Kwa mujibu wa World Index hizi ndio nchi masikini kuliko zote 2024

Tulikua huku wakati wa mkapa,yaani wa pili toka chini
 
Central Africa inachekesha sana huwa naangalia documentary za huko, Ni huzuni.
Wanaibiwa sanaa madini na Hawa wazungu..Kuna rafk yangu alikuwa mission ya kijeshi huko mwaka jana kanambia Hawa wazungu ndo wamefanya uchumi wao uwe vile cz mpk magar ya UN yanapakia mqdini kwenya airport kwa akili ya kuyasafirisha kwenda nje
 
Wanaibiwa sanaa madini na Hawa wazungu..Kuna rafk yangu alikuwa mission ya kijeshi huko mwaka jana kanambia Hawa wazungu ndo wamefanya uchumi wao uwe vile cz mpk magar ya UN yanapakia mqdini kwenya airport kwa akili ya kuyasafirisha kwenda nje

Ni ujinga kuendelea kuwapa lawama mizungu hadi Leo. Hadi wamatumbi wajue kutake accountability for their own actions hawawezi kuendelea. This applies to all African nations. Bongo bunge linapitisha miswada ya ajabu ajabu wakati kuna mambo ya msingi bado mtasingizia mizungu. Hata CAR ni hivyo hivyo.

Hii nayo wamesababisha mizungu:

 
Na huu umeme kukatika, bado hatjaingia 10 bora za masikini? Mama anajitahidi.
 
Siioni Zimbabwe. ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…