Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Sawa sawa nimekuelewa.Nipo dar Mkuu Naishi mongula ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa nimekuelewa.Nipo dar Mkuu Naishi mongula ndege
Mkuu,Kama uko serious uko tayari kupiga kazi kwa bidii na maarifa basi nicheki PMMsaada kwenye tuta jaman nna laki5 ipo tu nataman nifanye biashara ila sijui kwa kiasi hiki n biashara gan itafaa so naomba msaada wa mawazo??
Kwanini usitoe mchanganuo hapa hapa hadi mtu akufate pm?, saidia wengi hapa tutakushukuru baadaye.Mkuu,Kama uko serious uko tayari kupiga kazi kwa bidii na maarifa basi nicheki PM
Mkuu,simwagi mchele kwenye kuku wengi.Kama mtu anaona PM ni mbali hata nikiweka hapa haitaweza msaidia.Kama mtu anahitaji kweli msaada na ushauri PM hapawezi kuwa mbali kiasi hicho.Wewe nawe una mtaji wa kiasi hicho?Karibu PM.HutajutaKwanini usitoe mchanganuo hapa hapa hadi mtu akufate pm?, saidia wengi hapa tutakushukuru baadaye.
Mmmh, CONSULTATION FEE ni sh ngapi?, afu pm utajibu wangapi si kama utachoka sana? kuliko ungeweka hapa.Mkuu,simwagi mchele kwenye kuku wengi.Kama mtu anaona PM ni mbali hata nikiweka hapa haitaweza msaidia.Kama mtu anahitaji kweli msaada na ushauri PM hapawezi kuwa mbali kiasi hicho.Wewe nawe una mtaji wa kiasi hicho?Karibu PM.Hutajuta
Kila atakaye ni PM nitamjibu kwa kadiri,Consultation Fee ni mpaka uone kama huduma yangu inakufaa kwa mazingira yako na mahitaji yakoMmmh, CONSULTATION FEE ni sh ngapi?, afu pm utajibu wangapi si kama utachoka sana? kuliko ungeweka hapa.
Aah ok nimekuelewa sasa maana yako kutualika PM, una akili kubwa mkuu.Kila atakaye ni PM nitamjibu kwa kadiri,Consultation Fee ni mpaka uone kama huduma yangu inakufaa kwa mazingira yako na mahitaji yako
Biashara ya mkaa sio raisi Kama unavyodhani.Hili bonge la wazo ingawa wengi wanaponda sana. Ninakolima shamba mkaa loba lumbesa ni Tshs 10,000/= na GOMS mkaa loba ni 50,000/= sababu jirani na ndiko unakofikia toka pori lakini unavyozidi kuingia mjini bei inafika mpaka Ths 80,000/= kwa gunia. Kwa kuuza rejareja hutakosa 80,000/= - 100,000/= kwa gunia.
MI nategemea kuifanya ila mimi nitachukua hari lote yaani magunia yasiyopungua 28 halafu nauza reja reja.
Pamoja sana.
Ila inabidi aende site huko pori i ajue network yote na logistics za kuleta mjini. Kama ni mtu wa kukaa mjini kuangalia TV asahau kupata hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa mnanifurahisha Sana, kwani huko Benji hawezi kuitoa?Hongera kwa hatua nzuri naona mwanzo mzuri kutoka kwako.
Nashauri ACHA papara kwanza.
Iweke pesa kwenye bank account au mpesa/tigopesa arafu tulia kama haipo hata kwa mwezi mmoja.
Muhimu jipe utulivu kwanza .
Sina wazo la kukupa kwa sasa.
Kamata vijana 50 wanaozurura zurura mtaani,kila mmoja mpe birika la kahawa au uji aanze kutembeza, jion wakupe mahesabuMsaada kwenye tuta jaman nna laki5 ipo tu nataman nifanye biashara ila sijui kwa kiasi hiki n biashara gan itafaa so naomba msaada wa mawazo??
PM hakuhitaji Fees.Mtazamo wako tu.Aah ok nimekuelewa sasa maana yako kutualika PM, una akili kubwa mkuu.
Ila ungeanza kutudokeza kwanza then tumiminike huko pm na fees mkononi, ila hivi hivi mmh.
GengeMsaada kwenye tuta jaman nna laki5 ipo tu nataman nifanye biashara ila sijui kwa kiasi hiki n biashara gan itafaa so naomba msaada wa mawazo??
Yaani pesa yake inaishia kwenye vibali tu.Utaenda kupoteza hela huko, Logistics za kuleta mkaa mjini lazma uwe CON-TAWA! Kuna hela nyingi sana utawaachia Maliasili hapo Road na lazma uwe na vibali vya kueleweka.
Sikukatishi tamaa ila nakupa alert. Hii michongo ya kupeana story vijiweni ishatu cost sana.
Anataka kwenda kumpiga mtu PMKwanini usitoe mchanganuo hapa hapa hadi mtu akufate pm?, saidia wengi hapa tutakushukuru baadaye.
Kumbe kuna consultation fee ndiyo maana🙄Anataka kwenda kumpiga mtu PM
my loveKumbe kuna consultation fee ndiyo maana🙄
Fanya biashara ya kuku wa kienyeji, unaweza kuanza na wachache tu. Mkoani tetea ni buku 7 mpk 9 jogoo kwenye 10 hivi kuna ushuru 200 usafiri elfu 10 na kuna tenga la kuwabebea ukifanikisha hayo bei huku ukiuza mwenyewe unajipangia tu 19-25 kulingana na ukubwaMsaada kwenye tuta jaman nna laki5 ipo tu nataman nifanye biashara ila sijui kwa kiasi hiki n biashara gan itafaa so naomba msaada wa mawazo??