Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Fungua Au Fanya Utafit Kwenye Haya,

1, kuuza mkaa Biashara2000 atakupa maelezo zaidi,

2. kama upo mjini tafuta stendi uza vinywaji (fridge mbovu weka barafu ) including viroba, pipi na maji ya kufunga ila uwe na lugha nzuri,

3, kuna mtu kasema shule za msingi yupo sahihi sana nayo inalipa,

4. kigoli cha kuanza matunda mfano pale uhasibu (tia) kuna nyomi la watu fuata nanasi uza nyingne menya vpande 200,

5! jfunze kupka bites haswa vitumbua au chapati ila hapa usafi unahtajka,

6. fungua genge la kuuza vitu vya kupka not duka la vyakula,

7 kama una mbavu ya kutosha hamasisha mateja wa kituo kdogo muunde kikundi uwasaidie v2 vdogo wataka kupga ndumu unawawezesha ila wanakupa ile pesa wanayopewa na makonda! biashara nying sana tatzo una muda, huna aibu, na moyo wa imani na subira! ufanikiwe
 
naomba kuweka hesabu sawa, maana humu kuna watu kazi yao kuvizia kutoa makosa.

Kwenye trei 10 utapata 5000, badala ya elf 10 nadhani hapo nimeweka Hesabu vizuri.

Pia kupata tenda kama hizi kunahitaji uwe na kauli zenye kushawishi. Yaani lugha nzuri na uchangamfu.

Katika vitu ambavyo vinawaangusha sana watanzania ni kuutumia ulimi wao vizuri.

Utakuta unakwenda dukani kununua kitu. Unamkuta mwenye duka kanuna na hatoi lugha za ushawishi wa kukuvuta mteja ununue bidhaa kwake na kukupa motisha ya kurudi tena.

Mimi wakati mwingine natoka ofcn nakwenda kujichanganya na wafanyakazi wangu kuhudumia wateja.

Na ukinikuta nahudumia utadhani natongoza Mwanamke.

Hizi mbinu nilijifunza kwa rafiki zangu wa kihindi. Hawa jamaa ni hatari sana kwenye biashara wanajua kuhudumia mteja.
Moja kati ya biashara unazofanya kama hitojali
 
Kama upo eneo linalofaa kwa ufugaji Anzisha mradi wa kufuga kuku wa kisasa unaweza kuanza na kkuku 25 hyku kwa makadirio ya kuku 15000Tsh hapo utanunua majogoo 5 na mitetea 20 then unaanza MDOGO MDOGO
idea nzur ila nna swal yan io lak3 yote inatumika kwenye kuku tu?.. suala la banda , msoc na dawa lpo nje ya hyo pesa?
 
kama hujui wapi pa kuwekeza hutokuja kupata biashara ya kukutoa kwa laki tatu.. Alafu kwa mda mfupi.. Aliefanikiwa kufanya hivyo ni bahati na sibu tu... Cha kufanya rudi kwenye kazi au mishe ya kujishikiza ulipoitoa hiyo laki tatu iendelee kukuingizia kipato... Hiyo laki 3 igawe mara tatu, jaribu vitu vitatu tofauti, kitacho tengeneza faida wekeza tena, vingine achana navyo... Au gawanya mara 6 then wekeza vitu 6 tofauti vyovyote uwezavyo kuigawa hiyo hela... Kama ndo hela uliyonayo pekee ya kuwekeza usiiweke sehemu moja tena kwa ushauri utaopewa na mtu mwingine, utawekeza sehemu moja utafeli then utakufa moyo ya kufanya ujasiriamali...
Ushauri wako nmeupenda michael n nmegain something
 
Natumai Rabuka anajaalia wana JF kudra kenyekenye.

Ndugu zangu,

Mimi ni kijana wa kiume. Katika uchakarikaji wangu nimejikusanyia tsh laki tatu na nusu. Natamani niiwekeze kwenye shughuli itakayoniwezesha kusogea mbele ki mapato kuliko kuitapanya ovyo maana hela haiwekeki mfukoni.

Wajuzi wa JF, naombeni mwanga niiwekeze kwenye nini. Niko Kigamboni.

Karibuni sana kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom