Kwa namna hoja ya No Reform No Election ilivyo na mashiko, Tutarajie kuwaona vibaraka wote wakiji-expose

C
CCM ni Toxic Kwa taifa hili
 
Jana sio leo , safari hii ccm mmeyatimba ,mtalala na viatu mwaka huu, fanyeni mabadiliko twende kwenye uchaguzi hamtaki hakuna uchaguzi kazi kwenu.
Hahahaha mi nafikiri najadiliana na mtoto hapa!!
 
Uko sahihi, na nongwa yako itaendelea. Lakini hakuna mtu anayejitambua ataendelea kuwa mjinga wa kushiriki chaguzi kiinimacho, eti kisa maisha yanaendelea baada ya hizo chaguzi za kishenzi.
Kwani inanihusu nini mimi kama kula na kulala yangu haibadilishwi?? Yaani mimi niache kutafuta pesa nishabikie tumbo la mpuuzi Lissu?
 
Mtoa mada haupingwi upo sahihi akina mchome wengi wataibuka, vibaraka wengi wa system tutawaona kupitia msimamo waliouonesha chadema. Tunataka chaguzi za kweli na sio hizi viini macho
 
Yaani nyie kikundi kidogo cha wapumbavu ndo mnajiita watanzania? Watanzania wapo busy kutafuta ugali wao hawana muda kuhangaikia matumbo ya wanasiasa!
Kwa hiyo we utaki kura yako ihesabiwe kwa uwazi,Achane hizo nyakati zimebadilika sana.Tuishi kwa uwazi na sio janja janja tena.Ni heri muendelee kukuaa madarakani kuliko kupoteza kodi zetu bure kwenye uchaguzi wa hovyo(usiyo wazi).
 
Waimba pambio za kusifu na kuabudu the so called UVCCM,TISS et al wamepanic maana ugali wao umesogelewa wanakwambia ni utopian politics.
 
I know that you know for sure, this is the only way foward.

Calling it rhetoric slogan is too early and absurd. What I'm sure is, there will come a time, the citizens of this country will say enough is enough!
Lord Denning:
When will this happen, especially as time passes quickly and the situation urgently needs to change?
Let's be serious about issues that touch peoples' interests
 
Kwani inanihusu nini mimi kama kula na kulala yangu haibadilishwi?? Yaani mimi niache kutafuta pesa nishabikie tumbo la mpuuzi Lissu?
Pesa gani unatafuta, kujiuza nayo ni utafutaji?
 
Kwahiyo unafikiri mwaka huu nchi haitafanya Uchaguzi Mkuu kisa No Reform, No Election? Na kama ikifanya unaamini itafanya kwa Katiba Mpya?
 
Teh Teh Teh! 2019 CDM ilisusia uchaguzi wa serikali Za mitaa enhe nini kilibadilika? 2020 Magufuli alipora uchaguzi nini kimebadilika? Na October 2025 Samia anawanyoa bila maji na hakuna kitu mtafanya na utoto wenu!
Mjinga ni wewe usiejua athari zinakuhusu pia

Ona Sasa Kila mbunge anangangania asiwepo mpinzani wapite kama Samia alivyopitishwa na mkutano Mkuu

Ujinga mtupu
 
Umeona Lisu anajiliza kama ww hapa jf? Dada angalia jicho hilo litaliwa bila condom.
Hahahaha haya matusi unampa mwenyekiti wakoโ€ฆ. Basi tu tunajiheshimu tungekua na domo pana kama lake tungemwagia siri zake humu. Naona mtoto umepanic sana lini mnaingia barabarani kuzuia uchaguzi?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mjinga ni wewe usiejua athari zinakuhusu pia

Ona Sasa Kila mbunge anangangania asiwepo mpinzani wapite kama Samia alivyopitishwa na mkutano Mkuu

Ujinga mtupu
Alimradi yangu yananiendea hayo mengine sawa tuuuโ€ฆ. October 2025 Samia anawanyoa watu bila maji!
 
Teh Teh Teh! 2019 CDM ilisusia uchaguzi wa serikali Za mitaa enhe nini kilibadilika? 2020 Magufuli alipora uchaguzi nini kimebadilika? Na October 2025 Samia anawanyoa bila maji na hakuna kitu mtafanya na utoto wenu!
Baada ya Magu kutenda yote hayo nn kilimpata??
 
Hahahaha haya matusi unampa mwenyekiti wakoโ€ฆ. Basi tu tunajiheshimu tungekua na domo pana kama lake tungemwagia siri zake humu. Naona mtoto umepanic sana lini mnaingia barabarani kuzuia uchaguzi?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nasema hivi, angalia usije ukaliwa jicho. Ungekuwa unajiheshimu usingekuwa unaongea ukhanithi muda wote huu. Kama mumeo kashindwa kashindwa kihalali, ila unajiliza tu hapa kama bwabwa la lungalunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ