hata hivyo hana muda mrefu hivyo anaweza kuwa hana uzoefu wakutafuta taharifa za nyuma zilizopo humuTupunguze "uvivu" kidogo, mkuu pana nyuzi nyinyi sana humu za wenye mtaji yao wanaomba ushauri wa 'bihashara' hebu uitafute humu humu jukwaani itakupa mawili matatu ya kuanzia
Samahani rafiki hivi ni kuhanzisha ama kuanzisha? Angalia heading vena ukarekebesha spellingsHbr ya uzm wana Jf
Nina mtaji wa sh 300,000
Naomba ushaur wenu nifanye bihashara gn niko kahama
na mimi nilitaka kulisemea hilo ila alipomaliza kwa kusema alipo nikaelewa (kahama)...Samahani rafiki hivi ni kuhanzisha ama kuanzisha? Angalia heading vena ukarekebesha spellings
Naomba mnisameh wapendwaHbr ya uzm wana Jf
Nina mtaji wa sh 300,000
Naomba ushaur wenu nifanye bihashara gn niko kahama
Asante kwa wazo zuriAnza na mpunga unakoboa unauza mchele
Mbona hujalike kama Ni wazo zuri kweliAsante kwa wazo zuri
Sasa na wewe ndio umeandika vitu gani?Samahani rafiki hivi ni kuhanzisha ama kuanzisha? Angalia heading vena ukarekebesha spellings
Yaani sijui tukoje ilikuwa ni kumuelimisha tu na kumsaidia mawazo ya suala lake. Tuache ujuaji.Acheni kejeli nyie mnaojiona wasomi,kwani kumuelewesha mtu kuna shida gani?nyie wenyewe mnajua kabisa hali halisi ya elimu ya nchi yetu, nae hajapenda kuwa hivyo ila ni elimu kandamizi ndio imemsababishia hiyo lugha
Tyiping error hayo maneno yalinichefuaSasa na wewe ndio umeandika vitu gani?
Heshima kwako mkuuYaani sijui tukoje ilikuwa ni kumuelimisha tu na kumsaidia mawazo ya suala lake. Tuache ujuaji.
*Mchango wangu(Nitauweka kwa ujumla) *
-Sijajua upo maeneo gani, Fikiria biashara ya chakula kama mihogo au viazi vitamu (vyakula aina hiyo)maeneo yenye watu wengi kama stendi. Fanya katika usafi pia mtafute kijana msaidiane.
Kila la kheri
Wewe hanzisha tu
Ujuaji mwingi kumbe empty setTyiping error hayo maneno yalinichefua
Hahahaha.Samahani rafiki hivi ni kuhanzisha ama kuanzisha? Angalia heading vena ukarekebesha spellings