Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Miongozo wakuu, kwa wenye uzoefu au wanao juwa uwekezaji wa biashara ya matairi, unahitajika mtaji kiasi gani, supplier wa jumla jumla wapo wapi, je TRA chao ni TZsh ngapi? Changamoto ni zipi pia, tuanze hapo wakuu, hatua kwa hatua hii biashara unaanzaje
 
Du kwa mtaji huo?ningeweza kusema ufungue shoe shine lakin hauta tosha,basi fanya hiv nenda JF saccos iweke hiyo hela ugenerate three time upate angalao laki 6 labda utaweza fanya kitu.
Huyu jamaa kwa bila shaka ni booonge la bilionea
 
Kuvipi mkuu nahiyo shoe shine ikoje..!!??
Mkuu si umeona majibu yake juu ya mtoa post.



Hiyo laki5 anavyoifikilia juu ya biashara inayofaa.

Inadhihirisha ni mtu si wa mchezo kifedha.
 
HONESTY IS AN EXPENSIVE TREASURE DONT EXPECT IT FROM CHEAP PEOPLE
"Warren Buffet"
 
Mkuu ni vyema ukaitaja hapa tukajadili pamoja.kwa wale wataipenda au kuvutiwa nayo ndio mawasiliano yatanzaa baada ya wana Bodi kuchagia mkuu na wajumbe kufahamu vizuri hilo wazo la biashara
 
Mmmh kwanini usituambie ni biashara gani, unafanya siri. Sina imani na ww
 
Hiyo biashara au usanii?
 
hio biashara nafkiri ni ile ya kuvalishwa tai na foengo kutembeza mabakuli
 
Habari zenu wapendwa

Bila shaka muwazima wa afya. Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.

Nimejibana bana mpaka nikapata laki tano kutokana na maisha yalivyo magumu nkaona niombe ushauri kwenu wadau.

Je, hii pesa naweza kuifanyia biashara gani ambayo haitachukua muda wangu sana manake kuna shughuli nyingine nafanya.

Nipo Dar Mbezi Makonde. Naombeni ushauri wadau angalau niweze kuingia risk huku na kule maisha yaende.

Asanteni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…