Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Upo sehemu gani hapo Ngara?upo Kabanga au rusumo?
nipo maeneo ya Kawe kanisani kwa leo

siku zingine nakuwa kwa bi mdogo Maeneo ya Buza japo sio kwa Mpalange …karibu sana
 
nipo maeneo ya Kawe kanisani kwa leo

siku zingine nakuwa kwa bi mdogo Maeneo ya Buza japo sio kwa Mpalange …karibu sana
Nipo Rusahunga naenda kwenu Ngara kuhesabu wahamihaji
 
Hao watu Huwa wanakuja kuwashangaa tuu,waambie wakapige kura au kuandamana kama utawaona
Kupiga kura imedhihirika huwa wanawapigia CDM, ndio maana kasi ya kulazimisha kupita bila kupingwa inaongezeka. Huku uhayawani wa hali wa juu ukitawala ili CCM watangazwe washindi kwa shuruti.

Kuingia barabarani kila mtu ana utashi wake maana pale sio ushindani wa kisiasa, bali kuhatarisha maisha. Ilitakiwa wakiandamana wapinzani wasije askari wenye silaha, bali wajitokeze wanaccm kuwazuia, hapo ndio mngejua hamjui.
 
Amini nawaambia kabisa kuwa CCM siyo wajinga kiasi hicho.

Kama watawala wanafuatilia mikutano ya CHADEMA kuhusu katiba mpya naamini wanalo jambo moyoni mwao.

Siamini kama watakuwa tayari kukubali kupitisha katiba mpya ya kweli kwa nia safi kabisa.

Mikutano yote ya CHADEMA imekuwa na mutikio chanya wa wananchi wasomi na kina maamuuma.

Inaonyesha sasa watanzania wameanza kuelewa maana ya upinzani na wapo tayari kuitupilia mbali CCM.

Hapa ni Mpanda ambako CCM huwa inajivunia kupata wapiga kura wengi kila uchaguzi.

CCM ukiona imekubali jambo ni kwamba washalipatia mbinu
 
wameshasahu nyomi la Ngoyai 2015 lakini …
Ngoyai nyomi kalikuta CDM wala sio aliyelileta. Angeenda UPDP apate nyomi lile tungeamini yeye ndio kayaleta. Usidhani hatujui ukweli huo.
 
CCM ukiona imekubali jambo ni kwamba washalipatia mbinu
Hawana mbinu yoyote zaidi ya kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Wangekuwa na akili hiyo nchi hii isingeendelea kuwa masikini hivi.
 
Siamini kama watakuwa tayari kukubali kupitisha katiba mpya ya kweli kwa nia safi kabisa.
Katiba mpya itaundwa lkn itakuwa siyo katiba bora, itakuwa na mianya ya ccm kupitisha uhuni wao
 
Ngoyai nyomi kalikuta CDM wala sio aliyelileta. Angeenda UPDP apate nyomi lile tungeamini yeye ndio kayaleta. Usidhani hatujui ukweli huo.
ni kweli kalikuta na halikumsaidia

kama vile kukimbilia boya baada ya kutoswa majini na wagiriki kumbe boya lenyewe boya kweli
 
ni kweli kalikuta na halikumsaidia

kama vile kukimbilia boya baada ya kutoswa melini na wagiriki kumbe boya lenyewe boya kweli
Niliwadharau sana viongozi wa CDM kumpokea yule muhuni na kumpa nafasi adhimu vile. Kwa kiwango kikubwa haiba ya CDM iliharibika kwa blunder ile.
 
Hawana mbinu yoyote zaidi ya kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola. Wangekuwa na akili hiyo nchi hii isingeendelea kuwa masikini hivi.
Ccm walishaleweshwa na madaraka maana miaka 60 ni mingi sana
 
Katiba mpya itaundwa lkn itakuwa siyo katiba bora, itakuwa na mianya ya ccm kupitisha uhuni wao
Nakuunga mkono katika hili. Itakuwa ni katiba ya danganya toto. Katiba ya kweli ni baada ya machafuko, au jeshi kupindua nchi. Kisha maoni ya kweli ya wananchi ndio yangekuwa na nguvu.
 
Niliwadharau sana viongozi wa CDM kumpokea yule muhuni na kumpa nafasi adhimu vile. Kwa kiwango kikubwa haiba ya CDM iliharibika kwa blunder ile.
Na blunder hii ndiyo ikawa mwanzo wa kuiua hata spirit ya wanachama na wapenzi wa chadema kuwa tayari kufanya chochote kwa jasho na damu.
 
Back
Top Bottom