Kwa namna hoja ya No Reform No Election ilivyo na mashiko, Tutarajie kuwaona vibaraka wote wakiji-expose

Kwa namna hoja ya No Reform No Election ilivyo na mashiko, Tutarajie kuwaona vibaraka wote wakiji-expose

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kati ya jambo ambalo Wapinzani wa nchi hii hawakuwahi kulijua huko nyuma ni kwamba sehemu pekee ya kushikilia kwenye nchi hii ili tupate mabadiliko ya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa ni KATIBA MPYA.

Uzoefu wangu katika kuwa mwanachama hai wa CCM kwa takriban Miaka 30 umenionesha vizuri sana kuwa kitu pekee kinachowapa nguvu ya kufanya walitakalo CCM na kuikosesha Tanzania Mabadiliko ya kweli ni hii KATIBA tuliyoanayo sasa.

Baada ya CHADEMA mwaka kuja na huu msimamo wa NO REFORM NO ELECTION napenda kuwahakikisha wana JF kuwa, tutarajie kuona kila sarakasi kutoka CCM, Tutarajie kuona matumizi ya kila aina ya silaha kutoka CCM mpaka kuibuliwa kwa mamluki wote ( Ku expose cover zao)

Kwa wale msiofahamu. Ni heri nchi hii tusiwe tunafanya uchaguzi kuliko kufanya maigizo kwa fedha za walipakodi yanayoitwa Uchaguzi ili kuwahaa wafadhili waendelee kutoa pesa ambazo zinaendeleza ufisadi nchini. CCM ni baba wa uongo kama alivyo shetani na wamekuwa wakiishi kwa huu uongo kwa miaka mingi sana.

Ninayasema haya kwa sababu nchini Tanzania sio kura za wananchi zinazoamua mshindi wa Uchaguzi. Wanaoamua kura ziweje yaani wapinzani wapewe ngapi na sisi tuwe na ngapi ni CCM na watu wao waliowaweka kwenye kinachoitwa TUME YA UCHAGUZI pamoja na Halmashauri zetu (Wakurugenzi wa Halmashauri ambao ni Wasimamizi wa Chaguzi). Ushahidi wa hili ni maneno aliyoyasema Nape Nnauye( akiwa Waziri wa Habari jimboni kwa Byabato Mkoani Kagera). Ushahidi wa hili ni maneno aliyosema aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Longido.
Ushahidi wa haya ni maneno aliyowahi kuyatamka Rais Magufuli kuwa inakuwaje nakuteua Mkurugenzi na kukulipa Mshahara alafu Wapinzani washinde kwenye Uchaguzi unaosimamia?

Napenda kuwapongeza CHADEMA maana kiuhalisia kwa nini tufanye uchaguzi wakati sio kura zetu zinazoamua mshindi wa uchaguzi? Kwa nini tufanye uchaguzi wakati kuna watu wanakaa wanaamua tu saivi embu tuondoe majina ya wagombea wote wa upinzani ili chama chetu kishinde kwa asilimia 90?

Kwa wana JF! Tusishangae sana kuona mtiririko wa nyuzi humu kuyaponda maamuzi haya ya CHADEMA, tena kutoka kwa influential people! Kusema ukweli lazima watakuja wengi maana sehemu kuu ya CCM kuwalaghai Watanzania imekuwa ni hizi Chaguzi ambazo wanazichezea wapendavyo.

Mwisho. Napenda kuwaambia Watanzania, tuwaunge mkono CHADEMA kama tunataka kweli kulijenga vizuri hili Taifa letu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuwa na moral authority ya kukemea wizi wa mali zetu na fedha zetu zinazoibwa kila kukicha na kutuacha Wananchi tukiishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuacha kuiba na kutumia vibaya kodi zetu ambazo zinapaswa kutumiwa vizuri kutujengea miondombinu mizuri ya barabara hadi majumbani kwetu, miundombinu bora ya maji na madawa ya uhakika katika hospitali zetu.

Tusimame sasa na CHADEMA ili kuitengeneza TANZANIA bora kwa vizazi vingi vinavyokuja. Kwa maslahi mapana ya nchi yetu, sote tuseme NO REFORM NO ELECTION.


Tunahitaji sasa hizi Reforms kuliko wakati wowote ule maana linapoelekea Taifa letu sio kuzuri kabisa.

Lord denning
Dubai
 
Kati ya jambo ambalo Wapinzani wa nchi hii hawakuwahi kulijua huko nyuma ni kwamba sehemu pekee ya kushikilia kwenye nchi hii ili tupate mabadiliko ya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa ni KATIBA MPYA.

Uzoefu wangu katika kuwa mwanachama hai wa CCM kwa takriban Miaka 30 umenionesha vizuri sana kuwa kitu pekee kinachowapa nguvu ya kufanya walitakalo CCM na kuikosesha Tanzania Mabadiliko ya kweli ni hii KATIBA tuliyoanayo sasa.

Baada ya CHADEMA mwaka kuja na huu msimamo wa NO REFORM NO ELECTION napenda kuwahakikisha wana JF kuwa, tutarajie kuona kila sarakasi kutoka CCM, Tutarajie kuona matumizi ya kila aina ya silaha kutoka CCM mpaka kuibuliwa kwa mamluki wote ( Ku expose cover zao)

Kwa wale msiofahamu. Ni heri nchi hii tusiwe tunafanya uchaguzi kuliko kufanya maigizo kwa fedha za walipakodi yanayoitwa Uchaguzi ili kuwahaa wafadhili waendelee kutoa pesa ambazo zinaendeleza ufisadi nchini. CCM ni baba wa uongo kama alivyo shetani na wamekuwa wakiishi kwa huu uongo kwa miaka mingi sana.

Ninayasema haya kwa sababu nchini Tanzania sio kura za mwananchi zinazoamua mshindi wa Uchaguzi. Wanaoamua kura ziweje yaani wapinzani wapewe ngapi na sisi tuwe na ngapi ni CCM na watu wao waliowaweka kwenye kinachoitwa TUME YA UCHAGUZI pamoja na Halmashauri zetu (Wakurugenzi wa Halmashauri ambao ni Wasimamizi wa Chaguzi). Ushahidi wa hili ni maneno aliyoyasema Nape Nnauye( akiwa Waziri wa Habari jimboni kwa Byabato Mkoani Kagera). Ushahidi wa hili ni maneno aliyosema aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Longido.
Ushahidi wa haya ni maneno aliyowahi kuyatamka Rais Magufuli kuwa inakuwaje nakuteua Mkurugenzi na kukulipa Mshahara alafu Wapinzani washinde kwenye Uchaguzi unaosimamia?

Napenda kuwapongeza CHADEMA maana kiuhalisia kwa nini tufanye uchaguzi wakati sio kura zetu zinazoamua mshindi wa uchaguzi? Kwa nini tufanye uchaguzi wakati kuna watu wanakaa wanaamua tu saivi embu tuondoe majina ya wagombea wote aa upinzani ili chama cheti kishinde kwa asilimia 90?

Kwa wana JF! Tusishangae sana kuona mtiririko wa nyuzi humu kuyaponda maamuzi haya ya CHADEMA, tena kutoka kwa influential people! Kusema ukweli lazima watakuja wengi maana sehemu kuu ya CCM kuwalaghai Watanzania imekuwa ni hizi Chaguzi ambazo wanazichezea wapendavyo.

Mwisho. Napenda kuwaambia Watanzania, tuwaunge mkono CHADEMA kama tunataka kweli kulijenga vizuri hili Taifa letu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuwa na moral authority ya kukemea wizi wa mali zetu na fedha zetu zinazoibwa kila kukicha na kutuacha Wananchi tukiishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuacha kuiba na kutumia vibaya kodi zetu ambazo zinapaswa kutumiwa vizuri kutujengea miondombinu mizuri ya barabara hadi majumbani kwetu, miundombinu bora ya maji na madawa ya uhakika katika hospitali zetu.

Tusimame sasa na CHADEMA sasa ili kuitengeneza TANZANIA bora kwa vizazi vingi vinavyokuja. Kwa maslahi mapana ya nchi yetu, sote tuseme NO REFORM NO ELECTION.


Tunahitaji sasa hizi Reforms kuliko wakati wowote ule maana linapoelekea Taifa letu sio kuzuri sana.

Lord denning
Dubai
Uchaguzi utafanyika na maisha yataendelea endeleeni na utoto wenu.
 
Kati ya jambo ambalo Wapinzani wa nchi hii hawakuwahi kulijua huko nyuma ni kwamba sehemu pekee ya kushikilia kwenye nchi hii ili tupate mabadiliko ya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa ni KATIBA MPYA.

Uzoefu wangu katika kuwa mwanachama hai wa CCM kwa takriban Miaka 30 umenionesha vizuri sana kuwa kitu pekee kinachowapa nguvu ya kufanya walitakalo CCM na kuikosesha Tanzania Mabadiliko ya kweli ni hii KATIBA tuliyoanayo sasa.

Baada ya CHADEMA mwaka kuja na huu msimamo wa NO REFORM NO ELECTION napenda kuwahakikisha wana JF kuwa, tutarajie kuona kila sarakasi kutoka CCM, Tutarajie kuona matumizi ya kila aina ya silaha kutoka CCM mpaka kuibuliwa kwa mamluki wote ( Ku expose cover zao)

Kwa wale msiofahamu. Ni heri nchi hii tusiwe tunafanya uchaguzi kuliko kufanya maigizo kwa fedha za walipakodi yanayoitwa Uchaguzi ili kuwahaa wafadhili waendelee kutoa pesa ambazo zinaendeleza ufisadi nchini. CCM ni baba wa uongo kama alivyo shetani na wamekuwa wakiishi kwa huu uongo kwa miaka mingi sana.

Ninayasema haya kwa sababu nchini Tanzania sio kura za mwananchi zinazoamua mshindi wa Uchaguzi. Wanaoamua kura ziweje yaani wapinzani wapewe ngapi na sisi tuwe na ngapi ni CCM na watu wao waliowaweka kwenye kinachoitwa TUME YA UCHAGUZI pamoja na Halmashauri zetu (Wakurugenzi wa Halmashauri ambao ni Wasimamizi wa Chaguzi). Ushahidi wa hili ni maneno aliyoyasema Nape Nnauye( akiwa Waziri wa Habari jimboni kwa Byabato Mkoani Kagera). Ushahidi wa hili ni maneno aliyosema aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Longido.
Ushahidi wa haya ni maneno aliyowahi kuyatamka Rais Magufuli kuwa inakuwaje nakuteua Mkurugenzi na kukulipa Mshahara alafu Wapinzani washinde kwenye Uchaguzi unaosimamia?

Napenda kuwapongeza CHADEMA maana kiuhalisia kwa nini tufanye uchaguzi wakati sio kura zetu zinazoamua mshindi wa uchaguzi? Kwa nini tufanye uchaguzi wakati kuna watu wanakaa wanaamua tu saivi embu tuondoe majina ya wagombea wote wa upinzani ili chama chetu kishinde kwa asilimia 90?

Kwa wana JF! Tusishangae sana kuona mtiririko wa nyuzi humu kuyaponda maamuzi haya ya CHADEMA, tena kutoka kwa influential people! Kusema ukweli lazima watakuja wengi maana sehemu kuu ya CCM kuwalaghai Watanzania imekuwa ni hizi Chaguzi ambazo wanazichezea wapendavyo.

Mwisho. Napenda kuwaambia Watanzania, tuwaunge mkono CHADEMA kama tunataka kweli kulijenga vizuri hili Taifa letu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuwa na moral authority ya kukemea wizi wa mali zetu na fedha zetu zinazoibwa kila kukicha na kutuacha Wananchi tukiishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuacha kuiba na kutumia vibaya kodi zetu ambazo zinapaswa kutumiwa vizuri kutujengea miondombinu mizuri ya barabara hadi majumbani kwetu, miundombinu bora ya maji na madawa ya uhakika katika hospitali zetu.

Tusimame sasa na CHADEMA sasa ili kuitengeneza TANZANIA bora kwa vizazi vingi vinavyokuja. Kwa maslahi mapana ya nchi yetu, sote tuseme NO REFORM NO ELECTION.


Tunahitaji sasa hizi Reforms kuliko wakati wowote ule maana linapoelekea Taifa letu sio kuzuri sana.

Lord denning
Dubai
Sisi watanzania kwa sasa tunasubiri tu maelekezo cha nini tufanye ila kusema ule ukweli kwa sasa chaguzi zilizo huru na haki mchini mwetu haziwezekani najua kunavyama vinamakubaliano kupatiwa wabunge wawili watatu na vyeo vingine h,, hasa Zanzibar na wamelizika, lakini wajue hadaa zao zinamwisho wanachi wakijua wanafanywa chambo ili baadhi ya watu wapige pesa watawakataa
 
Napenda kuwapongeza CHADEMA maana kiuhalisia kwa nini tufanye uchaguzi wakati sio kura zetu zinazoamua mshindi wa uchaguzi? Kwa nini tufanye uchaguzi wakati kuna watu wanakaa wanaamua tu saivi embu tuondoe majina ya wagombea wote wa upinzani ili chama chetu kishinde kwa asilimia 90?
1740115610346.png
 
Kati ya jambo ambalo Wapinzani wa nchi hii hawakuwahi kulijua huko nyuma ni kwamba sehemu pekee ya kushikilia kwenye nchi hii ili tupate mabadiliko ya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa ni KATIBA MPYA.

Uzoefu wangu katika kuwa mwanachama hai wa CCM kwa takriban Miaka 30 umenionesha vizuri sana kuwa kitu pekee kinachowapa nguvu ya kufanya walitakalo CCM na kuikosesha Tanzania Mabadiliko ya kweli ni hii KATIBA tuliyoanayo sasa.

Baada ya CHADEMA mwaka kuja na huu msimamo wa NO REFORM NO ELECTION napenda kuwahakikisha wana JF kuwa, tutarajie kuona kila sarakasi kutoka CCM, Tutarajie kuona matumizi ya kila aina ya silaha kutoka CCM mpaka kuibuliwa kwa mamluki wote ( Ku expose cover zao)

Kwa wale msiofahamu. Ni heri nchi hii tusiwe tunafanya uchaguzi kuliko kufanya maigizo kwa fedha za walipakodi yanayoitwa Uchaguzi ili kuwahaa wafadhili waendelee kutoa pesa ambazo zinaendeleza ufisadi nchini. CCM ni baba wa uongo kama alivyo shetani na wamekuwa wakiishi kwa huu uongo kwa miaka mingi sana.

Ninayasema haya kwa sababu nchini Tanzania sio kura za mwananchi zinazoamua mshindi wa Uchaguzi. Wanaoamua kura ziweje yaani wapinzani wapewe ngapi na sisi tuwe na ngapi ni CCM na watu wao waliowaweka kwenye kinachoitwa TUME YA UCHAGUZI pamoja na Halmashauri zetu (Wakurugenzi wa Halmashauri ambao ni Wasimamizi wa Chaguzi). Ushahidi wa hili ni maneno aliyoyasema Nape Nnauye( akiwa Waziri wa Habari jimboni kwa Byabato Mkoani Kagera). Ushahidi wa hili ni maneno aliyosema aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Longido.
Ushahidi wa haya ni maneno aliyowahi kuyatamka Rais Magufuli kuwa inakuwaje nakuteua Mkurugenzi na kukulipa Mshahara alafu Wapinzani washinde kwenye Uchaguzi unaosimamia?

Napenda kuwapongeza CHADEMA maana kiuhalisia kwa nini tufanye uchaguzi wakati sio kura zetu zinazoamua mshindi wa uchaguzi? Kwa nini tufanye uchaguzi wakati kuna watu wanakaa wanaamua tu saivi embu tuondoe majina ya wagombea wote wa upinzani ili chama chetu kishinde kwa asilimia 90?

Kwa wana JF! Tusishangae sana kuona mtiririko wa nyuzi humu kuyaponda maamuzi haya ya CHADEMA, tena kutoka kwa influential people! Kusema ukweli lazima watakuja wengi maana sehemu kuu ya CCM kuwalaghai Watanzania imekuwa ni hizi Chaguzi ambazo wanazichezea wapendavyo.

Mwisho. Napenda kuwaambia Watanzania, tuwaunge mkono CHADEMA kama tunataka kweli kulijenga vizuri hili Taifa letu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuwa na moral authority ya kukemea wizi wa mali zetu na fedha zetu zinazoibwa kila kukicha na kutuacha Wananchi tukiishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuacha kuiba na kutumia vibaya kodi zetu ambazo zinapaswa kutumiwa vizuri kutujengea miondombinu mizuri ya barabara hadi majumbani kwetu, miundombinu bora ya maji na madawa ya uhakika katika hospitali zetu.

Tusimame sasa na CHADEMA sasa ili kuitengeneza TANZANIA bora kwa vizazi vingi vinavyokuja. Kwa maslahi mapana ya nchi yetu, sote tuseme NO REFORM NO ELECTION.


Tunahitaji sasa hizi Reforms kuliko wakati wowote ule maana linapoelekea Taifa letu sio kuzuri sana.

Lord denning
Dubai
Kushiriki uchaguzi katika mazingira haya ni kushiriki kuteketeza mamia ya mabilioni ya kodi zetu kwa usanii unaoitwa uchaguzi.
 

Attachments

  • VID-20250215-WA0003.mp4
    13.9 MB
  • 5723085-f2958354fb3d5c7668951cd04505632.mp4
    16 MB
  • downloadfile-24.jpg
    downloadfile-24.jpg
    38.4 KB · Views: 1
  • downloadfile-35.jpg
    downloadfile-35.jpg
    44.8 KB · Views: 1
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 1
  • IMG-20230406-WA0001.jpg
    IMG-20230406-WA0001.jpg
    28.5 KB · Views: 1
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 1
Kwako utoto ni kukataa kuishi kwa uongo sio?

Endeleeni tu kuwadharau Watanzania. Ipo siku!
Yaani nyie kikundi kidogo cha wapumbavu ndo mnajiita watanzania? Watanzania wapo busy kutafuta ugali wao hawana muda kuhangaikia matumbo ya wanasiasa!
 
Kwako utoto ni kukataa kuishi kwa uongo sio?

Endeleeni tu kuwadharau Watanzania. Ipo siku!
Yaani nyie kikundi kidogo cha wapumbavu ndo mnajiita watanzania? Watanzania wapo busy kutafuta ugali wao hawana muda kuhangaikia matumbo ya wanasiasa!
 
Kwako utoto ni kukataa kuishi kwa uongo sio?

Endeleeni tu kuwadharau Watanzania. Ipo siku!
Yaani nyie kikundi kidogo cha wapumbavu ndo mnajiita watanzania? Watanzania wapo busy kutafuta ugali wao hawana muda kuhangaikia matumbo ya wanasiasa!
 
Yaani nyie kikundi kidogo cha wapumbavu ndo mnajiita watanzania? Watanzania wapo busy kutafuta ugali wao hawana muda kuhangaikia matumbo ya wanasiasa!
Kwa hiyo siku hizi wanaodai mifumo bora ya haki na utawala bora ndo wapumbavu?

Hao waliopo busy kutafuta ugali wamegundua mifumo hiyo mibovu ndo inawafanya mtapanye na kuiba fedha zao za kodi zinazopaswa kuwahudumia vizuri kama kuwapa madawa mahospitalini na kuwahakikishia huduma za maji wakati wote.

Endelea kuwadharau Watanzania kwa sababu unafaidi kodi zao kwa wizi na ufisadi. Yana mwisho.
 
Kwenye kampeni ya NO Reform No Election tusichoke kutoa elimu humu kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama hasa JWTZ, TISS na POLISI maana wanatishwa na watu ambao sio lolote wala chochote kwao.

Wasimame kwenye ukweli na haki kulikomboa hili Taifa. Maana kwa yanayoendelea chini ya CCM Taifa letu litaangamia kabisa na wao wakiona.
Wamebakiwa na nguvu za polisi Majeshi, akili hawana hasa pale wanapowekewa hoja ngumu usoni utawaona wazi kuwa ni Watu wanaozitesa shingo zao kwa kubeba Boga juu.
 
Kati ya jambo ambalo Wapinzani wa nchi hii hawakuwahi kulijua huko nyuma ni kwamba sehemu pekee ya kushikilia kwenye nchi hii ili tupate mabadiliko ya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa ni KATIBA MPYA.

Uzoefu wangu katika kuwa mwanachama hai wa CCM kwa takriban Miaka 30 umenionesha vizuri sana kuwa kitu pekee kinachowapa nguvu ya kufanya walitakalo CCM na kuikosesha Tanzania Mabadiliko ya kweli ni hii KATIBA tuliyoanayo sasa.

Baada ya CHADEMA mwaka kuja na huu msimamo wa NO REFORM NO ELECTION napenda kuwahakikisha wana JF kuwa, tutarajie kuona kila sarakasi kutoka CCM, Tutarajie kuona matumizi ya kila aina ya silaha kutoka CCM mpaka kuibuliwa kwa mamluki wote ( Ku expose cover zao)

Kwa wale msiofahamu. Ni heri nchi hii tusiwe tunafanya uchaguzi kuliko kufanya maigizo kwa fedha za walipakodi yanayoitwa Uchaguzi ili kuwahaa wafadhili waendelee kutoa pesa ambazo zinaendeleza ufisadi nchini. CCM ni baba wa uongo kama alivyo shetani na wamekuwa wakiishi kwa huu uongo kwa miaka mingi sana.

Ninayasema haya kwa sababu nchini Tanzania sio kura za wananchi zinazoamua mshindi wa Uchaguzi. Wanaoamua kura ziweje yaani wapinzani wapewe ngapi na sisi tuwe na ngapi ni CCM na watu wao waliowaweka kwenye kinachoitwa TUME YA UCHAGUZI pamoja na Halmashauri zetu (Wakurugenzi wa Halmashauri ambao ni Wasimamizi wa Chaguzi). Ushahidi wa hili ni maneno aliyoyasema Nape Nnauye( akiwa Waziri wa Habari jimboni kwa Byabato Mkoani Kagera). Ushahidi wa hili ni maneno aliyosema aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Longido.
Ushahidi wa haya ni maneno aliyowahi kuyatamka Rais Magufuli kuwa inakuwaje nakuteua Mkurugenzi na kukulipa Mshahara alafu Wapinzani washinde kwenye Uchaguzi unaosimamia?

Napenda kuwapongeza CHADEMA maana kiuhalisia kwa nini tufanye uchaguzi wakati sio kura zetu zinazoamua mshindi wa uchaguzi? Kwa nini tufanye uchaguzi wakati kuna watu wanakaa wanaamua tu saivi embu tuondoe majina ya wagombea wote wa upinzani ili chama chetu kishinde kwa asilimia 90?

Kwa wana JF! Tusishangae sana kuona mtiririko wa nyuzi humu kuyaponda maamuzi haya ya CHADEMA, tena kutoka kwa influential people! Kusema ukweli lazima watakuja wengi maana sehemu kuu ya CCM kuwalaghai Watanzania imekuwa ni hizi Chaguzi ambazo wanazichezea wapendavyo.

Mwisho. Napenda kuwaambia Watanzania, tuwaunge mkono CHADEMA kama tunataka kweli kulijenga vizuri hili Taifa letu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuwa na moral authority ya kukemea wizi wa mali zetu na fedha zetu zinazoibwa kila kukicha na kutuacha Wananchi tukiishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu.

Watu wanaoiba uchaguzi hawawezi kuacha kuiba na kutumia vibaya kodi zetu ambazo zinapaswa kutumiwa vizuri kutujengea miondombinu mizuri ya barabara hadi majumbani kwetu, miundombinu bora ya maji na madawa ya uhakika katika hospitali zetu.

Tusimame sasa na CHADEMA ili kuitengeneza TANZANIA bora kwa vizazi vingi vinavyokuja. Kwa maslahi mapana ya nchi yetu, sote tuseme NO REFORM NO ELECTION.


Tunahitaji sasa hizi Reforms kuliko wakati wowote ule maana linapoelekea Taifa letu sio kuzuri kabisa.

Lord denning
Dubai
Lissu kawashika CCM pabaya mno!!!!
 
Back
Top Bottom