Kwa mujibu wa World Index hizi ndio nchi masikini kuliko zote 2024

Tanzagiza imenusurika?
 
Rwanda ufisadi na Rushwa vimekufa kabisa nazani Kuna mda viongozi kama Paul Kagame wanahitajika kwenye nchi za kiafrika ambazo, viongozi wameweka mbele masilahi binafsi
 
Somalia ,hawa vipi,wanalima nini?,wanachimba nini?viwanda je?,au bandari zake,labda Al shababu/diaspora.nashsngaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…