Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
Aiseee 🤣🤣Uza bangi au ugoro haifanywi na wengi au unaweza nunua kete za unga ukazungusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee 🤣🤣Uza bangi au ugoro haifanywi na wengi au unaweza nunua kete za unga ukazungusha
Pm ndo nn pls ndo nimeanza kutumia app hiii am sorry Kwa kusumbuaPM hakuhitaji Fees.Mtazamo wako tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kuna consultation fee ndiyo maana[emoji849]
mzee mf. nikipata dili la kuletewa mjini kwa 25k/gunia...hii biashara imekaaje?ukiuza rejarejaUtaenda kupoteza hela huko, Logistics za kuleta mkaa mjini lazma uwe CON-TAWA! Kuna hela nyingi sana utawaachia Maliasili hapo Road na lazma uwe na vibali vya kueleweka.
Sikukatishi tamaa ila nakupa alert. Hii michongo ya kupeana story vijiweni ishatu cost sana.
Sijajua kwa mji gani unazungumzia ila kwa jiji kama Dar faida utapatamzee mf. nikipata dili la kuletewa mjini kwa 25k/gunia...hii biashara imekaaje?ukiuza rejareja
Fursa kibao, kumbe sisi ndiyo fursa😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]
kwa dar sh ngap unapata ukiuza rejarejaSijajua kwa mji gani unazungumzia ila kwa jiji kama Dar faida utapata
huo utakuwa mkaa was Aina gani? Hebu fuata ushauri, mkaa mzuri no kuanzia 35kmzee mf. nikipata dili la kuletewa mjini kwa 25k/gunia...hii biashara imekaaje?ukiuza rejareja
Kivipi Tena FS?Fursa kibao, kumbe sisi ndiyo fursa[emoji3][emoji3]
Sorry ni hilo jina lako tu, ila nimemaanisha mkuu anatuita pm kutushauri kumbe kuna fee anacharge, si wewe Fursa, Hujambo lkn!Kivipi Tena FS?
Na wewe mbona umekula ban? Au we ndio mimmy sijui mima?Kivipi Tena FS?
Aah sawa na wewe umetoa huko ideaMwenyewe ninarudi pia. Tafuta uzi unaanzaje sijui "Kama unaingiza elfu 30 kwa siku...." mwenye link ataweka hapa. Tembea palepale utachomoa kama nilivyotoa idea pale
Fafanua mkuuChupi
Ukouko kuna madini yakiongozwa na Waziri wa Biashara za Kitaa, CONTROLLAAah sawa na ww umetoa huko idea