Tukaandikishane kwa balozi,unipe hiyo hela.Niakurudishia 700,000 mWEZI WA 12.nI pm kAMA UKO TAYARI.habari wadau, nina laki tano naweza kufanya biashara gani inayolipa kwa mtaji huo hapa mjini, (dar es salaam).
Iyo ishu ya UTT inakuaje mkuukama hauna haraka nayo nenda sukar house pale floor ya pili kanunue vipande vya umoja(UTT)
Tupa kule,hizo ni habari za zamani zilizotiwa chumvi mnoooo.mwaka huu hutoki kwa 100,000 utaishia hela ya kula na vochaWatu wanaoanza na mitaji mdogo mara nyingi huwa na mafanikio makubwa kwenye maisha yao.
Mhimu uheshimu malengo, utafanikiwa tu. !
Mkuu kwanza hongera Kwa kuwa Na ujasiri wa kuuliza.kwa hizo pesa Zina weza kuwa ndefu Kama ukiwa nje ya mji. Kama uko DAR unaweza kwenda Mlandizi au Chalinze hizi sehemu nyumba ni rahisi Na mashamba ya mihogo ni mengi. Nenda kwenye mashamba unanunuaNina laki moja naweza kuiwekeza wapi ili nipate faida mara mbili au zaidi?
Ha ha haaaa
Jamani ona maisha yalivyo magumu yaani alafu kuna watu wachache wanaiba maelfu na maelfu ya pesa za watanzania. Hiyo pesa si sawa na dola $50 tu. Mungu akutie nguvu tu utafaniliwa taratibu kaka.Nina laki moja naweza kuiwekeza wapi ili nipate faida mara mbili au zaidi?
Mkuu acha dharau mpe njia awekeze wapi hiyo laki mojaHapo ulipoitoa hiyo laki, rudi tena na tena na tena na tena mara kumi. Kisha njoo hapa na swali hili. Sawa ??