Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Uandamane wewe na watoto wako kwanza. Si ajabu wewe siyo Mtanzania. Sisi watanzania tuna hulka yetu siyo kama unavyofikiri.Watu wanalalama uraiani tu kwenye vijiwe vya kahawa kuwa maisha yapo juu. Mchele umetoka kuwa na bei ya sh 1300 mpaka 3800 baada ya rais Samia kuingia madarakani. Huu ni mfano tu.
Sasa hivi tunaambiwa pesa za umma hasa huko serikalini zinatafunwa kama peremende.
Watanzania wanatakiwa kujua kuwa ukombozi wa matatizo yao upo mikononi mwao. Sio kwa ngonjera za wanasiasa wanaofurahisha mabeberu kwa manufaa yao.
Maandamano yaitishwe nchi nzima kupinga huu uduwanzi wa kisiasa.
Hakika. Akiweza aongeze na majirani zake kama watakubali.Watangulize mke/mume wako na watoto wako[emoji16]
Wewe ni mfuasi wa UPINZANI ama upo ndani ya CCM lakini huzielewi falsafa za Rais,oky ukiamka asubuhi nenda kibaruani,ukipata Hela ziheshimu tumia kwa malengo.Watu wanalalama uraiani tu kwenye vijiwe vya kahawa kuwa maisha yapo juu. Mchele umetoka kuwa na bei ya sh 1300 mpaka 3800 baada ya rais Samia kuingia madarakani. Huu ni mfano tu.
Sasa hivi tunaambiwa pesa za umma hasa huko serikalini zinatafunwa kama peremende.
Watanzania wanatakiwa kujua kuwa ukombozi wa matatizo yao upo mikononi mwao. Sio kwa ngonjera za wanasiasa wanaofurahisha mabeberu kwa manufaa yao.
Maandamano yaitishwe nchi nzima kupinga huu uduwanzi wa kisiasa.
Watu wanalalama uraiani tu kwenye vijiwe vya kahawa kuwa maisha yapo juu. Mchele umetoka kwenye bei ya Tsh. 1300 mpaka 3800 baada ya Rais Samia kuingia madarakani. Huu ni mfano tu.
Sasa hivi tunaambiwa pesa za umma hasa huko serikalini zinatafunwa kama peremende.
Watanzania wanatakiwa kujua kuwa ukombozi wa matatizo yao upo mikononi mwao. Sio kwa ngonjera za wanasiasa wanaofurahisha mabeberu kwa manufaa yao.
Maandamano yaitishwe nchi nzima kupinga huu uduwanzi wa kisiasa.
Kuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.Watu wanalalama uraiani tu kwenye vijiwe vya kahawa kuwa maisha yapo juu. Mchele umetoka kwenye bei ya Tsh. 1300 mpaka 3800 baada ya Rais Samia kuingia madarakani. Huu ni mfano tu.
Sasa hivi tunaambiwa pesa za umma hasa huko serikalini zinatafunwa kama peremende.
Watanzania wanatakiwa kujua kuwa ukombozi wa matatizo yao upo mikononi mwao. Sio kwa ngonjera za wanasiasa wanaofurahisha mabeberu kwa manufaa yao.
Maandamano yaitishwe nchi nzima kupinga huu uduwanzi wa kisiasa.
NAKAZIA HAPA.Wewe ni mfuasi wa UPINZANI ama upo ndani ya CCM lakini huzielewi falsafa za Rais,oky ukiamka asubuhi nenda kibaruani,ukipata Hela ziheshimu tumia kwa malengo.
Na hii sio rocket 🚀 kuijua hiyo nchi, wananchi wake ni wanalalama kwenye social media, ni mazuzu yalitojaa uoga na kutegemea watu wengine wawapiganieKuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
Unakubaliana naye?Kuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
Huu ni ukweli mtupu, na huyo mstaafu akatambua Hilo na akafanya jitiada za kuongoza Tena kwa mara nyingine kwa njia za kikoloni.Kuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
This is perfect term for all these cretinous animals called TanzaniansKuna Rais mmoja nimemsahau Jina pamoja ns nchi yake nimeisahau pia ( sasa Mstaafu ) alipewa Makavu ( aliambiwa ) na Rais Kagame wa Rwanda kuwa anaongoza Maiti tupu akimaanisha Mizuzu / Migoigoi isiyojielewa.
NANI ANAYAITISHA WEWE AU NANI?Watu wanalalama uraiani tu kwenye vijiwe vya kahawa kuwa maisha yapo juu. Mchele umetoka kwenye bei ya Tsh. 1300 mpaka 3800 baada ya Rais Samia kuingia madarakani. Huu ni mfano tu.
Sasa hivi tunaambiwa pesa za umma hasa huko serikalini zinatafunwa kama peremende.
Watanzania wanatakiwa kujua kuwa ukombozi wa matatizo yao upo mikononi mwao. Sio kwa ngonjera za wanasiasa wanaofurahisha mabeberu kwa manufaa yao.
Maandamano yaitishwe nchi nzima kupinga huu uduwanzi wa kisiasa.