Kwa namna Serikali ya Rais Samia ilivyoshindwa kuwatumikia Watanzania maandamano kama ya Kenya yalipaswa kuitishwa mara moja

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Watu wanalalama uraiani tu kwenye vijiwe vya kahawa kuwa maisha yapo juu. Mchele umetoka kwenye bei ya Tsh. 1300 mpaka 3800 baada ya Rais Samia kuingia madarakani. Huu ni mfano tu.

Sasa hivi tunaambiwa pesa za umma hasa huko serikalini zinatafunwa kama peremende.

Watanzania wanatakiwa kujua kuwa ukombozi wa matatizo yao upo mikononi mwao. Sio kwa ngonjera za wanasiasa wanaofurahisha mabeberu kwa manufaa yao.

Maandamano yaitishwe nchi nzima kupinga huu uduwanzi wa kisiasa.
 
Uandamane wewe na watoto wako kwanza. Si ajabu wewe siyo Mtanzania. Sisi watanzania tuna hulka yetu siyo kama unavyofikiri.
 
Wewe ni mfuasi wa UPINZANI ama upo ndani ya CCM lakini huzielewi falsafa za Rais,oky ukiamka asubuhi nenda kibaruani,ukipata Hela ziheshimu tumia kwa malengo.
 
 
Kuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
 
Kuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
Na hii sio rocket 🚀 kuijua hiyo nchi, wananchi wake ni wanalalama kwenye social media, ni mazuzu yalitojaa uoga na kutegemea watu wengine wawapiganie
 
Kuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
Unakubaliana naye?
 
Kuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
Huu ni ukweli mtupu, na huyo mstaafu akatambua Hilo na akafanya jitiada za kuongoza Tena kwa mara nyingine kwa njia za kikoloni.
 
Hakuna maandamano yeyote Yale duniani yasiyokuwa na kiongozi...
Sasa nani atuongoze kwenye hayo maandamano??
 
NANI ANAYAITISHA WEWE AU NANI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…