Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kama upo Dodoma hivyo ni fursa kuwa Dodoma nakupa idea [emoji362] [emoji362] moja ambayo hutopata tena

Dodoma kuna chuo kikwubwa kinaitwa Udom sasa chakufanya tengeneza Karanga za mayai then utembeze chuoni apo college adi college, block adi block, room adi room, we akikisha unatengeneza Karanga sichini ya miatano (500) hivyo ukiuza Karanga moja kwa miatano jumla zote utapata 250000

NB: minimtumiaji wa karanga izo sana hivyo sehemu nazonunuaga zinaishaga fasta tu wakireta zinaisha tena fasta kwaiyo soko lipo kingine nilimuhoji Dada mmoja hivi ambaye anauza hizi bidhaa alinambia kwamba yeye anauzauza college moja tu anayosoma hivyo kwasiku anaweza pata ata elfukumi nahuyu dada ajaifanya hii kazi serious kwasabu sijawai muona akipitisha room napoishi mimi hii inamaana ukifanya serious hii shunguri ndani ya mda mchache utapata mtaji wa kutosha wakufanya bossiness zingine kubwa
 
Mimi niko Dar mbagara Nzasa (charambe) nina laki 6 nifanye biashara ipi...... Nilitegemea matunda haswa embe dodo ila mwaka huu embe hamna kabisaaaa.
 
INSPIRED
 
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa biashara ya nafaka hapa Dar anijuze kuhusu upatikanaji wake na usafirishaji
 
Mie ni mwanafunzi but niliomba msaada kuhusu kusaidiwa nianzishe biashara ipi kwa mtaji Wa laki moja kwakua naitaji kufanya biashara huku bado naendelea na masomo naombeni mnipe ujuzi jamani
Nenda mtumbani nunua vinguo vizuri vya wadada... Fua, ikibidi pasi, halafu uza chuoni. Pitisha kila chumba huko hostel

Ina faida sana. Unanunua nguo elfu 2 unauza kuanzia elfu 10.

Nunua na chupi bei ya jumla, uza pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…