Smokey D
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,632
- 2,108
Wekeza kwangu ila kila mwezi 40$ dollar ndani ya miezi sita tu baada ya hapo nakupa 300k yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Forex hata mimi natradeWekeza kwangu ila kila mwezi 40$ dollar ndani ya miezi sita tu baada ya hapo nakupa 300k yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda boda ya Namanga au Tarakea kanunue pombe za viroba kutoka kenya,unakuja kuuza bongo kwa kulangua...ukifanya ndani ya miezi mitatu utaongelea mtaji wa milioni unusu piga hesabu sasa kama.miezi mitatu mtaji umekua mara 5 mwaka je? ila angalizo wazee wakikudaka usiseme kama mi ndo nimekuambia uende hukoSalamu Wakuu
Naomba ushauri wenu Wakuu nina laki tatu Cash ni biashara gani naweza kufanya ambayo hahiitaji uwepo wangu sana hata kama inahitaji sawa tuu kwa mtaji wangu huu
NB
Bado ni mwanafunzi wa A level
Sent using Jamii Forums mobile app
Dumu moja sh ngapi?*Agiza dumu mbili za Asali toka tabora au singida
*Tafuta vifungashio (chupa 40 max). Kimoja chaweza 350 - 500
* bei yaweza anzia 10,000 - 12,000 kwa lita
Sent using Jamii Forums mobile app
120000kilo 20
Ni kuwa makini tu.sio rahisi kama unavyodhani unaweza kununua balo ikala kwako isee..
Hii biashara nimefanya inalipa sana ila usiwe mtu wa mademuBiashara ya chips hyo sehemi ya kuuzi unalipa kiasi gani?kabati la kuuzia unalo ,viazi unajua ndoo bei gani naona km laki 2 itakuwa ndogo
Mzee umefikia wapi kwenye ili wazo lako!Bi bonge ya idea..Natamani kufanya biashara za online, nitengeneze website ambayo nitafanya booking za mabus ya mkoani so nilikuwa nataka kujua changamoto zake kama mtu ana experience yeyote ya hiyo biashara?
hehehe aisee wewe unataka kumpotezea mwenzio hata hako ka laki 2 kake.
Tupe mrejesho wa Alliance...I disagree with u, mistake kubwa watu wanafany ni kujoin kipind ishakaa sana na apo ndo kwnye risk kubwa kwa sababu network marketing after some time ina-collapse. Alliance In Motion Global inakua officially launched this month, this is the right time to join dont wait till 2023 ndo ujoin.
Nichek watsap 0659426390 nikufafanulie. Afu AIM Global ina tofauti kubwa sana na nyingne zote ambazo ushawah kuzisikia.
Nitakufanyia tsh 10,000 usafiri ni juu yangu.
Mkuu tafadhali naomba unielekeze zinapopatikana hizo vituUza glass ptotecta na makava ya simu
Tena uzitembeze mwenyewe hadi ukue
1. Glass za kawaida 800 utauza 3000 adi 5000
2. Glass za 3d na 5d 4000 utauza 10000 na 15000
3. Makava ya kike na kiume clasic 4000 utauza 10000 na 15000
Mkuu tafadhali naomba unielekeze zinapopatikana hizo vitu
tunataka nasi tuanze biashara! yuelekezane source ya bidhaa kama hautojali!
tunataka nasi tuanze biashara! yuelekezane source ya bidhaa kama hautojali!