Kwa nilichokiona, Wanaume kuweni makini na wanawake wenye watoto

Wala siwezi chukua ushaur huo mpaka kifo, Mwanamke atabaki nyumbani tosha, hoja za Robert zinagongana hazina mashiko zifuatilie
Zipo za kuchukua na zipo za kuziacha pia, usiishi kama yeye, ishi kama wewe.
Huweiz kua Robert Heriel Mtibeli kamwe, hivyo chukua cha kuhimu cha kipuuzi na kisichoendana na misimamo yako kiache.

Binafsi napenda mwanamke ambae hata nisipokuwepo familia itasimama, mimi sio mbinafsi kama wewe.
 
Rukwa hiyo ni kawaida
 
Sina Cha kuchukua kwake na siwezitaka kuwa kama yeyote Bali nipo kama nilivyo na ndo maana nasimamia niliposhika na hapawezi ng'oka, nasonga na dira yangu Wanawake watabaki nyumbani, hapa nimemalizana na wewe.
 
Mjuba umedandia mtumbwi wa vibwengo, sema vya bure kwa sasa hakuna kabisa wewe ilitakiwa uhudumie mrembo uyo isitoshe utelezi si unapata kama kawa we peleka moto tu ila angalia usije mzalisha mtoto wa tatu
 

Tupe namba wanaume, huyo anafaa sana, kulea tu watoto walioko kwao hakuna shida kabisa
 

Tupe namba wanaume, huyo anafaa sana, kulea tu watoto walioko kwao hakuna shida kabisa
 
Single mothers wana shida sana kwenye hii Dunia.

Wanaowapa mimba wanawakataa halafu bado lawama zinarudi kwa single mothers tena.

Wanawake wenye watoto popote mlipo nawatakia mafanikio kwenye pilika pilika zenu na utaftaji wenu.
Kwa kawaida lawama huwa anapewa mwenye matokeo

Mf Ukisoma shule ukafeli, lawama anapewa nani?
 
Single mother ni takataka Ambazo haitakiwi kabisa kukaa karibu nazo , kwanza wanamikosi hao usiombe ,
 
Gusa achia twende kwao
 
Hapo ilibidi usawazishe chap iwe 2-2 kwanza!!
 
Tulishasema humu kataa single Maza.

Yeyote atakaye kwenda kinyume, litako mkuta limkute, Akomae nalo, sio kuja hapa JF tena kulia lia kuomba ushauri.
unaandika kana kwamba huna kizazi , tena bora ukose kizazi kuliko uje upate mtoto wa kike aje kuwa zaidi ya single maza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…