Kwa namna hoja ya No Reform No Election ilivyo na mashiko, Tutarajie kuwaona vibaraka wote wakiji-expose

Tunashambulia Toka ndani,

HOJA ya kupata Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wa 2025 inashika Kasi sana.
 
Nasema hivi, angalia usije ukaliwa jicho. Ungekuwa unajiheshimu usingekuwa unaongea ukhanithi muda wote huu. Kama mumeo kashindwa kashindwa kihalali, ila unajiliza tu hapa kama bwabwa la lungalunga.
Hahahahaha hizi hasira elekeza barabarani dada acha ramli mi siwezi kulia kwaajili ya CHADEMA mi nimekaa kipembeni nione ngom yenu watoto inaishia wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahahaha hizi hasira elekeza barabarani dada acha ramli mi siwezi kulia kwaajili ya CHADEMA mi nimekaa kipembeni nione ngom yenu watoto inaishia wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Utasubiri sana.
 
Ntasubiri sana kuwaona mnaingia barabarani ama?? Halafu ushachangia sh ngapi chamani kwanza au ndo debe tupu lisiloacha kutika?
Tuko barabarani kila siku, unataka baranara ipi tena. Kwenye NIMO nimeahaweka 55,000, na bado nitaendelea kuchanga nyingine kadiri muda unavyooenda.
 
Tuko barabarani kila siku, unataka baranara ipi tena. Kwenye NIMO nimeahaweka 55,000, na bado nitaendelea kuchanga nyingine kadiri muda unavyooenda.
Hahahaha
 
Aisee...

Lakini safari hii, hata wawafukue nguchiro na kuwasambaza nchi nzima na kwenye mitandao yote ya kijamii, hawawezi kujibu hoja hizi kwa mipasho....

Kwani kwa kadiri wanavyoachilia mipasho yao, ndivyo wanayoonesha ujinga na upumbavu wao. HiI movement ya NO REFORMS, NO ELECTION imeshaeleweka kwa urahisi sana kwa watu karibu wote. Wanaojifanya hawaelewi ni wale tu walio upande wa dhuluma za kishetani...

Nimewaona kina Pascal Mayalla, Ansbert Ngurumo, Mzee Mwanakijiji, Nyani Ngabu na wengine kama vile tayari wameshakuwa contracted na serikali/CCM kujaribu kumshambulia Tundu Lissu na CHADEMA kama njia ya kujaribu kufifisha nguvu ya movement hii ya NO REFORMS, NO ELECTION...

Kinachosikitisha wanamshambulia mtu na kukosoa maneno ya kaulimbiu "NO REFORMS, NO ELECTION" kwamba eti hayaeleweki huku wakiacha kujibu mantiki na hoja zilizobebwa na kaulimbiu hii. Sasa watu wa namna hii watawezaje kuififisha movement hii zaidi tu kuwa wataonekana wajinga kwa kuupinga ukweli ulio wazi na unaowakodolea macho mbele yao...?

Ndugu Lord denning, hoja zilizobebwa na kaulimbiu ya harakati za NO REFORMS, NO ELECTION hazina majibu ya porojo za mdomoni au kuandika utumbo magazetini bali majibu yake ni KUTENDA KWA MAANA YA KUKAA CHINI WOTE KAMA TAIFA NA KUFANYA MAREKEBISHO YOTE MUHIMU...

Nimemtazama na kumsikiliza Tundu Lissu leo akitoa yale mapendekezo 8 ya kufanyiwa kazi ili tuingie kwenye uchaguzi ulio huru, wa wazi na wa haki, huyu jamaa wala hana tamaa kabisa ya kugombea u - Rais...

Maana kasema wazi kuwa, tukikubaliana kuwa kuna tatizo na tukaamua kufanya mabadiliko kurekebisha mfumo wetu wa uchaguzi na utawala, basi marekebisho yanaweza kuchukua hata miaka mitatu ndipo tutakapoweza kufanya uchaguzi wa kweli chini ya mifumo mipya kabisa...

Sasa Rais Samia Suluhu Hassan unataka nini tena maana CHADEMA wameshakufanyia endorsement ya kuendelea kuwa Rais hadi pengine 2027 au 2028 only if utaamua kwa dhati ya moyo wako kuwa unakubaliana na CHADEMA kufanyia mabadiliko mfumo wetu wa uchaguzi na utawala kwa kuwapa Watanzania Katiba mpya..?

Muhimu ni kuwa, do the needful before it's too late, madam president...

Lakini ukishupaza shingo mama, ukakubali kumtumikia shetani na dhuluma na kuipuuza haki, HAKIKA utakufa kabla ya wakati wako...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…