Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Hpo nunua kuku wa kienyeji jogoo 1=15000 hdi 20000 tetea 5@10000=50000 halafu na sh 30000 itenge kwa ajili ya dawa za chanjo kma ya Kideli subiri baada ya miezi 3 au 4 utakuwa na faida kubwa kwani kuku wataongezeka utauza mayai na kuku wenyewe wakiwa wengi.
 
Asalam alyekum

Nimeona ombi la kijana mwezangu ila wengi. Wanaingiza utani mzaaa na masihala ila ndio changamoto. Sio. Wote wamefanimiwa kwa kupitia changamoto hivi mm bila kijar unaishi wapi nitakushaur kwa ain hii
Kama upo dar nunua matunda kama tikiti maji ndizi matango machungwa maparachichi tafuta meza au kodi mkokoteni uza matunda yako karibu na soko kituo cha magar au sehem yeyote yenye mkusanyiko wa watu lenye kuruhusu biashara hizo pia kutokan na hali ya hewa kahawa inauzika sana kama unaweza fanya hii biashara mtaji wake huwa 20000 ila faida kwa siku 15000

pia kama unaweza nunua kuku wa kienyeji majogoo 4 pika supu ila kabla ya kuanza biashsra tafuta order kipande 4000 au zaid angalia cafe nzur omba uwe unafanya karibu nao wao wanato chapat ww supu au kama hiyo ngumu tafuta kijiwe kizur choma mihoga mtani wake ni ndoo ya mafuta lita 10@27000 mihogo ya 20000 jiko la 6000 kalai 3000 sanduki 30000

ukiwa mbunifu kwa siku haukosi 50000 angalizo hizi biashsra zote zinaitaji kujitoa kama sharo hauwezi kama una elimu na unaisi kufanya biashara hizi ni kujizalikish pia hauwezi kwaiyo sijuh upo wapi ila kwa mtaji wako hizi biashara zinalipa kama upo serious

Asante mungu akuongeze
 
[quote uid=241929 name="wa ukweli23" post=15681781]Fanya hivi ndugu...tafuta mtu anaefuga kuku WA mayai kwa wingi halafu muombe akuuzie bei ya jumla..huku nilipo mm Ni 5000 bei ya jumla halafu WW tafuta wateja wa chips wauzie 6500 sabab maduka mengi wanauza 7000 hiyo itakuwa imekupa WW competitive advantage...kwahiyo bas utaanza na tray 10 ambazo zitagharimu 50000 Tu..ukienda kununua tray ya kubebea hayo mayai bei yake haizidi 10000...mpaka hapo umetumia 60000... Hapa cha kuangalia Ni kuhakikisha unapata faida ya sh 1000 kwa Kila tray na usambaze kumi kila siku...ile sh 500 inayobaki kwa kila tray ifanye kama running cost...cha muhim hakikisha sehem unayotolea mayai haipo mbali na wateja Wako kusudi upunguze gharama zisizo za lazima na mayai kuvunjika....mimi nilianza na mtaji wa elfu 80000 na sasa Nina uwezo wa kusambaza tray 150 kwa siku....usikubali mtu yeyote akukatishe tamaa eti mpaka uwe na mamilion ya pesa ndio ufanye biashara inayoeleweka...jiamin na mshirikishe Mungu hiyo pesa Ni nyingi sanaaa...go big...[/QUOTE]
 
Habari ya mchana,kama heading inavyojieleza hapo juu wakuu nimedunduliza kama kiasi cha shilingi laki tano nnazo na nahitaji kufungua kaduka nyumbani kwangu ili walau wife nae aungeunge kuongeza kipato flemu INA shelf tayari na siilipii ninachohitaji msaada wenu kunipa mwanga was biashara hii ya duka juu ya mtaji nilionao na nitawezaje kuukuza mtaji huu kwa haraka,msaada wakuu.
 
Ngoja waje wachaga, maana hii taaluma ya maduka ni kipaji chao.
 
Inawezekana tu kwa laki tano sema inategemea na eneo ulilopp kama ni mjini mjini sana au ni town town
 
Ndugu zangu msaada wa mawazo ya biashara ninakiasi cha kma laki tano (50000)nlikua naomba msaada wa mawazo ni biashara gani nifanye mjini iniingizie faida ya elfu5 (50000) kila cku

Tafadhali jmn majibu yenu ni muhimu kwasabu hayatanisaidia mmi tu peke yangu apa nadhani na ata wafuatiliaji wengne
 
biashara ya chips mkuu ukipata location nzuri na mpishi mwaminifu na msafi mambo yako yatakuendea sawia
 
biashara ya chips mkuu ukipata location nzuri na mpishi mwaminifu na msafi mambo yako yatakuendea sawia
Dah kweli vip utakua na details zozote kuusiana na iyo biashara na yan gunia la viazi sh ngap na kwa gunia naweza pga bei gan
 

Mkuu uko maeneo gani? Pia wewe ulikuwa na idea gani ya biashara? Kwa kiasi ulicho nacho ni vyema uka specialize na one product mfano Sukari, au unga wa sembe. Pia unaweza fanya biashara na a wholesaler shop closer to you kwa kumlipa hicho kiasi ulicho nacho kama deposit kama decide ku-specialize na one product. itakusaidia kukuza mtaji wako. lakini pia jaribu kutizama udhaifu wa maduka karibu na kwako. Ni bidhaa gani (consumer goods) inatembea sana katika matumizi ya binadamu mfano kama sukari. Kama ni Sukari weka vipimo kuanzia robo kilo hadi kilo 5 kutokana na maitaji wa eneo husika.
 
Munasoma threads unazzoona zinaweza kukusaidia !!
Hii ya laki tano ipo jaribu kuifuatilia !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…