Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Kwa mwamko huu, CCM hawawezi kukubali Katiba Mpya

Tunataka Fedha za Miradi kutoka IMF…hizi picha ni muhimu sana kwa Comrade Mwigulu Nchemba kwny kukamilisha project paper


'Demokrasia imeimarishwa sana katika kipindi hiki ikiwemo kuruhusu mikutano ya Siasa ( angalia kimbatisho)'

Tunawashukuru sana wana maridhiano wenzetu wa upande wa pili kwa kazi hii
Mliamua hadi kuwatoa kina hasnat hanje gerezani usiku na kuwaapisha kwenye corridor za bunge
 
Tunataka Fedha za Miradi kutoka IMF…hizi picha ni muhimu sana kwa Comrade Mwigulu Nchemba kwny kukamilisha project paper


'Demokrasia imeimarishwa sana katika kipindi hiki ikiwemo kuruhusu mikutano ya Siasa ( angalia kimbatisho)'

Tunawashukuru sana wana maridhiano wenzetu wa upande wa pili kwa kazi hii
Hapa ndio unaona umecheza mind game ya hatari?!
 
Hapa ndio unaona umecheza mind game ya hatari?!
Tunahitaji maridhiano kwa faida ya Nchi yetu japo Wahafidhina pia tunajua wapo na wanachukizwa na hilo

Mbowe na Rais watasimama imara kufanikisha
 
kwa hiyo Babu Seya asingetolewa kabisa hiyo kutolewa usiku isingekuwa hoja ?
Kwahiyo ili asifie gerezani ilibidi atolewe usiku? Mbona babu seya alitolewa mchana japo alikuwa na case ya ulawiti????
 
Tunahitaji maridhiano kwa faida ya Nchi yetu japo Wahafidhina pia tunajua wapo na wanachukizwa na hilo

Mbowe na Rais watasimama imara kufanikisha
Hamna maridhiano yoyote bali utapeli mtupu.
 
Hamna maridhiano yoyote bali utapeli mtupu.
sio huko tu hata CCM kuna wahafidhina wa kupinga maridhiano

hata wakati wa kupigania Uhuru kuna wapinga uhuru pia hawakukosekana
 
Kwahiyo ili asifie gerezani ilibidi atolewe usiku? Mbona babu seya alitolewa mchana japo alikuwa na case ya ulawiti????
Jiwe alikuwa anakwenda kinyume na sheria za nchi
 
Ebu chukua kikombe cha maji unywe angalau akili itulie
Jioni tunakunywa Kahawa Sheikh

nipo hapa kibarazani na kikoi changu na kikombe cha kahawa napiga Soga wana barza wenzangu
 
Amini nawaambia kabisa kuwa CCM siyo wajinga kiasi hicho.

Kama watawala wanafuatilia mikutano ya CHADEMA kuhusu katiba mpya naamini wanalo jambo moyoni mwao.

Siamini kama watakuwa tayari kukubali kupitisha katiba mpya ya kweli kwa nia safi kabisa.

Mikutano yote ya CHADEMA imekuwa na mutikio chanya wa wananchi wasomi na kina maamuuma.

Inaonyesha sasa watanzania wameanza kuelewa maana ya upinzani na wapo tayari kuitupilia mbali CCM.

Hapa ni Mpanda ambako CCM huwa inajivunia kupata wapiga kura wengi kila uchaguzi.

Hao watu Huwa wanakuja kuwashangaa tuu,waambie wakapige kura au kuandamana kama utawaona
 
Jioni tunakunywa Kahawa Sheikh

nipo hapa kibarazani na kikoi changu na kikombe cha kahawa napiga Soga wana barza wenzangu
Upo sehemu gani hapo Ngara?upo Kabanga au rusumo?
 
sio huko tu hata CCM kuna wahafidhina wa kupinga maridhiano

hata wakati wa kupigania Uhuru kuna wapinga uhuru pia hawakukosekana
Kwani bado hujarudi kwenu gisenyi?
 
Back
Top Bottom