Tangu aapishwe Rais Samia amekuwa akihudhuria kila mualiko anaoupata kutoka nchi za nje na Jumuiya za Kimataifa. Lakini ajabu safari hii amemtuma Kassim ...
Samia ana poteza interest na siasa za kimataifa na kujikita zaidi kwenye siasa za ndani. Hususan kwenye kipindi hiki anapojiandaa na uchaguzi na kuona anapata upinzani mkubwa nchini.
Amejiona hana ushawishi kwenye siasa za kimataifa, kwa sababu kujenga ushawishi kunataka akili kubwa. Hawezi kuongelea na kuongoza hoja kubwa za kimataifa kama Nyerere alivyoongelea uhuru wa Africa, au nchi za kusini kuungana dhidi ya udhalimu wa kibeberu wa power structure ya dunia.
Samia alipewa nafasi ya kipekee kuongoza mazungumzo ya climate justice kwenye kikao cha Sharm el-Sheikh, Egyot, Climate Change Conference (COP 27). Sio tu Samia alishindwa kusimamia hoja hii muhinu kimataifa, hata aliporudi Tanzania, alishindwa kuwaelezea Watanzania kwamba alichaguliwa kuongoza mazungumzo haya muhinu. Matokeo yake, wenzetu wa Zambia walichukua fursa hii kupata dola za kinarekani mabilioni, karibu dola bilioni kumi, huku Tanzania ikiondoa bila deal la muhimu licha ya rais wetu kuongoza mazungumzo hayo.
Hata Samia alivyorudi Tanzania, Mkurugenzi wa habari wa Ikulu wa wakati huo, Zahra Yunus, katika press conference yake ya kuelezea mkutano huo, alifanya kile waandiahi wa habari wanachoita "burying the lead" kwa kuweka kimstari kimoja kidogo ndaaani kabisa ya press conference kuelezea Samia alivyoongoza, kinyoonge, kama walikuwa wanaficha kitu vile.
Samia hana agenda ya kimataifa. Sasa hivi anahaha kupigana na kina Mbowe na CHADEMA, anajipendekeza kwa machifu ambao hawana hata legal mandate Tanzania.
Anazua vita zisizo na sababu na mabalozi wa nje walio Tanzania. Ukimsikiliza unaona kabisa huyu ni rais ambaye shule yake iko chini sana na uwezo wake ni mdogo sana, na hajui anafanya nini, anataka kushika madaraka kwa nguvu halafu hajui hayo nadaraka ayafanyie nini zaidi ya kupiga hela na kujikimbikizia mali, na kutukana watu kwa siasa za majitaka na hotuba za mipasho tu.
Akienda UN atasema nini? Kajikuta like vibe la UN ni la hotuba za kifalsafa na geopolitics, yeye anapenda vibe la kusifiwa na chawa wake ambao huko UN hawapo.
Sasa aende UN kufanya nini wakati chawa wake wapo TZ?
Alisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Na alianza kama yuko tofauti na Magufuki, lakini sasa kafuata nyayo mbaya za Magufuli mpaka kukacha vikao vya UN.