Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Nenda Feza, Agakhan huko watoto wa viongozi wakubwa wote ndo husoma huko
Wanafanya makusudi ili mtoto wa masikini aendelee ksomea chini ya mibuyu
 
Amini nawaambia kabisa kuwa CCM siyo wajinga kiasi hicho.

Kama watawala wanafuatilia mikutano ya CHADEMA kuhusu katiba mpya naamini wanalo jambo moyoni mwao.

Siamini kama watakuwa tayari kukubali kupitisha katiba mpya ya kweli kwa nia safi kabisa.

Mikutano yote ya CHADEMA imekuwa na mutikio chanya wa wananchi wasomi na kina maamuuma.

Inaonyesha sasa watanzania wameanza kuelewa maana ya upinzani na wapo tayari kuitupilia mbali CCM.

Hapa ni Mpanda ambako CCM huwa inajivunia kupata wapiga kura wengi kila uchaguzi.

Afadhali umelijua hilo. Nani aweke kichwa chake katika mdomo wa mamba kwa CCM kukubali katiba ya ukweli? Jibu ni hakuna!!! Na kila mtu hata Mbowe analijua hili na kukubali iwe Katiba feki kwa mgongo wa maridhiano. Naona hata Tundu Lissu kakubali kuonjeshwa asali kwa kutumia Helikopta maana alikuwa anaona wivu Mbowe kutumia Helikopta wakati yeye anatumia barabara. Sukari ya warembo hiyo kutoka kwa CCM
 
Afadhali umelijua hilo. Nani aweke kichwa chake katika mdomo wa mamba kwa CCM kukubali katiba ya ukweli? Jibu ni hakuna!!! Na kila mtu hata Mbowe analijua hili na kukubali iwe Katiba feki kwa mgongo wa maridhiano. Naona hata Tundu Lissu kakubali kuonjeshwa asali kwa kutumia Helikopta maana alikuwa anaona wivu Mbowe kutumia Helikopta wakati yeye anatumia barabara. Sukari ya warembo hiyo kutoka kwa CCM
Kama inawezekana kirahisi nawe nenda kapewe
 
CCM na katiba mpya uenda hawatishiki na muamko huo hivyo watafanya siasa za kujisafisha Kwa sana(hapa itaegemea kwenye upepo wa nchi wakati huo).
Team ya itikadi na uenezi CCM iko kwenye usingizi mzito wakati CHADEMA inachanja mbuga haswa kwenye kanda zenye wapiga Kura wengi , hivi ni kwamba CCM imeishiwa pumzi au kujiamini kumepita kiasi? .
Kwa Mwendo huu iko wazi hatma ya katiba mpya ni baada ya 2025 na si vinginevyo.
 
CCM na katiba mpya uenda hawatishiki na muamko huo hivyo watafanya siasa za kujisafisha Kwa sana(hapa itaegemea kwenye upepo wa nchi wakati huo).
Team ya itikadi na uenezi CCM iko kwenye usingizi mzito wakati CHADEMA inachanja mbuga haswa kwenye kanda zenye wapiga Kura wengi , hivi ni kwamba CCM imeishiwa pumzi au kujiamini kumepita kiasi? .
Kwa Mwendo huu iko wazi hatma ya katiba mpya ni baada ya 2025 na si vinginevyo.
Unataka CCM ifanye nini wakati Mbowe anasifia Samia ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, wapuuzi kama Mmawia ndiyo hawaoni hilo
 
SISI CCM HATUOGOPI MBONA TUMERUHUSU MIKUTANO YA SIASA LAKINI MNAJIGONGAGONGA TU
 
Tunataka Fedha za Miradi kutoka IMF…hizi picha ni muhimu sana kwa Comrade Mwigulu Nchemba kwny kukamilisha project paper
IMF ilshatoa fedha acha uongo roho inakuuma.

Watanzania kwasasa hawajali Vyama wanataka KATIBA MPYA.
 
IMF ilshatoa fedha acha uongo roho inakuuma.
Fedha za IMF hazina deadline ni mchakato endelevu…au tusubiri Katiba mpya ili ujifunze haya ?

inaonesha uko busy kudai Katiba mpya.

Roho inaniuma vipi wakati Znz Chama changu kina Muafaka na ACT na huku tuna muafaka na Chadema?

ukiacha miaka 7 ya Magufuli huko nyuma kulikuwa na ruhusa ya mikutano na maandamano ? mlibadilisha kipi?

najua hata hao waliopo kwny hiyo mikutano wanalipwa perdiem na maisha yao na familia zao yamefunguka na ndio msingi wa utulivu tunaoombea
 
ukiacha miaka 7 ya Magufuli huko nyuma kulikuwa na ruhusa ya mikutano na maandamano ? mlibadilisha kipi?
Mkuu kama Uchaguzi utakuwa wa HURU na HAKI basi CHADEMA tunaenda kuchukua DOLA Humphrey Polepole alishasema.
 
Mkuu kama Uchaguzi utakuwa wa HURU na HAKI basi CHADEMA tunaenda kuchukua DOLA Humphrey Polepole alishasema.
Uchaguzi 'huru na haki' unapiganiwa hauji kama mawimbi ya bahari au chafya …na kupigania huo uhuru na haki unahitaji rasilimali akili na maarifa ambavyo ndio kikwazo kwa sasa


'…Aisee huyu Demu kama nitafanikiwa kumpata lazima akubali show yangu…'


kuna hatua kadhaa lazima ufanikishe ili ufikie hayo malengo ya kuonesha hiyo show

una nyenzo za kufikia hiyo hatua ya kupata ridhaa ya kuonesha hiyo show?
 
Usiwaamini sana wananchi,kujaa kwenye mkutano usiweke kama alama ya watu kuelewa somo.

Wakitoka hapo wanarudgi majumbani kuchambua n kujadili hoja walizozisikia. na majibu yao huwa ni kwenye sanduku la kura.
 
Amini nawaambia kabisa kuwa CCM siyo wajinga kiasi hicho.

Kama watawala wanafuatilia mikutano ya CHADEMA kuhusu katiba mpya naamini wanalo jambo moyoni mwao.

Siamini kama watakuwa tayari kukubali kupitisha katiba mpya ya kweli kwa nia safi kabisa.

Mikutano yote ya CHADEMA imekuwa na mutikio chanya wa wananchi wasomi na kina maamuuma.

Inaonyesha sasa watanzania wameanza kuelewa maana ya upinzani na wapo tayari kuitupilia mbali CCM.

Hapa ni Mpanda ambako CCM huwa inajivunia kupata wapiga kura wengi kila uchaguzi.

Acha kazi gn endeleee katiba mpya
 
Amini nawaambia kabisa kuwa CCM siyo wajinga kiasi hicho.

Kama watawala wanafuatilia mikutano ya CHADEMA kuhusu katiba mpya naamini wanalo jambo moyoni mwao.

Siamini kama watakuwa tayari kukubali kupitisha katiba mpya ya kweli kwa nia safi kabisa.

Mikutano yote ya CHADEMA imekuwa na mutikio chanya wa wananchi wasomi na kina maamuuma.

Inaonyesha sasa watanzania wameanza kuelewa maana ya upinzani na wapo tayari kuitupilia mbali CCM.

Hapa ni Mpanda ambako CCM huwa inajivunia kupata wapiga kura wengi kila uchaguzi.

Ni kuchelewesha mazishi tu ila mgonjwa alishakufariki
 
Mwitiko zaidi ya ule wa Lowasa?
Lowassa hukuleta mwitikio bali aliuukuta. Angeenda TLP kisha apate mwitikio ule ndio mngeweza kusema kuwa ni mafuriko ya Lowassa. Kama kuna mahali viongozi wa CDM walitukosea ni kumuokotoa yule mzee tapeli wa kisiasa na kutuletea ndani ya CDM.
 
Back
Top Bottom