Kwa muda mrefu sasa Naota sana kurudishwa kurudi shule, kama leo nimeota nachapwa parade

Kuhusu waganga mimi ni muoga sana. Kuhusu maombi, mimi sio mtu wa kusali nilishaacha nilipogundua wachungaji wananeemeka kupitia sisi. Sadaka huwa natoa kwa kuwasaidia wale watoto wa familia zisizojiweza
Sawa mkuu
 
Hizo ndoto ni ishara kuna mipango yako umeipanga vibaya...tena ni mipango ya msingi....mm zilinisumbua sana ila nilivyojua siri hiyo nikawa najua jinsi ya kukabiliana nazo....yan nikipanga mambo yangu alafu nikianza kuota hizo ndoto nabadilisha mpango bhas nazenyewe zinakata....
 
Hii maana yake Kuna jambo kubwa na gumu lipo mbele yako......na bahati nzuri umeshafanya Kila kituo kulitatua au kuksbiliana nalo(umeshamaliza shule) kwa hiyo usiogope kula maisha...mambo yamesja jisort
 
Duh ndugu ni hatari sana na haya yapo sana kwenye koo zetu
 
Ndoto ni matokeo ya ubongo kuchakata taarifa na kumbukumbu zilizopo akilini wakati upo usingizi. Ndoto hazina tafsiri yoyote kama inavyosemekana na wengi
S kweli kuna. Siku unaweza muota ambaye hamjaonana siku nyingi mara paap asubuhi huyo ndo anakuwa wa kwanza kuonana nae
 
Inategemea kama Unaota unachapwa fimbo za makalio! 🤔(chunga sana yas yako)

Kama ni fimbo za mikono, maana ake uongeze bidii sana kwenye njia za ufanyaji kazi, aidha unalega lega au ubadilishe mapema baadae usije Pata mkwamo

Mwsho, kama ni fimbo za miguu, angalia watu unaoambatana, je ni watu sahihi, mahali unapopendelea kwenda🙏
 
Mbona halipo dada
 
Uongo mtupu.
Sio uongo,Bora huyu kaweka wazi Mimi nimewahi kuwa naota hivyo hivyo mara kadhaa Niko Chuo nafanya mtihani wa SoMo ambalo sikuwa nlimudu vizuri na kiasi nahofia sitopata cheti ,severa times lakini Cha kushangaza huko nilishavuka na cheti ninachi ila Sasa Huwa zinanitesa sana na sielewi manake ni nini but wengi niliojaribu kuwashilikisha Huwa wanasema Kuna kauzibe umewekewa na nani hapo ndio mtihani kujua.
 
Kuhusu waganga mimi ni muoga sana. Kuhusu maombi, mimi sio mtu wa kusali nilishaacha nilipogundua wachungaji wananeemeka kupitia sisi. Sadaka huwa natoa kwa kuwasaidia wale watoto wa familia zisizojiweza
Ukiniuliza Mimi siwezi kushauri.kwenda Kwa waganga au sijui wachungaji Kwa sababu wengi wao wamekuwa matapeli.

So ni Bora kukomaa na Imani Yako kuomba mwenyewe Kwa sababu hata wao unaotaka kuwaendea sio Mungu ni watu kama wewe.
 

Hahahahhh mkuu mbona umetoa mfano mgumu sana wa mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…