Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Dada katika biashara fedha ni sehem ndogo sana ya mtaji, mtaji mkubwa ni wazo lako na mipango, mi nakushauri iyo pesa agiza kuku wa kiyenyeji vijijini uanze kuwafuga.
 
Ushauri mzuri ila inategemea eneo analoishi au apeleke kwenye shule za msingi kuna mitaa mingine ya mageti hakuna wanunuzi wa hivi vitu itakata mtaji maana havilali. Na ktkt ya mji sikuhizi usafiri mbaya sana na jiji limewaondoa. Aangalie fursa mtaani kwake na watu wanaomzunguka kabla hajajifunza afanye za kupeleka mbali kama mitumba.

Option nyingine genge la nyanya, mboga na mkaa kama hamna mtaani kwenu. Vitu kama nyanya vitunguu mbogamboga wanatuuzia bei sana wakati ukienda kkoo ni cheap na hizi hawachagui kila mtu ananunua akapike. Linavyokua unaongeza vitu vingine hadi inageuka duka ya Mangi....
Hongera kwa uthubutu wako ulioonyesha kama kweli una nia utafanikiwa..laki moja nayo ni pesa..thamani ya pesa uliyonayo huwezi kuiona mpaka utakapoikosa ama kuitumia..

Kwanza kabisa elewa kuwa kwa maisha ya sasa laki moja inahitaji budgeting kwa kias chake..ila uweke usistadoo pembeni kwanza ndo utafanikiwa..ushauri wangu ni kama ufuatao;
kulingana na hela uliyonayo unaweza kufanya biashara zifuatazo;

Nunua jiko la mkaa.-10000/-
karai la kuchomea maandazi 5000/-
mafuta ya kupikia lit 3...12000/-
mkaa debe 6000/-
unga kg 2 2500/-
hamira 500/-
baking powder 500/-
kibao cha kusukumia 5000/-
kontena ya kuwekea 3000/-
sukari nusu kg 1000/-
Jumla 45,500/-
hivi ni kwa kuanzia tu kwanza utaongeza kadri siku zinavyokwenda..

unaweza kukaanga maandazi ama half keki nzuri..

SOKO
Sijui unaishi.mazingira gani au maeneo gani huko mtaani kwenu sijui kumekaaje ila ninavyojua dar kuna sehemu nyingi sana za chai kila kona cafe zile..wengi huwa wanapelekewa vitafunio wao wanauza na huwa hawatengenez vyote.nakushauri mdogo wangu ongea na mmojawapo wa mhusika wa hivo vihotel mwambie mpango wako wa kupeleka maandazi ama half cake kila siku asubuh.unaweza kumuuzia 200 yeye akauza 300 ama zaid atajua mwenyewkg 2 ua unga inatoa piece 40/30 kwa size ya kawaida hapo ukimuuzia 200/300 una elfu 8-10 kwa siku.unatengeneza kibubu chako ukifika unaiweka hela yote kwenye kibubu kwakua bado una chombeza mtaji ile hela iliyobaki kama 50500/- utaendelea kununua unga na mafuta na mkaa kama ni kutumia na nauli n.k hii ni kwa vile unaanza lazima ujaribu soko likichanganya unaongeza vipimo.

Sehemu nyingine unayoweza kuuza ni kwenye maduka ya kina mangi utakachofanya utanunua unga, mafuta. sukari n.k hapo dukani kwake then yeye anakuuzia bila kukata hela yeyote..hii ndo huwa hivi..

soko lingine unaweza kutembezea majirani zako asubuh majumbani mwao na wakishazoea utaenjoy maana utatafutwa..cha muhim ni ubora wa bidhaa yako tu.

soko lingine unaweza kuweka kastuli hapo nje ya geti na majirani wakiona watanunua tu..

Zingatia kuwa:, usiangalie ni wangapi wanaofanya biashara kama hii kila mtu na bahat yake na ubora wa bidhaa yako..mfano mimi no mfugaji wa kuku karibu majirani wotee shamban kwangi wanafuga lakini nauza mpaka kuku 300 kwa wiki sasa utaona kwann inakua hivi wakat wote tinafuga kuku walewale?

Ukitaka kufanikiwa usichague kazi fanya kile kilichopo mbele yako mradi kiwe halali..ka ni maandazi nimeuza sana na ninaijua sana hii biashara.maana kama una uwezo wa kupata elf 10/15 kwa siku unataka kaz gani tena ndugu? na wakati wapo wanaooga na kukipaka mafuta asubuhi wanatoka na wanarud jioni mshahara elf 50-80 sasa wewe kwa mwez una lak3-4.5

Nipo na vibaby vinanisumbua hapa kidogo nlitaka nikuandikie na biashara nyinginenyingine ila kwa baadae vumilia ntaitembelea tena thread yako.

Kila la kheri na ulete feedback..usikatishwe tamaa thubutu utafanikiwa.
 
help me nna laki moja mkononi niifanyie biashara gani nataka niingize kwnye biashara..? nisaidieni la svyo haitamaliza masaa mawili.
 
...hata ukianza biashara haitamaliza siku,so ni afadhali uile kuliko kuipoteza yote...
 
Baada ya mitihani kumalizika, tutegemee kuona threds za kila rangi
 
Nitumie kwenye tiGO pesa niinywee bia yote maana hata biashara ya karanga haitoshi.
 
Anzisha biashara ya Supu ya pweza nahisi itakulipa vizuri ndugu yangu. Naona wadada kwa wakaka wanaitumia sana siku hizi.
 
help me nna laki moja mkononi niifanyie biashara gani nataka niingize kwnye biashara..? nisaidieni la svyo haitamaliza masaa mawili.

Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako.

Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?,

mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.
 
HMS, big up saaaaanaaaa
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: HMS
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.
.


Usipende kuandika lugha ya malaika kwa mtindo huo utaathirika mwishowe utakua unaandika hivyo hata kwenye nyaraka muhimu na itakugharimu pakubwa.
 
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.

Like kubwaaaaa sanaa mkuu, umetililika kisayansi.
 
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.
Wouhh aiseeee HMS ubarikiwe sana kwa ushauri wako ambao naamini nikiufanyia kazi hakika laki moja yangu itabadilisha maisha yangu kwa namna moja au nyingine. Nawashukuru pia wachangiaji wengine mlionishauri kwa ujumla mawazo yenu mazuri na nayaheshimu pia.. Mungu awabariki j2 hii iwe ya mafanikio na baraka kwenu...
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Wouhh aiseeee HMS ubarikiwe sana kwa ushauri wako ambao naamini nikiufanyia kazi hakika laki moja yangu itabadilisha maisha yangu kwa namna moja au nyingine. Nawashukuru pia wachangiaji wengine mlionishauri kwa ujumla mawazo yenu mazuri na nayaheshimu pia.. Mungu awabariki j2 hii iwe ya mafanikio na baraka kwenu...

Baraka kwa sote. Asante.
 
.


Usipende kuandika lugha ya malaika kwa mtindo huo utaathirika mwishowe utakua unaandika hivyo hata kwenye nyaraka muhimu na itakugharimu pakubwa.

Thanks Mate. That's noted. Am just Adabtable, have been talking that way since ages, but when it comes to composing a letter or doing exam or whatsover am good at it, i don't mix things, but i appreciate your thoughts and concern.
 
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.

mkuu thank alot kwa mchango mzuri, hasa kuhusu mama. umenigusa sana kwa mchango.
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Back
Top Bottom