Kwa nini Lema anakanusha tuhuma nyingi sana lakini hajawahi kukanusha tuhuma za wizi wa magari!?

Kwa nini Lema anakanusha tuhuma nyingi sana lakini hajawahi kukanusha tuhuma za wizi wa magari!?

Lemma wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali.

Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa magari. Namsihi na hili pia aliongelee
Ni kibaka Kumbe!
 
Lemma wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali.

Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa magari. Namsihi na hili pia aliongelee
Nani kiongozi ashawahi itisha press conference yakusema Lema anahusika kuiba magari kama sio ma chawa wapumbavu na wajinga kama wewe mavi???
 
Lemma wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali.

Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa magari. Namsihi na hili pia aliongelee
Amestaafu kwenye wizi wa magari lakini utapeli hajaacha.

Lema na wenzake walifanikiwa kuiba magari, kwenye miji ya Nairobi,Mwanza a Arusha...hawakutiwa nguvuni either kwa sababu ya udhaifu wa vyombo vyetu vya dola.

Lakini hilo halimwondolei Kijana huyo jina la mwizi wa magari.
 
Nani kiongozi ashawahi itisha press conference yakusema Lema anahusika kuiba magari kama sio ma chawa wapumbavu na wajinga kama wewe mavi???
Tatizo kichwani una samadi ya binadamu, sio ubongo
 
Lemma wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali.

Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa magari. Namsihi na hili pia aliongelee
Wizi wa magari, na wizi mwingine, Polisi walitakiwa wamkamate, na mahama imtie hatiani.

Lema hajawahi kukamatwa na Polisi, hajawahi kukutwa na hatia ya wizi wa magari na mahakama yoyote.

Kifupi issue ya Lema kuhusishwa na wizi wa magari ni sawa na HADITHI ZA SUNGURA NA FISI.
Anafanya vizuri kutokuzungumzia vitu hewa ambavyo havipo..🤔🤔🤔🚴🚴
 
Wizi wa magari, na wizi mwingine, Polisi walitakiwa wamkamate, na mahama imtie hatiani.

Lema hajawahi kukamatwa na Polisi, hajawahi kukutwa na hatia ya wizi wa magari na mahakama yoyote.

Kifupi issue ya Lema kuhusishwa na wizi wa magari ni sawa na HADITHI ZA SUNGURA NA FISI.
Anafanya vizuri kutokuzungumzia vitu hewa ambavyo havipo..🤔🤔🤔🚴🚴
Siasa haihitaji ushahidi wa kiwango cha mahakama au sayansi ya kemia fizikia au baiolojia. Vijineno vinatosha kabisa
 
Amestaafu kwenye wizi wa magari lakini utapeli hajaacha.

Lema na wenzake walifanikiwa kuiba magari, kwenye miji ya Nairobi,Mwanza a Arusha...hawakutiwa nguvuni either kwa sababu ya udhaifu wa vyombo vyetu vya dola.

Lakini hilo halimwondolei Kijana huyo jina la mwizi wa magari.
Kuna tetesi Unayemuona ni BABAKO sio Babako, japo hakuna KIPIMO Cha DNA kilichofanyika.

He kwa logic Yako kuhusu Lema unakubali kuwa huyo Baba siyo Babako mzazi, isipokuwa Babako ni mwingine, Mamako ALIIBA ROUTE 😅😃😅🤣🤣🚴🚴🚴
 
Lemma wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali.

Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa magari. Namsihi na hili pia aliongelee
Akili huna wewe, kama Una ushahidi mahakama hujui zipo wapi?
 
Lemma wiki hii ametamba kwamba anaweza kuitisha press conference hata usiku wa manane kukanusha na kuelezea mambo mbalimbali.

Katika mambo ambayo Lemma katuhumiwa muda mrefu ni wizi wa magari. Namsihi na hili pia aliongelee
"Nikiwa na miaka 28 nilikuwa namiliki Daladala Hiace mbili ,voksi wageni moja ,restaurant na nyumba" - G Lema
 
Back
Top Bottom