Kwa mujibu wa World Index hizi ndio nchi masikini kuliko zote 2024

Kwa mujibu wa World Index hizi ndio nchi masikini kuliko zote 2024

GDP per capita PPP (growth domestic product per capita, purchasing power parity)

1.[emoji1223] South Sudan: $492
2.[emoji1060] Burundi: $936
3.[emoji1068] Central African Rep: $1,140
4.[emoji1078] D.R. Congo: $1,570
5.[emoji1174] Mozambique: $1,650
6.[emoji1156] Malawi: $1,710
7.[emoji1183] Niger: $1,730
8.[emoji1070] Chad: $1,860
9.[emoji1148] Liberia: $1,880
10.[emoji1155] Madagascar: $1,990

Alafu nilikuaga najua Madagascar ni nchi fulani yenye uangalau kumbe chalii

Waliotuambia tukimbilie Burundi hawatutakii mema. Miaka ya 90 hadi 2000 burundi na Rwanda zilikuwa na uchumi sawa.
Tanzagiza imenusurika?
 
Rwanda ufisadi na Rushwa vimekufa kabisa nazani Kuna mda viongozi kama Paul Kagame wanahitajika kwenye nchi za kiafrika ambazo, viongozi wameweka mbele masilahi binafsi
 
Kula data za ukweli hizi kutoka IMF
IMG-20240215-WA0119.jpg
 
GDP per capita PPP (growth domestic product per capita, purchasing power parity)

1.[emoji1223] South Sudan: $492
2.[emoji1060] Burundi: $936
3.[emoji1068] Central African Rep: $1,140
4.[emoji1078] D.R. Congo: $1,570
5.[emoji1174] Mozambique: $1,650
6.[emoji1156] Malawi: $1,710
7.[emoji1183] Niger: $1,730
8.[emoji1070] Chad: $1,860
9.[emoji1148] Liberia: $1,880
10.[emoji1155] Madagascar: $1,990

Alafu nilikuaga najua Madagascar ni nchi fulani yenye uangalau kumbe chalii

Waliotuambia tukimbilie Burundi hawatutakii mema. Miaka ya 90 hadi 2000 burundi na Rwanda zilikuwa na uchumi sawa.awa
Somalia ,hawa vipi,wanalima nini?,wanachimba nini?viwanda je?,au bandari zake,labda Al shababu/diaspora.nashsngaa!
 
Back
Top Bottom