Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Mbona Toka umeanza kulalamika hufi njaa ndio kwaanza unapanua Domo hapa? Kama unaona anafaidi sana na wewe Anza biashara ya chakula Ili ufaidike kama unafkiri ni rahisiJisemee nafsi yako, wewe na nani unazimudu hizo bei??, wewe utakuwa ni mfanyabiashara wa mahindi na mchele unapigia debe biashara yako huku wananchi tuliowengi tukiumia kwa vyakula muhimu kupanda bei.
Kapaniki huyoUnakosa weledi mkuu, Hili jukwa linahitaji hoja na si matusi. Mtu anaetumia matusi huwa nakuwa na mashaka nae kwenye kufikiri
Mbona Toka umeanza kulalamika hufi njaa ndio kwaanza unapanua Domo hapa? Kama unaona anafaidi sana na wewe Anza biashara ya chakula Ili ufaidike kama unafkiri ni rahisi
Huu mo mfano mmoja wa watu wajinga nchi hii. Ina maana huko ulipo umeme upo 24 7??Yapi hayo umeondolewa kwenye nafasi yako unatuingiza na sisi kwenye ujinga wako
Mjinga mwingine huyu.Leo nimefunga saluni yangu siku nzima kisa mgao wa umeme alafu unaongea utumbo ganiFanyeni kazi acheni uzwazwa nyie msiyopenda kujishughulisha ndio huwa mnaolialia hata mkilala njaa mnailalamikia serikali mkinyimwa unyumba mnailalamikia serikali mkiishiwa mnailalamikia serikali
Mjinga na matacle mwingine huyu.Huko kwenu maji yapo kwanza? Au una wiki haujaoga?Watangulize mke/mume na watoto wako[emoji16]
Ndio maana unapuuzwa.Watu wanalalama uraiani tu kwenye vijiwe vya kahawa kuwa maisha yapo juu. Mchele umetoka kwenye bei ya Tsh. 1300 mpaka 3800 baada ya Rais Samia kuingia madarakani. Huu ni mfano tu.
Sasa hivi tunaambiwa pesa za umma hasa huko serikalini zinatafunwa kama peremende.
Watanzania wanatakiwa kujua kuwa ukombozi wa matatizo yao upo mikononi mwao. Sio kwa ngonjera za wanasiasa wanaofurahisha mabeberu kwa manufaa yao.
Maandamano yaitishwe nchi nzima kupinga huu uduwanzi wa kisiasa.
Never beforeHalafu Samia ni fisadi piaπππ
View attachment 2567851
Kama ni kuandamana kupongeza haya makubwa sawa itaNinaita wazalendo wote na raia wema wote wenye nia njema na Tanzania tujikusanye kwa ajili ya maandamano kupinga yale yanayoendelea hapa nchini.
Machache mnoKama ni kuandamana kupongeza haya makubwa sawa ita
Toa uchafu wako hapa.Umeme kukatika hovyo, maji ya mgao, bidhaa muhimu kupanda bei, ufisadi, semina, hafla za pongezi na ziara zisizo na tija zinazokandamiza watanzania, ulambaji wa asali (kula kwa urefu wa kamba) tozo zinazoumiza watanzania, mikopo isiyo na ulazima n.k ni mambo mengi sana ya hovyo yanayozidi kukandamiza wananchi, hususan wa hali ya chini.Unapima upepo wa Samia eti?
ππππ Ukishakuwa tapeli lazima uvuje mapovu..Toa uchafu wako hapa.Umeme kukatika hovyo, maji ya mgao, bidhaa muhimu kupanda bei, ufisadi, semina, hafla za pongezi na ziara zisizo na tija zinazokandamiza watanzania, ulambaji wa asali (kula kwa urefu wa kamba) tozo zinazoumiza watanzania, mikopo isiyo na ulazima n.k ni mambo mengi sana ya hovyo yanayozidi kukandamiza wananchi, hususan wa hali ya chini.
Sio kweli, shusha bei ya dizeli inayotumika kusafirisha vyakula, pandisha petrol ili kutoathiri matarajio ya bajeti, ruhusu wafanyabiashara waingize chakula bila kodi (kile tu chenye uchache sokoni), ruhusu ghala la taifa kuuzia wafanyabiashara wa ndani ili kuongeza supply sokoni kama hatua za muda mfupi, muda wa kati kusanya vijana wa SUA waliomaliza kilimo, say 10 kila group liundie kampuni kwa hisa wape hektas bure, wadhaminiwe wapewe matrekta na SUMA, mbolea, mbegu, na mashine za umwagiliaji kwa mkopo, wape wataalam wa fedha na masoko, kundi moja Rufiji Mpunga, jingine Rukwa Mahindi, jingine Mbulu Ngano uone matokeoMfumuko wa bei uko duniani nzima, sasa unadhani ukiandamana ndio bei zitashuka?
Hapo ulipo umeshaoga kwanza? Au maji hayapatikani πππππ Ukishakuwa tapeli lazima uvuje mapovu..
Mitambo kama hii hapa imegawiwa Nchi nzima,never before
Uchumi wa kisanii huo subirini awamu yenu mtafanyaSio kweli, shusha bei ya dizeli inayotumika kusafirisha vyakula, pandisha petrol ili kutoathiri matarajio ya bajeti, ruhusu wafanyabiashara waingize chakula bila kodi (kile tu chenye uchache sokoni), ruhusu ghala la taifa kuuzia wafanyabiashara wa ndani ili kuongeza supply sokoni kama hatua za muda mfupi, muda wa kati kusanya vijana wa SUA waliomaliza kilimo, say 10 kila group liundie kampuni kwa hisa wape hektas bure, wadhaminiwe wapewe matrekta na SUMA, mbolea, mbegu, na mashine za umwagiliaji kwa mkopo, wape wataalam wa fedha na masoko, kundi moja Rufiji Mpunga, jingine Rukwa Mahindi, jingine Mbulu Ngano uone matokeo