Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo Bora kabisaaaaaaaTanzania imezungukwa na masikini wanne hapo lakini imeshindwa kuwageuza fursa!
Djibout per capita washa pita $3000 njaa hio ni Djibout ya zamani sio ya sasa, nafkiri kama 16% ndio wapo chini ya Dola, kwa Level za Africa hawapo huko chini.hamna lolote mkuu, njaa tu kule, sema population yao ndogo
JPM alitutoa huko tukaingia uchumi wa kati.Tulikua huku wakati wa mkapa,yaani wa pili toka chini
Imeandikwa wolrd index af unauliza maswali ganiDuniani au Afrika?
hapa iinakuaje kuaje tena kamanda??Central Africa inachekesha sana huwa naangalia documentary za huko, Ni huzuni.
Ukishakuwa wa mwisho africa ndio wa mwisho duniani,
Tungo tataImeandikwa wolrd index af unauliza maswali gani
Congo wakiacha ujinga wao wakatulia ndani ya miaka 10 lazima wawe katika Top ya richest countries...Congo kuna kitu kimoja tu lazima wanasiasa wakubali kuwa wamoja sio vita daily hazina mpangoD.R Congo?
1. Udongo (vumbi) wenyewe wanauza nje ya nchi
2. Madini
3. Umeme
4. Etc
How comes ni listed masikini?
Kwa Africa ni miongoni mwa nchi zinayoongoza kwa matumizi/ununuzi ya/wa silaha
Hizo nchi zina watu wa hovyo haswa tamaduni zetu hapa bongo walishatoka kitambo ,nchi hizo jamii za watu wanaishi porini kama Hadzabe ni nyingi...Wale wachache wamekuwa wezi tu wa mali kazi kuwekeza njeHalafu nchi zilizotawaliwa na Ufaransa ndizo zinaongoza kwa umasikini. Hapa kuna kitu cha kujifunza.
Acha ujingaJPM alitutoa huko tukaingia uchumi wa kati.
Kuna sentensi kwa kiingereza zinaitwa Paradox.hapa iinakuaje kuaje tena kamanda??
Ila fedha yao iko juu ni mara nne ya TZ shilling ajabu sana yaani ukiwa na CFA ya Central Africa 10,000 bongo ni Tsh 40,000/-50,000/Central Africa inachekesha sana huwa naangalia documentary za huko, Ni huzuni.
Central Africa ni taifa linalomilikiwa na kikundi Cha watu , afu huko kumiliki jembe ni marufukuCentral Africa na Congo ni moja ya Nchi zilizobarikiwa zaidi ni Kubwa na Wana Kila kitu
Madini yote , ardhi nzuri , misitu ya Asili kuliko nchi yoyote Duniani
Mzungu aliwaachia laana hizi Nchi.
Huko CAR Mji mkuu wao tu Bangui ni kidongo chekundu balaa utasema uko Kigoma, kuna sehemu hadi mjini kati kabisa lakini lami hakuna, sasa sijui hiyo miji mingine kukojeCentral Africa inachekesha sana huwa naangalia documentary za huko, Ni huzuni.