sio rahisi kama unavyodhani unaweza kununua balo ikala kwako isee..
Hello....wakuu wangu poleni na majukumu ya kila siku .... IRINGA DECOR bado tunaendelea na ofa ya furniture mbalimbali katika msimu huu wa Xmas na mwaka mpya ....tutaendelea kutuma bei zetu rafiki kwa mtanzania wa kawaida .... Zifuatazo ni bei za makabati ya jikoni( kitchen cabinets) ,zikifuatiwa na bei za milango [emoji95]BEI ZA KITCHEN CABINET KWA MSIMU HUU WA XMAS NA MWAKA MPYA -Mbao aina ya mninga au mkongo [emoji91]940,000/=Huu Uzi nimeupenda
1. Glass za kawaida 800 utauza 3000 adi 5000
2. Glass za 3d na 5d 4000 utauza 10000 na 15000
3. Makava ya kike na kiume clasic 4000 utauza 10000 na 15000
Hello....wakuu wangu poleni na majukumu ya kila siku .... IRINGA DECOR bado tunaendelea na ofa ya furniture mbalimbali katika msimu huu wa Xmas na mwaka mpya ....tutaendelea kutuma bei zetu rafiki kwa mtanzania wa kawaida .... Zifuatazo ni bei za makabati ya jikoni( kitchen cabinets) ,zikifuatiwa na bei za milango [emoji95]BEI ZA KITCHEN CABINET KWA MSIMU HUU WA XMAS NA MWAKA MPYA -Mbao aina ya mninga au mkongo [emoji91]940,000/=
BEI HII INAHUSISHA VITU VIFUATAVYO SIZE .Mita moja ya Kabati la chini na Kabati LA juu yote kwa pamoja , pamoja na marble **940,000/= kwa kila mita moja [emoji95]MDF PINE 525,000/= BEI HIYO INAhusisha mita moja Kabati LA chini na juu pamoja na marble [emoji91][emoji91][emoji91]MILANGO NA FREM ZAKE *MBAO ,MNINGA AU MKONGO 350,000/= *MBAO ..ZINGNEZO 265,000/= *JOINED BORD 325,000/= KWA HUDUMA ZA KITCHEN CABINETS TUNAKUFUATA MTEJA MPAKA ULIPO....milango tunafikisha mpaka ulipo kwa gharama zetu
KARIBUNI SANA KWA BIDHAA ZETU ZENYE UBORA WA HALI YA JUU Call/text/WhatsApp. 0657888724
Unaweza ukanielekeza hili chimbo mkuu vinapotikn kwa bei hizoNenda kariakoo, nununua sox dazani moja shs 6000, ww unauza unauza buku kwa pair, au nunua chupi za kike dazani kwa shs 12000, ww unauza dazani kwa shs 24000
Ballo la Nguo za watoto grade A linapatikana kwa shilling ngapi mkuuHakuna biashara isiyo na changamoto,nina uzoefu wa kutosha kwenye hii biashara na si risk kama zingine.....haikupi mawazo kwani haiozi isipokuwa inahitaji juhudi na ushawishi tu.
Niko moshiUza simu huko uliko wana funzi wa o level Had I Advance bado wanahitaji simu? Uko WAP nkuelekeze biashara ya kuuza matunda KWA kuyapack KWA coco ungepata sana hela
Sent using Jamii Forums mobile app