Sisi waafrika bado hatujaqualify kuwa binadamu.
Hatujawa na uelewa au ufahamu wa kufikiri kama binadamu anavyotakiwa kuwa, bado tuna akili zinazofanya kazi kama wanyama, mjusi, ng'ombe au nyani.
Bado tunaamini kuna mapepo, maruhani, miujiza, ulimwengu wa roho, mapopo bawa na mizimu. Wote huo ni ukosefu wa elimu, uelewa, na matokeo ya kuwa na fikra duni kama za wanyama.
Ukweli ni kwamba, ndoto ni matokeo ya ubongo.
Ubongo unafanyia kazi vitu ambavyo umewahi kuviona, kuvifanyia kazi ama kuviwaza, na ndio maana ni vigumu sana mtu kuota anafanya mapenzi na mama yake mzazi kwa sababu hajawahi kuwaza hivyo.
Sababu inayomfanya mtu aote mara kwa mara yuko shuleni ni kwa sababu ndipo sehemu pekee aliyotumia muda mrefu kuliko sehemu yeyote ya maisha yake.
Kila ukilala, ubongo ukitaka kurecall, unakutana na sehemu hiyo iko restored mara nyingi.
Lakini kwa sababu kuna watu wasio wema, wezi na matapeli, wanatumia uelewa wetu finyu, kutudanganya na kututapeli, watakuambia kuna watu wamekuroga, au wanakuzibia nyota usifanikiwe.
Post hii aione Intellectual
Kiranga dada mrembo
Joanah na mganga wa kienyeji
Mshana Jr