.... Tafuta nyuzi za ontario humu ziko kama tatu hivi pitia utapata mwanga...
Labda akauze maji anaweza tokaM1 kwa mwezi labda ipo ila unataka kufika mbali kwa mda mfupi kwa nguvu ndogo
Sasa kwa zama hizi za magu utauza nini cha faida kiasi hicho? Zaidi labda uuze mama ntilie ambayo hio pesa haitoshi.Hyo ni bahati nasibu kupata au kukosa mana kupigwa ni 70%
Mkuu naomba nije pm unielezee hiyo forex inafanywajeOnly FOREX can give that amount per month
Labda akauze maji anaweza toka
Soma nyuzi za Ontario, google, youtubes n.k n.k about forex business.Hii forex nimeisikiai ila bado cjaifahamu vizur. Ila ningepata elimu kidogo ya kuanzia ningeshiriki
Hamna kitu kama hicho nilishajiunga na hio kitu lkn hamna loloteKuna uzi niliuona huku kwamba unalipwa kwa kuangalia matangazo mtandaoni, hivyo hiyo jiwe tatu nunua laptop alafu tafuta ule uzi upate maelekezo uanze kuingiza mijihela.