Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.
Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.
Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.
Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.
Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?
CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.
Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.
Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.
Siasa ni sayansi sio porojo.
Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.
Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.
Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.
Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?
CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.
Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.
Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.
Siasa ni sayansi sio porojo.