Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Nunua mayai kwa wafugaji nenda ukauze kwa wauza chipsi. Kila trei utapata faida ya takribani tsh 1,000.
 
Mbona tuna ku pm wengine had whatssap lakin hutujibu mkuu
 
Nimekupigia simu pamoja na mesej ila hukunipa ushirikiano
madukwappa wewe ni dalali? Mbona hautoi ushirikiano kwa wateja, mtu wa tatu sasa huyu anasema hapati ushirikiano na wewe!!!!! wateja tupo wengi kama una ushirikiano. duka lipo sehem gani?
 
Last edited by a moderator:
Safi sana mkuu umenifungua sana mana wiki hii nzima nilikuwa nafikiria njia bora ya kusafirisha mzigo ila kuna supplier toka alibaba sijaona video ila anatumia pia paypal na kanipa na namba yake nachat na mzigo kaniambia una 28kg ndio nataka niwasiliane na silent ocean nijue pia kama una makampuni yanayotumia ndege ambapo ulisema kg1 ni $5 tupe link. Ahsante sana
 

nicheki kaka ukikutana na ugumu oote...naeza shauri,au kabla ujamlipa nipe link za uyo supplier nimcheki then nicheki kwa simu nikupe namba ya forwarder...! usisite kiongozi sina malipo,labda niwe busy tu nikiwa na muda,tutashare uzoefu.
 

Mh! Mwalimu mwenyewe hata kuandika hajui. Kaaaazi kweli kweli!
 
Mkuu asante sana kwa elimu murua ubarikiwe!! mi nina swali mfano kwa mkazi wa mbali na dar kama mimi nipo Arusha!! kuwa wasafirishaji au nitalazimika kuja dar!!
 
Mkuu asante sana kwa elimu murua ubarikiwe!! mi nina swali mfano kwa mkazi wa mbali na dar kama mimi nipo Arusha!! kuwa wasafirishaji au nitalazimika kuja dar!!

Ni wewe tu kiongozi inategemea utatumia forwarder gani,lakini wengi kutoka Dar es salaam kwenda mkoani wana top up kiasi flani kwa juu,isipokuwa hawa wa ndege,kama DHL etc lakini kama una mtu Dar easy tu,anakuchukulia then anakupakilia katika fuso then unapata mzigo wako poa tu boss kazi
 
Naomba kuuliza swali hivi paypal kama mzigo utakuwa haujafika wao wataweza ku refund au ni alibaba.
 
Naomba kuuliza swali hivi paypal kama mzigo utakuwa haujafika wao wataweza ku refund au ni alibaba.

ofcoz paypal ni safe way ya malipo though kuna charges wanakata...coz ni third party,pia escrow account ni better zaidi,lakini kwa alibaba au aliexpress kuna trade assurance ni murua zaidi,though kwa anae anza biashara naona sio rafiki coz zile charges za apa na pale kwangu nakaunti ni bora ukaongezea katika mzigo,thou chukua tahadhari nyingine za kujiridhisha kwa supplier sahihi then fanya direct malipo...singatia tu kuuzaji wa ukweli boss,angalia kama tayari kaisha pewa trade assurance na alibaba ikibidi na account yake inasoma adi kiasi gani,juhakiki video ya kampuni yake katika kurasa yake,jihakiki ana ngazi ngapi za uuzaji kupitia alibaba,na mengine mengi yasome tu kwa alibaba kabla ujaanza kufanya manunuzi,kuwa na taarifa zaidi juu ya jambo ni ngao bora kuliko silaha nyinginezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…