chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
- Thread starter
- #61
Sio arrogance na pomposity, ni uwezo wangu mkubwa sana wa ki akili unaokufanya ujione inferiorMkuu utakuwa ulikuwa bingwa wa kukariri notices, ndo maana unawawazia wenzako nao wamekari notices😃😃
Ukweli unabaki ushahidi ni lazima uwe wa hakika, beyond reasonable doubt,ni hivyo b,acha POMPOSITY na arrogance hazikusaidii kitu