Huyo huyo unayemtaja kwenye hafla zake/zao mashoga wanatia timu...kuanzia wanamuziki,wabunifu wa mavaz nkkuishi na fedheha au aibu ni Tatizo la kiutimamu.
Tuungane Pamoja na Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kukemea utovu wa kimaadili kuanzia kwenye familia zetu π
Ni kuwaangalia tu Acha wanyanduane maana hakuna namnaAkuishi na fedheha au aibu ni Tatizo la kiutimamu.
Tuungane Pamoja na Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kukemea utovu wa kimaadili kuanzia kwenye familia zetu π
Rais Dr Samia Suluhu Hassan hawez kuja nyumbani kwako akakwambia wafundishe wanawe maadili mema. Tanzania ni familia yake, ina kila aina ya watoto wenye utovu wa kimaadili tofauti tofauti, na hata waliongia kwenye hali hiyo kama ndio mwanawe kwenye familia yako utamua au utamfanyeje?Huyo huyo unayemtaja kwenye hafla zake/zao mashoga wanatia timu...kuanzia wanamuziki,wabunifu wa mavaz nk
Vita vya ushoga tz ni unafki tu
Ova
Hapana, ni story of chargeHii nayo ni story of change?
mbona hili swala linakusumbua??Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.
Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Rais wetu nae ni ombaomba tu, Kila siku Yuko nje kuombasio ushoga tu ndio utovu wa kimaadili, hata kuomba omba kuchangiwa wakati una afya na nguvu za kufanya kazi, ni utovu wa kimaadili na tabia mbaya isiyofaa kutendwa na mTanzania mwenyewe akili timamu.....
yafaa sana wanainchi wote Tanzania, kumuunga mkono Rais comrade Dr.Samia Suluhu Hassan katika jitihada zake muhimu, za dhati na za makusudi, kukemea utovu wa kimaadili wa aina zote, katika ujumla wake na sio kuchagua fedhaha na aibu Fulani pekee. si sawa π
Ndy mpambane na hali zenu na malezi...Rais Dr Samia Suluhu Hassan hawez kuja nyumbani kwako akakwambia wafundishe wanawe maadili mema. Tanzania ni familia yake, ina kila aina ya watoto wenye utovu wa kimaadili tofauti tofauti, na hata waliongia kwenye hali hiyo kama ndio mwanawe kwenye familia yako utamua au utamfanyeje?
Jambo hili la aibu sio la kuskiza maelekezo kutoka kwa fulani. Ni kama ukimwi tu π
Rais wa Burundi kakemea ushoga, huko nje amekuwa a laughing stock mpaka wa late night TV comedians. Huko Tanzania watu hawajali haki za binadamu.
ni jukumu la familia na jamii nzima, ukizembea ktka familia yako aibu na fedheha itaanza kwenye familia kabla ya jamii na Taifa zima kwa ujumla ππNdy mpambane na hali zenu na malezi...
Ila watoto sahv wana713 sana
Vitoto vya kiume ukiviangalia
Life style zao syo kabisa
Ova
Mpk 2035 nchi itakuwa nyakanyakani jukumu la familia na jamii nzima, ukizembea ktka familia yako aibu na fedheha itaanza kwenye familia kabla ya jamii na Taifa zima kwa ujumla ππ
Huko ndiyo hTR..inasemekana ZANZIBAR ndio makao makuu ya ushoga hapa Tanzania.
Kwa nini unashindwa kujadili hoja bila kui personalize kwangu?We mwanao akiwa shoga unakubali na siku ya harusi yake unakwenda kama mzazi mwanao kijana wa kiume anaolewa, tuanzie kwanza hapo.
Hapana, si hivyo.Nchi za kimagharibi ni za kipuuzi sana
Kama uwongo ilikuweje mpaka leo mwakyembe na mwandishi habari yule bint , hawajawahi kuambiwa na serikali waombe msamaha labda kwa kutoa kauli za uwongo(ONYO)Na wanaishi nao
Ova
sifahamu ndugu mtafiti πMpk 2035 nchi itakuwa nyakanyaka
Ova
Unafikiri ilikuwa uwongoKama uwongo ilikuweje mpaka leo mwakyembe na mwandishi habari yule bint , hawajawahi kuambiwa na serikali waombe msamaha labda kwa kutoa kauli za uwongo(ONYO)