Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Nakuunga mkono katika hili. Itakuwa ni katiba ya danganya toto. Katiba ya kweli ni baada ya machafuko, au jeshi kupindua nchi. Kisha maoni ya kweli ya wananchi ndio yangekuwa na nguvu.
Naam! Mbuzi (ccm) hawezi kunoa kisu (kuunda katiba bora) ili kije kumchinja mwenyewe
 
Na blunder hii ndiyo ikawa mwanzo wa kuiua hata spirit ya wanachama na wapenzi wa chadema kuwa tayari kufanya chochote kwa jasho na damu.
Sasa hivi kuna kazi mbili kubwa

1. Kurudisha imani ya wananchama kwa chama na uongozi.

2.kushawishi wananchi kujiunga na chama
 
Nakuunga mkono katika hili. Itakuwa ni katiba ya danganya toto. Katiba ya kweli ni baada ya machafuko, au jeshi kupindua nchi. Kisha maoni ya kweli ya wananchi ndio yangekuwa na nguvu.
Nakubaliana na wewe
 
Kinana amepotea hata haonekani kwenye misiba. Yasemekana ameenda China na ataenda Urusi na Korea Kaskazini kuzisoma katiba zao na kuzungumza na wakuda wa nchi hizo halafu ndipo aje kukutana na viongozi wa vyama vya siasa na wadau wengine kujadili katiba mpya.
 
Watanzania tunafeli sana pale tunapowaachia wanasiasa peke yao ndio wapambanie upatikanaji wa katiba mpya. Watanzania tusingekuwa na usingizi wa pono hili suala la katiba mpya lingekuwa ni jukumu la kila mtanzania mwenye akili timamu kupaza sauti tukiongozwa na makundi mbali mbali ya kiraia mfano, viongozi wa dini, wasomi, wana sheria na asasi mbali mbali za kiraia. Kwakuwa tumeamua chadema ndio wapambanie upatikanaji wa katiba basi hatupaswi kubeza juhudi na jitihada wanazozionesha. Kama hatuwezi kuwasaidia chadema we better keep quiet tusubiri matokeo.
 
Tunataka Fedha za Miradi kutoka IMF…hizi picha ni muhimu sana kwa Comrade Mwigulu Nchemba kwny kukamilisha project paper


'Demokrasia imeimarishwa sana katika kipindi hiki ikiwemo kuruhusu mikutano ya Siasa ( angalia kimbatisho)'

Tunawashukuru sana wana maridhiano wenzetu wa upande wa pili kwa kazi hii
Nakubaliana nawe kabisa. Huo ni mkakati wa kuhalalisha kuwa demokrasia ipo juu kumbe ni mamluki wa upande uleeeee walioagizwa kujaza uwanja. Inanikumbusha TIMU za Yanga na Simba wanapocheza na timu za nje mashabiki wa upande pinzani hujaa ili kuwazomea mahasimu wao. Hatareeee!
 
Watanzania tunafeli sana pale tunapowaachia wana siasa peke yao ndio wapambanie upatikanaji wa katiba mpya. Watanzania tusingekuwa na usingizi wa pono hili suala la katiba mpya lingekuwa ni jukumu la kila mtanzania mwenye akili timamu kupaza sauti tukiongozwa na makundi mbali mbali ya kiraia kama viongozi wa dini, wasomi, wana sheria na asasi mbali mbali za kiraia. Kwakuwa tumeamua chadema ndio wapambanie upatikanaji wa katiba basi hatupaswi kubeza juhudi na jitihada wanazozionesha. Kama hatuwezi kuwasaidia chadema we better keep quiet tusubiri matokeo.
Hakika umetoa mchango mzuri sana ikiwa ni elimu tosha kwa watanzania.

Ubarikiwe sana popote pale ulipo na sisi wana cdm kamwe hatutachoka au kukatishwa tamaa na wanaobeza.
 
kwa hiyo Babu Seya asingetolewa kabisa hiyo kutolewa usiku isingekuwa hoja ?
Babu seya alihukumiwa kifungo cha maisha vs nusurat hanje kifungo cha kisiasa/ mizengwe . Nani alikuwa na hatari ya kufia gerezani? Tangu lini wafungwa wakatolewa magerezani usiku? Alitolewaje nani alimtoa? Kwanini henje na kwann usiku?
 
Babu seya alihukumiwa kifungo cha maisha vs nusurat hanje kifungo cha kisiasa/ mizengwe . Nani alikuwa na hatari ya kufia gerezani? Tangu lini wafungwa wakatolewa magerezani usiku? Alitolewaje nani alimtoa? Kwanini henje na kwann usiku?
Jiwe aliko huko atakuwa yupo taabani kwa kujibu maswali
 
Walivyo na wivu na CHADEMA miezi miwili haitaisha utawaona Act na Ccm kwenye uwanja huo, maana kila walifanyalo CHADEMA vyama vingine huiga mzuri ni Combati, Uvccm wameiga.
 
Huo umati utawaadhibu kwenye sanduku la kura. Wamekuja mkutanoni kuwakariri sura ili kwenye karatasi ya kura wasije kukosea kuwapigia kura. Tangu 1995 huo umati unawaadhibu wapinzani. Mama Samia hadi sasa ana kura zote za BAWACHA, bodaboda na kina mama wote wa VICCOBA.
 
Back
Top Bottom