relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
Nashukuru mkuu kwa mawazo yakoMkuu uko maeneo gani? Pia wewe ulikuwa na idea gani ya biashara? Kwa kiasi ulicho nacho ni vyema uka specialize na one product mfano Sukari, au unga wa sembe. Pia unaweza fanya biashara na a wholesaler shop closer to you kwa kumlipa hicho kiasi ulicho nacho kama deposit kama decide ku-specialize na one product. itakusaidia kukuza mtaji wako. lakini pia jaribu kutizama udhaifu wa maduka karibu na kwako. Ni bidhaa gani (consumer goods) inatembea sana katika matumizi ya binadamu mfano kama sukari. Kama ni Sukari weka vipimo kuanzia robo kilo hadi kilo 5 kutokana na maitaji wa eneo husika.