Kwa muda mrefu sasa Naota sana kurudishwa kurudi shule, kama leo nimeota nachapwa parade

Kwa muda mrefu sasa Naota sana kurudishwa kurudi shule, kama leo nimeota nachapwa parade

Kesheni mkiomba amka kila siku saa kumi usiku kumtafuta Mungu upo kwenye vita Kali na maagano ya mababu zako
Tembea na hii mistari ya biblia kila siku
Zekaria 9:11-12
Wagalatia 3:27-30
Duuh aiseee

Asante mkuu
 
Kiuhalisia maisha yangu yamegubikwa na kutopiga hatua ya maana, ukataa wa muda mrefu na kunung'unika sanaa kutokana na shughuli za kimaendeleo kutolipa.

Nikianzisha kitu huwa hakitimii kwa matunda mazuri ingawa Mungu kanjalia ubunifu.

Nimesikia mengi kuhusu hzi ndoto,. Je zina maana yoyote ile inayoathiri maisha yangu au hzi ndoto ni matokeo ya mawazo yangu na hali yangu ya ukata?
Shule ni jengo,

Mwili ni nyumba ambamo wewe unaishi.

Na mwili ni hekalu/ shule ambamo unafundishwa namna ya kuishi vyema.


Shule ni maisha Yako ya kiroho, rudisha uhusiano wako na Mungu Ili upate hatua maishani mwako.

Anza sasa.
 
Hata Mimi Leo asubuhi asubuhi nilikuwa ninaanza kuota nimerudi secondary tena nimefanya kosa na ninatafutwa ila bahati yangu nzuri alarm niliyoitega iniamshe asubuhi ikaanza kulia na kunitoa ndotoni.

Kama mlivyosema maana yake ni mbaya sasa nitafute Mganga konki na hatari zaidi anirekebishie haya mambo yangu
 
At least kila mtu amewahi kuota ndoto ya nanna hiyo, sasa sijui kama kila anayeoota amerudi shule atakuwa karogwa
Kuna baadhi ya watu zinajirudia mara nyingi, na kibaya zaidi unaota uko shule ya msingi wakati chuo ulimaliza miaka 10 imepita..hapo ndio shida inaanzia...binafsi hii ilinitokea sana na wakati huo mambo yangu mengi yalisimama, baada ya kuanza ibada nilipaa Kwa spidi mia na hizo ndoto zikakoma!
 
Kuna baadhi ya watu zinajirudia mara nyingi, na kibaya zaidi unaota uko shule ya msingi wakati chuo ulimaliza miaka 10 imepita..hapo ndio shida inaanzia...binafsi hii ilinitokea sana na wakati huo mambo yangu mengi yalisimama, baada ya kuanza ibada nilipaa Kwa spidi mia na hizo ndoto zikakoma!
Nifundishe mkuu ili nami nijitoe humo

Ulifanyeje????

Tafadhari share plizzz
 
Daaah means huwa tunafungwa na kurudishwa nyuma, shuleni hatukumaliza japo tulipenda kusoma, na tuliomaliza kazi hakuna..

dawa ni kusali sana au kufanya mengine ya kimaendeleo tofauti na shule ila wasijue watu hayo mengine ufanyayo maana adui yako kakublock kwenye shule yaani hataki umalize shule, hataki upate kazi kwa kisomo chako, wanajua kwamba wewe ni kichwa na wanajua uwezo wako ni mkubwa kama ulivosema wewe ni mbunifu (siku zote wachawi wanapenda kuangusha mtu chuma yaani kucheza na mwenye nyota nzuri).

Wewe fanya reverse yaani fanya mengine kama biashara na lazima utafanikiwa japo iwe siri, usikae karibu na wanao kujua, mara nyingi huu mtego ni mtu wa karibu kakufanyia yaani ndugu, waambie bado maisha yako ni taabani, ili wafikiri wamekuweza kumbe ushawasoma.

Siku zote mchawi ukimwona kakuzidi mwache kaa kimya maana wanafikaaga mahali wanachoka, wanazeeka na wanakufa, huwezi logwa milele.

Mimi haya yako yamenitokea nimeota nasoma msingi, sekondari mpaka chuo kikukuu, that means kuna tego wamelicheza......wengine wanakufukuza kwenu kwa kutegewa uchawi wa kiatu, kwamba ukienda Dar, ardhi ya kwenu hutokaa urudi tena wala kufikiri kuiwaza kuirejea.....
Upo sawa ishu ni nyota, nguvu au jina lako limenenwa kwenye uchawii wengine wanafanya na kafara za kichawi km kuchinja ama matambiko ili kuyapa manuizi hayo nguvu!

Unafikiri unatoka kirahis mzee Eric?

Mm sitaki hata mchawi anisogelee maake wale ni wauaji waziwazi so poa.....


Kuzeeka kwao au kufa, mtu alishakufunga so sad
 
Kiuhalisia maisha yangu yamegubikwa na kutopiga hatua ya maana, ukataa wa muda mrefu na kunung'unika sanaa kutokana na shughuli za kimaendeleo kutolipa.

Nikianzisha kitu huwa hakitimii kwa matunda mazuri ingawa Mungu kanjalia ubunifu.

Nimesikia mengi kuhusu hzi ndoto,. Je zina maana yoyote ile inayoathiri maisha yangu au hzi ndoto ni matokeo ya mawazo yangu na hali yangu ya ukata?
hiyo mbona iko wazi sana gentleman,

unakumbushwa tu kwamba inafaa kwenda kuongeza ujuzi wa kitaaluma 🐒
 
Ai
Upo sawa ishu ni nyota, nguvu au jina lako limenenwa kwenye uchawii wengine wanafanya na kafara za kichawi km kuchinja ama matambiko ili kuyapa manuizi hayo nguvu!

Unafikiri unatoka kirahis mzee Eric?

Mm sitaki hata mchawi anisogelee maake wale ni wauaji waziwazi so poa.....


Kuzeeka kwao au kufa, mtu alishakufunga so sad
AiSee
 
Mungu mara nyingi anaongea na sisi kupitia ndoto, hii ndoto ikikutokea maana yake kuna very big obstacle kwenye maisha yako, toa sana sadaka na sali sana mungu akusaidie kuondoa huo mkwamo kwenye mambo yako
Hapo kwenye sadaka unamaanisha kidogo alicho nacho akampe mchungaji ajitafunie na familia yake?
 
Sawa mkuu
Sisi waafrika bado hatujaqualify kuwa binadamu.
Hatujawa na uelewa au ufahamu wa kufikiri kama binadamu anavyotakiwa kuwa, bado tuna akili zinazofanya kazi kama wanyama, mjusi, ng'ombe au nyani.

Bado tunaamini kuna mapepo, maruhani, miujiza, ulimwengu wa roho, mapopo bawa na mizimu. Wote huo ni ukosefu wa elimu, uelewa, na matokeo ya kuwa na fikra duni kama za wanyama.

Ukweli ni kwamba, ndoto ni matokeo ya ubongo.

Ubongo unafanyia kazi vitu ambavyo umewahi kuviona, kuvifanyia kazi ama kuviwaza, na ndio maana ni vigumu sana mtu kuota anafanya mapenzi na mama yake mzazi kwa sababu hajawahi kuwaza hivyo.

Sababu inayomfanya mtu aote mara kwa mara yuko shuleni ni kwa sababu ndipo sehemu pekee aliyotumia muda mrefu kuliko sehemu yeyote ya maisha yake.

Kila ukilala, ubongo ukitaka kurecall, unakutana na sehemu hiyo iko restored mara nyingi.

Lakini kwa sababu kuna watu wasio wema, wezi na matapeli, wanatumia uelewa wetu finyu, kutudanganya na kututapeli, watakuambia kuna watu wamekuroga, au wanakuzibia nyota usifanikiwe.

Post hii aione Intellectual Kiranga dada mrembo Joanah na mganga wa kienyeji Mshana Jr
 
Back
Top Bottom