The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Ukishamjua mchawi wako ni kukaza buti.Sasa tufanyeje mkuu wangu?? Watoto watakuja kula maweðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishamjua mchawi wako ni kukaza buti.Sasa tufanyeje mkuu wangu?? Watoto watakuja kula maweðŸ˜
😅🤣😂 Mkuu unaonekana una experience sana na hawa watu kwa hiyo wanachoka sana kwa maana akitoka kumroga juma akaenda kwa shabani na rashidi anakuta juma amesha pata matibabu inabidi aanze upya kumroga juma.kazi inakuwa nyingne tena😅Nimeachana na habari za elimu nafanya mambo mengine wasio yajua, wao wanajua nimebuma tayari. Japo anytime naweza back to school na kwa sasa washachoka choka.
Mungu ni mkubwa kila chenye mwanzo kina mwisho nguvu zao sio kama zamani.
Tatizo linalofanya mchawi kuchoka ni analoga watu wengi, raha ya mchawi ni awaumize wengi, anaweza loga hata nyumba nzima, akimaliza anahamia kwingine ndiyo maana wanachoka.
Hapana pambana sana kwenye kazi, huwa wanachoka, sangoma matapeli.Au niende kwa sangoma ani -analyze mkuu? Nipe ushauri mzuri mkuu
Ndoto za kuota hupo shuleni ni mbaya sana inawezekana unaota upo form 4 au darasa la Saba upo na wenzio inawezekana unaota unafanya mtihani si ndio? Ndoto hii inazuia maarifa yako ili usifanikiweKiuhalisia maisha yangu yamegubikwa na kutopiga hatua ya maana, ukataa wa muda mrefu na kunung'unika sanaa kutokana na shughuli za kimaendeleo kutolipa.
Nikianzisha kitu huwa hakitimii kwa matunda mazuri ingawa Mungu kanjalia ubunifu.
Nimesikia mengi kuhusu hzi ndoto,. Je zina maana yoyote ile inayoathiri maisha yangu au hzi ndoto ni matokeo ya mawazo yangu na hali yangu ya ukata?
Sasa nifanyeje mkuu wangu kwa ushauri wako?Ndoto za kuota hupo shuleni ni mbaya sana inawezekana unaota upo form 4 au darasa la Saba upo na wenzio inawezekana unaota unafanya mtihani si ndio? Ndoto hii inazuia maarifa yako ili usifanikiwe
Basi ndoto hii inamaana kwamba Kuna maagano babu zako waliweka maagano na mizimu au baba yako alikuwa anapenda kwenda kwa waganga kupata msaada majini huwa yanataka kuendelea kupewa sadaka na kizazi chenu
Wewe dini gani?Sasa nifanyeje mkuu wangu kwa ushauri wako?
Huwa unasoma neno biblia kila sikuMkatoliki mkuu
Nishawahi fanya maombi ya siku 20 ya kujivua na laana za ukoo pia
Na maombi mengine maalum pia
Kiuhalisia maisha yangu yamegubikwa na kutopiga hatua ya maana, ukataa wa muda mrefu na kunung'unika sanaa kutokana na shughuli za kimaendeleo kutolipa.
Nikianzisha kitu huwa hakitimii kwa matunda mazuri ingawa Mungu kanjalia ubunifu.
Nimesikia mengi kuhusu hzi ndoto,. Je zina maana yoyote ile inayoathiri maisha yangu au hzi ndoto ni matokeo ya mawazo yangu na hali yangu ya ukata
Fanya sawa sawa na imani yako inavyokuongoza.Nifanyeje
Wa-Tanzania mna fikra za ajabu Kinoma!Ndoto za kuota hupo shuleni ni mbaya sana inawezekana unaota upo form 4 au darasa la Saba upo na wenzio inawezekana unaota unafanya mtihani si ndio? Ndoto hii inazuia maarifa yako ili usifanikiwe
Basi ndoto hii inamaana kwamba Kuna maagano babu zako waliweka maagano na mizimu au baba yako alikuwa anapenda kwenda kwa waganga kupata msaada majini huwa yanataka kuendelea kupewa sadaka na kizazi chenu
Kesheni mkiomba amka kila siku saa kumi usiku kumtafuta Mungu upo kwenye vita Kali na maagano ya mababu zakoNifanyeje ndugu yangu sasa