Kwa nini Rais Samia hajaenda New York kuhudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa?

Kwa nini Rais Samia hajaenda New York kuhudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa?

Akisafir nongwa , asiposafiri nongwa pia...hiki cheo kinahitaji mtu mwenye roho ngumu aisee lelemama lazima isande🤣 huyu mama mpaka namuonea huruma aiseee
Urais ni jalala, kila ambaye maisha yanamshinda anadhani akikutukana ndio atapata ahueni ya kuishi kwa afadhali.

Mwingine akili hana kabisa lakini hizo hizo chache anazokuwa nazo anaamini akikutukana ataonekana ni mtu mwenye kueleweka maishani mwake.

Ni kazi ngumu sana kuongoza nchi iliyojaa watu wengi waliokata tamaa na wanaoelekea kukata tamaa muda wowote ule.
 
Urais ni jalala, kila ambaye maisha yanamshinda anadhani akikutukana ndio atapata ahueni ya kuishi kwa afadhali.

Mwingine akili hana kabisa lakini hizo hizo chache anazokuwa nazo anaamini akikutukana ataonekana ni mtu mwenye kueleweka maishani mwake.

Ni kazi ngumu sana kuongoza nchi iliyojaa watu wengi waliokata tamaa na wanaoelekea kukata tamaa muda wowote ule.
Hiki cheo ni kigumu sana mkuu watu tu hawaelewi, kuongoza watu zaidi ya mil60 si mchezo halafu mwanamke... Najua wanawake ni viumbe wanaoongozwa na mihemuko, hapo lazima ujikoroge
 
Watu wanaongoza zaidi ya watu bilioni moja sembuse milioni 60! Sema mfumo wa kutawala ni wa kibinafsi na kificho!
Uko sahihi mkuu, katiba ya nchi ni mbovu, wengi wanaokiwazia kiti hicho ni kwa ajiri manufaa yao binafsi
 
Hiki cheo ni kigumu sana mkuu watu tu hawaelewi, kuongoza watu zaidi ya mil60 si mchezo halafu mwanamke... Najua wanawake ni viumbe wanaoongozwa na mihemuko, hapo lazima ujikoroge
Kuongoza wajinga wengi ni tatizo, unakutana na upinzani mwingi hata katika masuala ya kawaida tu. Linakuwa ni taifa lenye kujaa ubishi wenye kusababishwa na elimu pamoja na upeo ulio mdogo.

Ujerumani kwa miaka kumi na tano ilikuwa na waziri mkuu mwanamke na kila kitu kilienda kama kilivyopaswa kwenda.

Hii nchi inahitaji vichwa ngumu mfano Marehemu JPM, aliiweza sana. Inahitaji mtu kauzu pale ikulu.
 
Kuongoza wajinga wengi ni tatizo, unakutana na upinzani mwingi hata katika masuala ya kawaida tu. Linakuwa ni taifa lenye kujaa ubishi wenye kusababishwa na elimu pamoja na upeo ulio mdogo.

Ujerumani kwa miaka kumi na tano ilikuwa na waziri mkuu mwanamke na kila kitu kilienda kama kilivyopaswa kwenda.

Hii nchi inahitaji vichwa ngumu mfano Marehemu JPM, aliiweza sana. Inahitaji mtu kauzu pale ikulu.
Hawa wananchi wajinga wamezalishwa na serikali ipi mkuu
 
Hawa wananchi wajinga wamezalishwa na serikali ipi mkuu
Serikali yetu inapenda sana wananchi wajinga kwa kuwa ni rahisi kuwatawala, kuwaburuza, kuwarubuni na kuwaibia! 😭😭😭
 
Akisafir nongwa , asiposafiri nongwa pia...hiki cheo kinahitaji mtu mwenye roho ngumu aisee lelemama lazima isande🤣 huyu mama mpaka namuonea huruma aiseee
Anavyopenda kusafiri unadhani asingekwenda huko?
Amejichanganya kwa hiyo anaogopa.
 
Tangu aapishwe Rais Samia amekuwa akihudhuria kila mualiko anaoupata kutoka nchi za nje na Jumuiya za Kimataifa. Lakini ajabu safari hii amemtuma Kassim Majaliwa kumuwakilisha na badala yake yuko Songea kuhudhuria tamasha la utamaduni!

Je ameogopa maandamano ya yule dada Mange ambaye alikuwa anamsubiri kwa hamu ampe makavu live?

Je ameogopa maswali magumu kutoka kwa waandishi nguli wa kimataifa wa habari kuhusu kuminya demokrasia nchini?

Je ameogopa viongozi wenzake wa kimataifa kuanza kumtilia shaka kuhusu uwezo wake wa kuongoza nchi?
CHADEMA mnavieleele aiseee! Mmemsaliti mwenyekt wenu bado mnamchokoza Amir jeshi mkuu
 
Anasubiri ili sakata la Diddy lipite
 
Labda mkoba umekauka vidola vya safari za nje!!
 
More often than not kwenda UN ni kwenda kusocialize na kupiga picha tu kwa marais wa nchi nyingi. Kuna marais kadhaa huwa hawaendi kabisa huko. That being said, SSH alikua anaenda hapo awali that begs a qn why a sudden U-turn?
 
Tangu aapishwe Rais Samia amekuwa akihudhuria kila mualiko anaoupata kutoka nchi za nje na Jumuiya za Kimataifa. Lakini ajabu safari hii amemtuma Kassim Majaliwa kumuwakilisha na badala yake yuko Songea kuhudhuria tamasha la utamaduni!

Je ameogopa maandamano ya yule dada Mange ambaye alikuwa anamsubiri kwa hamu ampe makavu live?

Je ameogopa maswali magumu kutoka kwa waandishi nguli wa kimataifa wa habari kuhusu kuminya demokrasia nchini?

Je ameogopa viongozi wenzake wa kimataifa kuanza kumtilia shaka kuhusu uwezo wake wa kuongoza nchi?
Alisema serikali yake si ya samaki.
 
Siyo kweli, mama Rais Samia mialiko anayohudhuria nchi za nje ni kidogo sana kuliko asiyohudhuria.
. Akisema ahudhurie mialiko yote hatutamwona Tanzania.

Nani alikudanganya?
Acha uongo ulisomea ujinga shuleni
 
Back
Top Bottom