Kwa namna hii upinzani Tanzania bado sana. Wanatakiwa wajifunze siasa sio propaganda uchwara. Siasa ni sayansi

Kwa namna hii upinzani Tanzania bado sana. Wanatakiwa wajifunze siasa sio propaganda uchwara. Siasa ni sayansi

chagu wa malunde, Mhola Mami . Usiwachagulie wapinzani wako cha kusema, kufanya na mikakati yao juu ya siasa . Kuanguka kwao Cdm ni furaha kubwa Lumumba street , sioni kwanini ukasirike. Hoja hujibiwa kwa hoja. Serikali itetee hoja zake dhidi ya CAG

Halafu serikali kutuhumiwa ni sawa tu Chagu. Pesa wanazotumia serikali ni hazina ya umma. Na Cdm kama wapinzani wanayo haki ya kuilinda hazina dhidi ya matumizi mabaya (ni kazi yao). Usione kama mnaingiliwa

Odhis *
Wawe na subira mpaka PAC itoe majibu lakini sio kutoa shutuma za uongo ambazo hazijathibitishwa. Ambazo wala haziwasaidii.

Erokamano ahiya.
 
Kitu chochote kizuri huwa kinapigwa vita kwa sababu duniani hakuna haki. Ungewaza kidogo kabla ujaandika kwa nini chama kinachotawala kinapiga vita upinzani kwa nguvu zote na hata kutumia dola. Halafu kumbuka kuwa hata Mheshimiwa Magufuli alishasema Serikali ilikuwa inatafunwa na mafisadi na mpaka akaanzisha mahakama ya mafisadi ambayo haikufanya kazi. Jiulize hao mafisadi nani aliwatengeneza kama siyo CCM. Upinzani pia upo kisheria kuwasaidia chama tawala kisije kukajisahau but unfortunately CCM wanawaona kama maadui.
 
chagu wa malunde, Du!!! Watanzania kumbe bado tunasafari ndefu Sana

Sitaki kuamini kuwa mpaka leo kuna watu wanaojua kusoma na kuandika na wamo humi JF wamechanganyika na ma'GT wengine lakini mpaka sasa hawajui Nini maana ya SIASA, hawajui kwa nini kuna vyama vya upinzani na malengo yake

Kaaaazi kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na vyama vya upinzani vinavyoibua tuhuma za uongo sio msingi hasa wa kuwa na upinzani. Unaweza ukawa unajidhania wewe ni Great thinker kumbe ni mbulula tu.
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
Acha porojo wewe
Lete tume huru ili ugalagazwe saa nne asubuhi....

Kushinda kwa unjanja unjanja hakupo tena..!!
 
Mezani tunajadili ripoti ya CAG Assad au Kichere? Hii ni dalili CCM imewakaba sana mpaka mnaropoka mauongo tu. Kuweni kama NCCR Mageuzi hawana papara.
Hahaha issue ni hoja sio ripoti ya Nani..unataka kuniambia hoja za ufisadi zenu mmezifuta na kuzisahau..kwa sababu Mapesa yameshaliwa na hakuna mwenye uwezo wa kuyarejesha...I wish I could be the IGP ningezifutilia mbali kule ruzuku zote .kila chama kijijenge chenyewe kwa pesa zake..nadhani hata hivyo Grace period ya kuendelea kutoa ruzuku imeshakwisha..kipindi kile vyama vingi vinaanzishwa nadhani lengo la ruzuku lilikuwa zuri..la kuendelea kuvijengea uwezo vyama vipya. Lakini kwa Sasa nadhani hata Kama ni mtoto huyo ameshakomaa..why Sasa kuendelea kumfanya tegemezi na midevu ameshaota na mke kaoa..wacha akatafute maisha kule..
 
Kitu chochote kizuri huwa kinapigwa vita kwa sababu duniani hakuna haki. Ungewaza kidogo kabla ujaandika kwa nini chama kinachotawala kinapiga vita upinzani kwa nguvu zote na hata kutumia dola. Halafu kumbuka kuwa hata Mheshimiwa Magufuli alishasema Serikali ilikuwa inatafunwa na mafisadi na mpaka akaanzisha mahakama ya mafisadi ambayo haikufanya kazi. Jiulize hao mafisadi nani aliwatengeneza kama siyo CCM. Upinzani pia upo kisheria kuwasaidia chama tawala kisije kukajisahau but unfortunately CCM wanawaona kama maadui.
Nikuulize jomba sehem moja kwanza, Nani kakwambia Mahakama ya mafisadi haijaanza kazi..una ushahidi wowote..au umeropoka tuu..sahihisha usemi wako usipotoshwe
 
Ukisomea hiyo utawasaidia sana jamaa zako. Maana wanaibua hata ufisadi usiokuwepo ili mradi tu kupata umaarufu. Na baada kumaliza kuisomea ndio utakuja kujua politics is science. Baadae sana. Maana utakuwa na uwezo wa kutofautisha Natural science na Social science. Any way mojawapo ya sababu ya kufeli ni pamoja na ...
Duuh kama ni kusoma ilo...bora nibaki mjinga aisee...Politics is business like any other business
 
Duuh kama ni kusoma ilo...bora nibaki mjinga aisee...Politics is business like any other business
Huo ni uamuzi mzuri pia ila jamaa zako wanahitaji msaada. Maana ukilisoma hilo hata mikakati ya kisiasa inakwenda.
 
Ndugu, chama dola ni chama dola tu. Ccm wanatumia dola vizuri, Polisi wanalinda raia na mali zao.Ndio maana unaona usalama umeimarika sana. Takukuru wanadhibiti rushwa na ubadhirifu,leo tu wameokokoa zaidi ya bil 80 . Magereza nao wanatimiza wajibu wao, ndio maana watu wakiingia restricted area wanakula virungu mpaka wanakiona cha moto. Hao wengine Majibu unayo maana nafikiri unajua kinachoendelea.
Kwa nini 'chama dola' kijisifu kuwa chama cha siasa. Ukweli ni dhaili, bila dola hakiwezi kuwepo! Mifano ipo na KM wake alishasema. Na amani inayosemwa ni ya chama na watawala siyo.amani ya kweli kwa wananchi.
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
kwa vile chama tawala kinatumia mapolisi katika siasa zake, kambi ya upinzani imeshauriwa na wananchi kuwa wao nao watumie msaada wa beberus hadi pale chama tawala kitakapoachana na mapolisi.

tunaita ngoma droo hii!
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
Dogo hivi zile hela watuhumiwa za plea bargain zilizokuwa zinalipwa kwa cash kwa DPP bila kupitia mfumo e- Gov, CAG amesemaje?
Dogo Sikh ukijua nchi inaliwa na wachache kwa kivuli cha Mzalendo ndo utajua kwanini hatuna maabara ya corona
 
Dogo hivi zile hela watuhumiwa za plea bargain zilizokuwa zinalipwa kwa cash kwa DPP bila kupitia mfumo e- Gov, CAG amesemaje?
Dogo Sikh ukijua nchi inaliwa na wachache kwa kivuli cha Mzalendo ndo utajua kwanini hatuna maabara ya corona
Hilo linaingia vipi hapa?
 
Natoa hii hoja sababu inasikitisha sana kuwa Chama cha siasa ambacho kina umri zaidi ya miaka 15 au zaidi lakini bado hakijitambui na wala hakitambui kufanya mikakati ya siasa.

Na hapa nalenga hichi chama cha Chadema ambacho sasa ni chama kikuu cha upinzani.
Inaonyesha dhahiri kuwa wao mikakati yao kisiasa ili wapate kick au umaarufu ni lazima waibue ufisadi au ubadhirifu.

Pia mkakati mwingine ni kuwa wao kujifanya kama wanaharalati fulani ambao wapo kwa ajiri ya kupambambana na wenye mamlaka.

Ninachotaka kuwaambia wana Chadema siasa ni science, ndio maana watu wanaenda kusomea hadi wanapata madegree. Siasa sio propaganda uchwara. Maana wamekariri kuibua ufisadi na uanaharakati ndio mtaji.

Mfano CAG ametoa ripoti yake ya 2019-2020 kila mwana Chadema au mpinzani utasikia anaropoka mara Ufisadi wizara ya ulinzi, mara ufisadi TPA ,mara waziri atumia bil 2.5 kula bata.Siasa za kukariri na za kishamba.Audit query ni ufisadi?

CAG anapotoa ripoti huibua Audit queries ambazo huwa zinatakiwa kujibiwa na waliokaguliwa ili kufikia muafaka. Na bunge lina kamati zake zinazohusika kuhoji hizi queries ambazo ni LAAC na PAC.

Hivyo kama wako makini wangesubiri hizi queries zijibiwe kuliko kuropoka hovyo. Na bahati nzuri mwenyekiti wa PAC ni mbunge wa Chadema.

Kama wanahoja ilipaswa kuhoji je ndani ya miaka mitano CCM chini ya Rais wa sasa ameleta matokeo gani chanya ki maendeleo? Sio kukariri tu.

Siasa ni sayansi sio porojo.
Chanzo cha tatizo kinapoonekana siyo tatizo. Sijui shuleni mlisomea ujinga? Ukishajua viterminology vya kihasibu unajiona makaguzi wa hesabu, ukijua viwili vitatu vya kisheria unajiona Nguli wa sheria!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chanzo cha tatizo kinapoonekana siyo tatizo. Sijui shuleni mlisomea ujinga? Ukishajua viterminology vya kihasibu unajiona makaguzi wa hesabu, ukijua viwili vitatu vya kisheria unajiona Nguli wa sheria!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kubali tu kwamba jamaa zako wamekosea sana. Kuleta hoja za kizushi ambazo hazina mashiko. Ufisadi?
 
Back
Top Bottom