Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kama upo Dar fungua genge nenda sokoni Ilala asubuhi na mapema kanunue machungwa @80/- kauze 250/-, kabichi@ 300/- kauze 1000/- parachichi 250/- kauze 800/- nyanya, bamia, tangawizi, embe tanga, mchicha , ngogwe, tembele etc bidhaa zote faida (net) ni juu ya 100%.. Jaribu hiyo
 
Tafuta meza karibu Na barabara weka viroba vya aina vyote, sigara kubwa Na ndogo ila uwe mjanja mjanja, pipi Na big g
 
Nipe mimi tukaandikishiane hata mahakamani,baada ya miezi 3 ntakurudishia 700,000/=
Mbona wewe njemba una dalili zote za kula kona na pesa ya mwenzako, unatoa riba kubwa hivyo 700000 kwa miezi mitatu tu hapa kuna kauongo, yani unazizidi taasisi za fedha kama BANKERS, UTT, EXIM.... jitahidi ukidanganya usidanganye sana...kwa mfano bank kwa hiyo miezi mitatu wamejitahidi sana wamekupa riba ni 80elfu...
 
habari wadau, nina laki tano naweza kufanya biashara gani inayolipa kwa mtaji huo hapa mjini, (dar es salaam).

Kuwa Reseler wa Website Hosting
Unatafuta mtu anakufungulia Website kwa ajili ya Hosting Services

Unanunua Kifurushi cha Hosting Mfano kwa ipage Ukitaka kuwa reseler unalipia 90,000 Kwa mwaka kazi yako ni kuuzia watu hata ukiuza 6000 kwa mwezi itakulipa mana ni unlimited ambayo kwa mwaka mteja atakulipa 72,000

Hapo ukiwa na wateja 50 kwa mwaka ni 3,600,0000 ni sawa na unapokea mshahara kwa mwezi 300,000

Unaweza kupata wateja hata 100= 7,200,000 Kwa mwaka na ukumbuke kuwa hao ni wa mda wote hivyo unakuwa na uhakika wa kuvuta mkwanja kila mwaka

90,000 Kununulia Hosting
200,000 Unatumia kwa website
100,000 Matangazo fb unabakiwa na balance

Kwa maelezo zaidi Ni Pm mana huku huwa nachungulia.
 
habari wadau, nina laki tano naweza kufanya biashara gani inayolipa kwa mtaji huo hapa mjini, (dar es salaam).

Mkuu kuna biashara moja matata sana, unaweza kuwa unanunua mifuko ya rambo kwa jumla halafu ukawa unasambaza kwa retailers, jaribu utaleta majibu
Kwa mtaji huo wa laki 5 unaweza kuajiri na mtu kabisa mkawa mnasambaza
Unaweza kuonekana mjinga mwanzo lakini utaeleweka baadae
Kumbuka "watu waliofanikiwa walianza biashara zao kwa udogo na kwa kudharaulika, lakini ndio wanatesa mjini saivi"
Usisubiri upate mtaji mkubwa ndipo uanze biashara, kilekile kidogo ulichonacho mkononi ndicho kitakuokoa na kukupa heshima!
Daudi alimuua msumbufu Goliath kwa jiwe na kombeo pekee, Musa aligawa bahari ya shamu kwa kutumia fimbo tu,
Mafanikio yanaanza na ulichonacho mkononi
Wengi wamefail na kukata tamaa maishani baada ya kukaa kusubiri vitu au mtaji mkubwa ndipo waanze kazi
Epuka na hao sana

Kwa ushauri zaidi nitafute
 
Mkuu kuna biashara moja matata sana, unaweza kuwa unanunua mifuko ya rambo kwa jumla halafu ukawa unasambaza kwa retailers, jaribu utaleta majibu
Kwa mtaji huo wa laki 5 unaweza kuajiri na mtu kabisa mkawa mnasambaza
Unaweza kuonekana mjinga mwanzo lakini utaeleweka baadae
Kumbuka "watu waliofanikiwa walianza biashara zao kwa udogo na kwa kudharaulika, lakini ndio wanatesa mjini saivi"
Usisubiri upate mtaji mkubwa ndipo uanze biashara, kilekile kidogo ulichonacho mkononi ndicho kitakuokoa na kukupa heshima!
Daudi alimuua msumbufu Goliath kwa jiwe na kombeo pekee, Musa aligawa bahari ya shamu kwa kutumia fimbo tu,
Mafanikio yanaanza na ulichonacho mkononi
Wengi wamefail na kukata tamaa maishani baada ya kukaa kusubiri vitu au mtaji mkubwa ndipo waanze kazi
Epuka na hao sana

Kwa ushauri zaidi nitafute
UMEMALIZA MKUU....MANENO YA MSAADA SANA HAYA WALAHI....
HATA M PESA TIGO NA YA TEL MANE .....SIWEZI NSHAURI TENA
 
Kuwa Reseler wa Website Hosting
Unatafuta mtu anakufungulia Website kwa ajili ya Hosting Services

Unanunua Kifurushi cha Hosting Mfano kwa ipage Ukitaka kuwa reseler unalipia 90,000 Kwa mwaka kazi yako ni kuuzia watu hata ukiuza 6000 kwa mwezi itakulipa mana ni unlimited ambayo kwa mwaka mteja atakulipa 72,000

Hapo ukiwa na wateja 50 kwa mwaka ni 3,600,0000 ni sawa na unapokea mshahara kwa mwezi 300,000

Unaweza kupata wateja hata 100= 7,200,000 Kwa mwaka na ukumbuke kuwa hao ni wa mda wote hivyo unakuwa na uhakika wa kuvuta mkwanja kila mwaka

90,000 Kununulia Hosting
200,000 Unatumia kwa website
100,000 Matangazo fb unabakiwa na balance

Kwa maelezo zaidi Ni Pm mana huku huwa nachungulia.
mkuu ningependa kupata uzoefu zaidi wa hii biashara please nicheck kwenye 0657145555 tuangalie namna ya kuanza
 
punguza masifa,hutafika popote!hebu hiyo 200m iandike kwa tarakimu kamili,sitoshangaa kukuta hujui hata ina sifuri ngapi?
KAMA WE NI FUKARA,BASI USIMDHANIE AMBAE UNAMUONA NI FUKARA KAMA WEWE!
 
Kuwa Reseler wa Website Hosting
Unatafuta mtu anakufungulia Website kwa ajili ya Hosting Services

Unanunua Kifurushi cha Hosting Mfano kwa ipage Ukitaka kuwa reseler unalipia 90,000 Kwa mwaka kazi yako ni kuuzia watu hata ukiuza 6000 kwa mwezi itakulipa mana ni unlimited ambayo kwa mwaka mteja atakulipa 72,000

Hapo ukiwa na wateja 50 kwa mwaka ni 3,600,0000 ni sawa na unapokea mshahara kwa mwezi 300,000

Unaweza kupata wateja hata 100= 7,200,000 Kwa mwaka na ukumbuke kuwa hao ni wa mda wote hivyo unakuwa na uhakika wa kuvuta mkwanja kila mwaka

90,000 Kununulia Hosting
200,000 Unatumia kwa website
100,000 Matangazo fb unabakiwa na balance

Kwa maelezo zaidi Ni Pm mana huku huwa nachungulia.
Mkuu nakupataje unipe maujanja ya website hosting
 
Back
Top Bottom