LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Fungua Au Fanya Utafit Kwenye Haya,
1, kuuza mkaa Biashara2000 atakupa maelezo zaidi,
2. kama upo mjini tafuta stendi uza vinywaji (fridge mbovu weka barafu ) including viroba, pipi na maji ya kufunga ila uwe na lugha nzuri,
3, kuna mtu kasema shule za msingi yupo sahihi sana nayo inalipa,
4. kigoli cha kuanza matunda mfano pale uhasibu (tia) kuna nyomi la watu fuata nanasi uza nyingne menya vpande 200,
5! jfunze kupka bites haswa vitumbua au chapati ila hapa usafi unahtajka,
6. fungua genge la kuuza vitu vya kupka not duka la vyakula,
7 kama una mbavu ya kutosha hamasisha mateja wa kituo kdogo muunde kikundi uwasaidie v2 vdogo wataka kupga ndumu unawawezesha ila wanakupa ile pesa wanayopewa na makonda! biashara nying sana tatzo una muda, huna aibu, na moyo wa imani na subira! ufanikiwe
1, kuuza mkaa Biashara2000 atakupa maelezo zaidi,
2. kama upo mjini tafuta stendi uza vinywaji (fridge mbovu weka barafu ) including viroba, pipi na maji ya kufunga ila uwe na lugha nzuri,
3, kuna mtu kasema shule za msingi yupo sahihi sana nayo inalipa,
4. kigoli cha kuanza matunda mfano pale uhasibu (tia) kuna nyomi la watu fuata nanasi uza nyingne menya vpande 200,
5! jfunze kupka bites haswa vitumbua au chapati ila hapa usafi unahtajka,
6. fungua genge la kuuza vitu vya kupka not duka la vyakula,
7 kama una mbavu ya kutosha hamasisha mateja wa kituo kdogo muunde kikundi uwasaidie v2 vdogo wataka kupga ndumu unawawezesha ila wanakupa ile pesa wanayopewa na makonda! biashara nying sana tatzo una muda, huna aibu, na moyo wa imani na subira! ufanikiwe