Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

Kwa nia njema kabisa, Rais Samia mfute kazi Waziri Makamba

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Samia,una habari Nchi ipo gizani?

Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?

Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?

Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?


Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
 
Tumpe mda makamba ili akichemsha tumuome..cha muhimu serikali ionyeshe makataba wa kuchimba LNG gas kuwa sisi tutafaidika nini na wao watafaidika nini
 
Samia,una habari Nchi ipo gizani?

Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?

Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?

Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?


Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Ushahidi ni upi?
 
Samia,una habari Nchi ipo gizani?

Hivi unatambua umeme ni bidhaa adhimu mno Tanzania kote kwa sasa?

Una habari unapo kuwa kule batani ambapo sasa ndipo ulipopapenda wenzako huku wanajipigia tu pesa kwa kuainisha vi projects fulani fulani?

Natambua utakuwa nje ya Nchi zaidi katika Utawala wako lkn umejipangaje kuwajibu Watanzania kwa maswali na wasiwasi wao tele kukuhusu kama ndiwe ama yupo mwingine ajaye?


Samia,Makamba ni sumu kuvu ndani ya uRais wako mfute kazi mara moja.
Angeanza na Mwingulu nchemba
 
Ni kweli apewe muda lakini nahisi anahujumiwa maana hata leo kuna shida ya kure charge token network kwenye remote hakuna ni mwendo wa giza tu!
 
Wakati makamba anaingia tulisema zile thread muweke ukumbusho..mikataba yakipigaji imeshaanza kinachofuata Ni mikataba mingine inakuja...then mikataba hii itaambana na nyongeza ya gharama plus kesi za kulipa mabilioni..Ni suala la muda tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Fisi kupewa bucha unategemea nini..
 
Back
Top Bottom