Pre GE2025 Kwa Mujibu wa Tundu Lissu, Majimbo Mapya hutengezwa kutoa fursa kwa watu fulani fulani nao wapate majimbo. Kama ni kweli basi tuna safari ndefu

Pre GE2025 Kwa Mujibu wa Tundu Lissu, Majimbo Mapya hutengezwa kutoa fursa kwa watu fulani fulani nao wapate majimbo. Kama ni kweli basi tuna safari ndefu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hilo chiba Kila jambo ye linabisha tu, hao anaofanya nao kazi watakuwa manyumbu kweli kweli.
 
Tuko live kwenye mkutano wa Viongozi wa Chadema na Jukwaa la Wahiriri wa habari.

Mambo yanayozungumzwa humo ni mazito sana.

Tundu Lissu anasema kuna hali isiyo na usawa ktk kugawa majimbo sehemu mbali mbali nchini.

Anatoa mifano kuwa Dar yenye wapiga kura zaidi ya milioni 3 ina majimbo Machache kuliko Njombe yemye wapiga kura wasiozidi laki sita.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Na baadhi ya mikoa imepewa majimbo mapya. Na anadai kuwa majimbo mengine ni matumizi mabaya ya fedha za kuendeshea lakini hayahitajiki ispokuwa yanawekwa ili kutoa fursa kwa watu fulani fulani.

Hii haipendezi kabisa ikiwa Watanzania tunalipa kodi kwa lengo wa kuendeaha shughuli za seeikali na maendeleo lakini zinaweza kuishia kuhudumia watu wachache. Hili serikali iliagalie upya.

Bonne jourrnée


Yaani Lissu anatoa hoja na data wanahabari wanajichekesha na kuji aibisha kwa uchawa
 
Screenshot_20250302-200034.jpg
 
Anatoa mifano kuwa Dar yenye wapiga kura zaidi ya milioni 3 ina majimbo Machache kuliko Njombe yemye wapiga kura wasiozidi laki sita.
Nimesikia pia kule kwa Ole sendeka Simanjiro ambako idadi ya watu haizidi laki 2 nako wanataka kugawa jimbo yapatikane majimbo mawili...inasikitisha sana!
 
Nzega iligawanywa ili Kigwa na Bashe wasiuane.


Umeniwahi. Nilitaka kukizungumza hili la Nzega.

Hakika Nzega haikuhitaji jimbo jingine ila liliongezwa baada ya kuonekana Kigwangala ambaye alikuwa kipenzi cha Salma Kikwete, hawezi kumshinda Bashe.

Fikiria wilaya ya Nzega ina majimbo matatu!!

Nchi hii kuna watu wameifanya ni mali tao binafsi, na raia wengine wote ni wapangaji.
 
Ifahamike wazi kwa waTanzania wote, kwamba majimbo ya uchaguzi nchini yataendelea kugawanywa kadiri ya mahitaji ya wananchi na kwa kadri inavyoonekana inafaa,

huo ni uamuzi wa wananchi,
na serikali sikivu ya CCM haitasita kutekeleza mapendekezo ya wananchi na hatimae kupata uwakilishi wa kutosha kwenye vyombo vya maamuzi na huduma za kijamii.

makelele na mdomo wa uropokaji wa vibaka na matapeli wa kisiasa haitazui mabadiliko hayo kufanyika 🐒


Wewe punguani acha kupiga kelele, acha wenye akili timamu wajadili hoja za msingi. Usicjafue majadala kwa ujinga wako.

Kwa mtu mwenye akili timamu, utatoa sababu gani ya msingi, wilaya ya Nzega, yenye watu wasiozidi laki 2, ina majimbo ya uchaguzi matatu, wakati kuna wilaya zina wakazi zaidi ya laki 5 lakini zina jimbo1.
 
Peramiho iligawanywa na kuizalisha madaba, ili Jenista na Joseph wasitoane ngeu.

Lissu yuko sahihi kabisa.
acha upotoshaji madam,
Peleka mapendekezo yako ya kugawanywa jimbo lolote la uchaguzi kwenye tume huru ya Taifa ya uchuguzi,
kubabaika na kubweka bweka kwa vibaka na matapeli wa kisiasa nchini hakutabadili chochote,

maoni ya wananchi ndiyo kusema 🐒
 
Wewe punguani acha kupiga kelele, acha wenye akili timamu wajadili hoja za msingi. Usicjafue majadala kwa ujinga wako.

Kwa mtu mwenye akili timamu, utatoa sababu gani ya msingi, wilaya ya Nzega, yenye watu wasiozidi laki 2, ina majimbo ya uchaguzi matatu, wakati kuna wilaya zina wakazi zaidi ya laki 5 lakini zina jimbo1.
we mbwelambwela kadiri uwezavyo humu JF, wakati wananchi wakiendelea kutoa mapendekezo yao dhidi ya majimbo ya uchuguzi ambayo wanapendelea yagawanywe na kuanua wigo wa uwakilishi na kusogeza huduma za kijamii karibu zaidi na wananchi.

hakuna kibaka wala tapeli yeyote anaweza kuitumbukiza nchi yetu kwenye mfumo wanaoshadadia matapeli hao.

maoni ya wanainchi na waTanzani ndio yataamua ni vip majimbo ya uchuguzi na si vinginevyo, hapatakua na serikali za majimbo Tanzania 🐒
 
Tuko live kwenye mkutano wa Viongozi wa Chadema na Jukwaa la Wahiriri wa habari.

Mambo yanayozungumzwa humo ni mazito sana.

Tundu Lissu anasema kuna hali isiyo na usawa ktk kugawa majimbo sehemu mbali mbali nchini.

Anatoa mifano kuwa Dar yenye wapiga kura zaidi ya milioni 3 ina majimbo Machache kuliko Njombe yemye wapiga kura wasiozidi laki sita.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Na baadhi ya mikoa imepewa majimbo mapya. Na anadai kuwa majimbo mengine ni matumizi mabaya ya fedha za kuendeshea lakini hayahitajiki ispokuwa yanawekwa ili kutoa fursa kwa watu fulani fulani.

Hii haipendezi kabisa ikiwa Watanzania tunalipa kodi kwa lengo wa kuendeaha shughuli za seeikali na maendeleo lakini zinaweza kuishia kuhudumia watu wachache. Hili serikali iliagalie upya.

Bonne jourrnée
No reforms no election
 
Back
Top Bottom