Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Habari wana JF Shikamooni....

, mimi naitwa Lascoo ni mdogo wenu hapa JF(Najua mnashangaa kawanini nimesema ni mdogo wenu ila ni kwamba nafahamu humu asilimia kubwa mmenizidi umri) naishi Ubungo..Dar es Salaam, Kama kichwa cha uzi kinavyojishow hapo kwa fasi ya Juu,

Nimekuwa nikihangaika sana kutafuta na kujiuliza kuwa ni biashara gani naweza kuifanya kwa hapa DSM na ikanitoa ikiwa mtaji wangu ni mdogo tuu wa kama 300k (laki tatu) tuu...mimi sio sharobaro wala bishoo kwa maneno mengine wengine wanavyojiita....hivyo sichagui kazi bali naangalia maslahi tuu.

Ahsante,[emoji1431]
Nenda jukwaa la biashara kuna uzi umewekwa na Luqman
 
Au iyo laki 3 umetoa wapi mdogo wetu? Kama uliiba basi rudisha kama umebet basi bet tena ila ushauri wangu ni stop being coward zama street au nunua nguruwe uuze nyama kwa kilo and usi mess up

Naleft
 
inategenea upo sehemu gani ila kwa pesa iyo unaweza kufungua genge ,mkaa kwa kuanza na magunia machache tuu apo uto tumia banda la kukodi utauzia apo apo unapoishi,kama eneo uliopo hakuna library za movie pia ni fursa unaweza kuanzisha,viurembo vya kike, hii itaitaji panda dogo
 
Nunua Protector za simu Bei ya jumla 1 inauzwa 500,wewe kwa mtaji wako wa laki una uwezo wakununua protector za simu zote zilizopo hapa nchini ukazungusha,uza kila protector 2500 tu nakuhakikishia Utachomwa sana na jua Utachoka sana lakini utarudi nyumbani na faida isiyopungua 30,000 kwa kila siku kutegemea na umeanza kazi saa ngapi na umefunga kazi saa ngapi.
 
Nunua Protector za simu Bei ya jumla 1 inauzwa 500,wewe kwa mtaji wako wa laki una uwezo wakununua protector za simu zote zilizopo hapa nchini ukazungusha,uza kila protector 2500 tu nakuhakikishia Utachomwa sana na jua Utachoka sana lakini utarudi nyumbani na faida isiyopungua 30,000 kwa kila siku kutegemea na umeanza kazi saa ngapi na umefunga kazi saa ngapi.
Hio inafanywa na wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Ilala na karume ukaone maajabu utanishukuru baadae. Tena laki tu ndo uanze nayo kwenye biashara ya viatu. Mpe jamaa yeyote elfu 3 pale akupe mchongo na ratiba ya kufungua mabelo sio uende tu utapigwa bei za makumbusho hata kama ni karume.
 
Au iyo laki 3 umetoa wapi mdogo wetu? Kama uliiba basi rudisha kama umebet basi bet tena ila ushauri wangu ni stop being coward zama street au nunua nguruwe uuze nyama kwa kilo and usi mess up

Naleft

Ningependa kupata maelezo zaidi kuhusu hii business ya kitimoto
 
BIASHARA IPI UFANYE??

Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake

wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher

SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???

JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa

Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu

KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI

1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO

Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI

Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member

Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo

2.MAGONJWA YA KISUKARI

Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako

Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona

3.MAGONJWA YA VITAMBI

Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe

4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni

kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana

5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO

Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA

6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake

JINSI YA KUPATA WATEJA

Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya

Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana

JINSI YA KUFANYA FACEBOOK

Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya

Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako

Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe

BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI

JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma

Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000

Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki

Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe

1.uwe na majina matatu

2.uwe na email yako

3.namba yako ya simu

UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA

AWE NA VITU VIFUATAVYO

1.majina matatu

2.email

3.namba ya simu

NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?

Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano

USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA

KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO

TUWASILIANE KUPITIA NAMBA

0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP

AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
 
Njoo hapa nikuambie. Jaribu hii:

kufuga kuku wa kienyeji;

mchanganuo:
-Tsh.60k kwaajili ya kujenga/kuandaa banda, chakula na virutubisho vya kuku.
-Tsh.50k kwaajili ya kuku wa kuanzia. Usinunue kuku wakubwa, ni ghali sana na wanakua used/wametumika sana, nunua kuku wadogowadogo waliotoka tengana na mama yao sio muda. Kwa huku (ir) bei ni tsh.5,000 so hapo utanunua kama 10 hivi. Ila make sure una mix, majogoo mawili ni tosha kabisa, vongine vijike (tetea).
-najua vitu kama maji, mtu wa kuhudumia huna haja ya kuajili mtu. Wewe mwenyewe husika maana bado ndio unaanza.
-Hadi hapo unakua umetumia Tsh.110k tu. Nyimgine iliobaki weka kwaajili ya backup ya madawa, chakula, pesa ya kumlipa docta (hii muhimu sana, usiwe bahili kuwalipa wale jamaa, ata kama kuku zako ziko poa kiafya, muite azicheki tu, sio gharama, akija mara moja unaweza mtoa buku 3 hivi fresh)
-Kuku (hao madogo ulionunua ambao umri wao ni kama miezi 4 hivi) watachukua tena kama miezi 2 ili waanze kutaga au ata kuuza. Hapo pesa itaanza kuzunguka.

Baada ya hii stage, hujamaiza:

-unaweza anza na kufuga kuku wa mayai, wale ambao hawaatamii mayai. Hapa utaanza pata mayai na kuyauza. Hivyo utakua unapiga pesa kwenye mayai na kuku.
-Unaweza pia ukanunua na zile mashine za kutotoleshea vifaranga(bei zake ni kama 80k hivi, ila lazima kuwe na umeme unapokaa).

Hitimisho;
-ukianza leo najua baada ya muda kama wa miezi 8 unaanza kupiga hela ya mayai na nyama.

Pesa ulionayo sasa (laki 3) usijidanganye ukaanzisha duka, genge, au biashara za uchuuzi wa mazao au vitu toka mjini upeleke kijijini. Hizo waachie wenye pesa ndefu, ambao ata shoti (hasara) ya laki 5 ikitokea hawayumbi. Wewe hapo ukipoteza/ukipata hasara ya laki 1 tu, kuirudisha daah itachukua muda.

Thanks.

Ila ukitoka kaka nikumbuke, mwenyewe hali mbaya hapa.
Asante imekaa vizuri.
 
Fanya biashara ya kuku wa kienyeji, unaweza kuanza na wachache tu. Mkoani tetea ni buku 7 mpk 9 jogoo kwenye 10 hivi kuna ushuru 200 usafiri elfu 10 na kuna tenga la kuwabebea ukifanikisha hayo bei huku ukiuza mwenyewe unajipangia tu 19-25 kulingana na ukubwa
Mkuu naomba ufafanuzi zaidi kwenye biashara hii km una uzoefu nayo...
 
Back
Top Bottom