Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mtoto wa kike unampa tahadhari na maonyo yote, Akiamua kwenda kinyume na akawa single mother, it's up to her. Ni juu yake.unaandika kana kwamba huna kizazi , tena bora ukose kizazi kuliko uje upate mtoto wa kike aje kuwa zaidi ya single maza
mbona mimi mmechelewa kuniambia!Tulishasema humu kataa single Maza.
Yeyote atakaye kwenda kinyume, litako mkuta limkute, Akomae nalo, sio kuja hapa JF tena kulia lia kuomba ushauri.
unampa tahadhari kwamba asiolewe au?Mtoto wa kike unampa tahadhari na maonyo yote, Akiamua kwenda kinyume na akawa single mother, it's up to her. Ni juu yake.
Mimi sitahusika tena.
Ukishapewa tahadhari halafu ukaenda kinyume, litakalo kukuta likukute. Utakomaa kivyako.
Nampa tahadhari zote kwamba kabla hajapata mtoto awe na mwanaume ambaye watahakikisha wanalea huyo mtoto kwa pamoja.unampa tahadhari kwamba asiolewe au?
Mkuu JF umejiunga juzi au?mbona mimi mmechelewa kuniambia!
acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maishaNampa tahadhari zote kwamba kabla hajapata mtoto awe na mwanaume ambaye watahakikisha wanalea huyo mtoto kwa pamoja.
Either wawe wameoana au hawaja oana. Huyo mtoto wahakikishe watamlea na kumpa huduma zote wao wenyewe.
Sio aje anisumbue sumbue mimi.
Kifo kina eleweka kwamba ni kifo. Hapo utapewa msaada.acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
Duh hatar bint alikuwa anafanya kaz?acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
Achana nao ndugu yangu hawa watoto wa 2000.wape miaka 10acheni kujidai, maana maisha hayana fomula hakuna cha ushauri mzuri wala nini,lolote laweza tokea katika maisha
kuna dada mmoja jiran,kaolewa na kijana mwenzanke baada ya mwaka kapata mtoto,mtoto akiwa na mwaka na nusu mwanaume kafariki kamuacha na mimba ya mwezi tumboni, muda huo huyo binti ana miaka 24 tu.
alikuwa hana kazi, sahv mtoto mkubwa ana miak 16, na mwingne 15 na anasomesha wote mwenyeweDuh hatar bint alikuwa anafanya kaz?
aaaaah taratibu basi wakuu ujue tulomzalisha ni siye haohao! na tukamtelekezaHivi unaakili timamu unawezaje kuweka takataka kama hiyo ndani
HujiaminiSina Cha kuchukua kwake na siwezitaka kuwa kama yeyote Bali nipo kama nilivyo na ndo maana nasimamia niliposhika na hapawezi ng'oka, nasonga na dira yangu Wanawake watabaki nyumbani, hapa nimemalizana na wewe.
Wewe kinachokuzuzua ni kuwa jamaa yako anahela.Hela sio kila kitu mzee. Hata ukiwa na hela sio lazima uwe na AKILI TIMAMU. Wengine wapo tu kwenye mkondo wa hela.Kuwa na akili timamu ni SUBJECTIVE.Ukiwa na pesa na mwanamke umempenda hayo ni mambo madogo sana tena unaweza mwambia awalete watoto wake hapo kwako
Kuna jamaa yupo vzur kipesa,alikuwa kaoa mke ambae hazai,akaja akakutana na demu pisi kweli yenye asili ya kinyarwanda,kaijengea na nyumba kabisa,sahv ameshamzalisha watoto wawili,yule binti alikuwa na watoto watatu kabla na jamaa anawahudumia vzur tu na likizo huwa anawaleta town anawanunulia kila kitu
Jamaa ana moyo wa ajabu sana,mungu atamzidishia
Haukumpenda kwa dhati na hauna hela tu.Hayo mengine ni puruzai.Yaani nimeopoa Dem mkali kuja kushtukia ana watoto wawili alafu ni 24 tu ukimuangalia ni msafi ukimuacha ndani unakuta mazingira safi chakula kizuri na.kana heshima ila ukimuacha tu inabidi umuachie hela ya matumizi ya ndani alafu atakwambia naomba hela nitume nyumbani wanangu wale yaani watoto wanamtegemea ukimuuliza baba yao yupo.wapi anakwambia kashaowa. Hivyo.hausiki na malezi ya watoto
Yaani nitoke niache 10,000 ,12000 mezani alafu nitoe tena 7000 atume kwao nikaona hapa sio pa kuweka kambi nikamwambia tu nna ugeni wa ndugu zangu hivyo aende kwao wakiondoka atarudi
Ingekuwa wewe ungekaa nimetimua mbio yeye.mwenyewe haamini kataa single mother kwa usalama wako
Hawajifunzagi haoUmemhukumu Bure tu!! huyo alikuwa ameshajifunza!! Alikuwa tayari kubadirika!! Hivyo ningekuwa mm , ningeishi nae tu.
Pure hateHivi unaakili timamu unawezaje kuweka takataka kama hiyo ndani