Pre GE2025 Kwa Mujibu wa Tundu Lissu, Majimbo Mapya hutengezwa kutoa fursa kwa watu fulani fulani nao wapate majimbo. Kama ni kweli basi tuna safari ndefu

Pre GE2025 Kwa Mujibu wa Tundu Lissu, Majimbo Mapya hutengezwa kutoa fursa kwa watu fulani fulani nao wapate majimbo. Kama ni kweli basi tuna safari ndefu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Tuko live kwenye mkutano wa Viongozi wa Chadema na Jukwaa la Wahiriri wa habari.

Mambo yanayozungumzwa humo ni mazito sana.

Tundu Lissu anasema kuna hali isiyo na usawa ktk kugawa majimbo sehemu mbali mbali nchini.

Anatoa mifano kuwa Dar yenye wapiga kura zaidi ya milioni 3 ina majimbo Machache kuliko Njombe yemye wapiga kura wasiozidi laki sita.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Na baadhi ya mikoa imepewa majimbo mapya. Na anadai kuwa majimbo mengine ni matumizi mabaya ya fedha za kuendeshea lakini hayahitajiki ispokuwa yanawekwa ili kutoa fursa kwa watu fulani fulani.

Hii haipendezi kabisa ikiwa Watanzania tunalipa kodi kwa lengo wa kuendeaha shughuli za seeikali na maendeleo lakini zinaweza kuishia kuhudumia watu wachache. Hili serikali iliagalie upya.

Bonne jourrnée
 
Hili linapaswa liangaliwe kwa umakini wa hali ya juu . Maana ma opportunist siku hizi wana ushawishi mpaka tume ya uchaguzi
 
Hili linapaswa liangaliwe kwa umakini wa hali ya juu . Maana ma opportunist siku hizi wana ushawishi mpaka tume ya uchaguzi
Kwa hiyo unaweza kuona watu wanagawana tu majimbo, wanapasua jimbo moja linazaa matatu😀😀😀
 
Uchaguzi wa kabla Bashe akawekewa mizegwe sio raia. Uliofuata wakashikiana bastola. Kisha CCM ikagawa jimbo. Tuna safari ndefu mkuu.
Kule juu hakuna mtu anahangaika na gharama za kuendesha nchi
Mwee ilifika mahali wakataka kupigama mambo ya kisomalia? Duuh
 
Kila Halmashauri ingekuwa jimbo la uchaguzi. Wabunge 185 wangetosha sana. Halmashauri ina DED mmoja na kazi zinaenda lakini katika Halmashauri hiyo hiyo kuna wabunge wawili au zaidi😂😂😂!! Hivi kati ya ubunge na uDED ipi kazi ngumu?
 
Back
Top Bottom