Daaa mkuu kwa sasa nimechoka hadi mwili unauma si utani. Zege si mchezoLaki mbili ndogo piga zege tena uongeze kamtaji angalau kilo tano
Mahindi ya kuchoma au ?kilimo tu nenda Mpwapwa-chinyika nunua mahindi then kauze dodoma mjini
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Agiza dagaa waliokaangwa kutoka mwanza kisha uza hapo dodoma.
Tarutilya omokanda waito otakalosahye!
Wazo zuri be blessed bro.Kutokana na msimu uza nguo za chrismass pitisha kwa watu maeneo ya ukonga hasa za watoto ikifika mwaka mpya badilisha nenda uniform utachanganyikiwa na faida
Kama upo Dodoma hivyo ni fursa kuwa Dodoma nakupa idea [emoji362] [emoji362] moja ambayo hutopata tenaHabari zenu ndugu,Nipo dodoma , nina mtaji wa laki mbili (200000) nimefanya kazi ngumu hadi kuupata ikiwa ni pamoja na kubeba zege na kuchimba mitaro.
Kwa wale wajuzi wa maswala ya biashara nipeni msaada wa wazo la biashara .japo nipumzike na mimi na hizi kazi ngumu .
Na mungu awabariki
Uko wapi
Sawa ukiuliza masuala kama haya uweke eneo ulilopo ili watu wa eneo hilo wakupe fursa au aina ya biashara inayofaa hapo ulipo.nipo iringa
Sawa ukiuliza masuala kama haya uweke eneo ulilopo ili watu wa eneo hilo wakupe fursa au aina ya biashara inayofaa hapo ulipo.
INSPIREDNgoja nitoe kaushuhuda kadogo.
Nakumbuka mwaka 2013. Kaka yangu alinifata home akaniambia mdogo wangu nina shida ya pesa ya mtaji.
Nilishangaa sana nikamwambia mimi sina pesa ya Mteja kaka.Akaniambia nina wazo la biashara mtaji wake ni sh 50,000/= Nipe leo ndani ya siku 3 nitakurudishia sh 60000/=.Niwe mkweli mimi ni muislam nikamwambia hiyo riba, nilipe sh 50,000/-= kama unanipa sh 60,000/= unanipa kama mdogo wako. Pia nikampa sharti hii pesa nimeiweka niongeze , kwa ajil ya kulipa kodi akaniambia usijali wazo langu nimelifanyia kautafiti.
Basi nikampa ile pesa. Jamaa ajafanya ajizi kaenda kufanya michakato ndani ya siku 3 akanilipa ile pesa na +10,000/=
Toka mwaka 2013 hadi leo jamaa amebadil maisha yake.
Mwaka 2015 mwezi january kanifata home kipindi iko nimekaa mtaani sina kazi nimemaliza chuo ( 2013).AKaniambia mdogo wangu kuna milion 3 kama unawazo la biashara njoo uchukue ufanye utarudisha kidokidogo.
Nikawa natafuta wazo la biashara ili nisipoteza pesa za bro.milion 3 kubwa sana nisikurupuke nitaipoteza.Mungu mkubwa ndani ya muda huu nikapata kazi.nikamwambia kaka ebu ngoja nikapambane na jasho langu.Yeye sasa ana nyumba ,nimesema nyumba ya maana usifikiria kajumba na ana biashara imara hata mimi namuogopa
KWA NINI NIMESIMULIA HILI JAMBO.
Ni hayo tu.
- Unapotaka kuanza biashara usiwaze kuwa na mtaji mkubwa ndio utafanikiwa
- Wazo la biashara ni jambo kubwa sana linakufanya uwe huru kuendesha biashara husika
- Utayari na kujitoa huleta mafanikio makubwa sana
- Tuwe wavumilivu na uaminfu ktk biashara
JF ni mahali salama kupita mitandao yote ya kijamii Tz.Mungu ibariki /wabariki JF, Uongozi wa JF na wajumbe wa JF.
Sihitaji kujihusisha na kilimo mkuuKodi shamba lima
Nenda mtumbani nunua vinguo vizuri vya wadada... Fua, ikibidi pasi, halafu uza chuoni. Pitisha kila chumba huko hostelMie ni mwanafunzi but niliomba msaada kuhusu kusaidiwa nianzishe biashara ipi kwa mtaji Wa laki moja kwakua naitaji kufanya biashara huku bado naendelea na masomo naombeni mnipe ujuzi jamani