Kwa nini Tanzania hatuna selftaught programmers wenye mafanikio makubwa ?

Kwa nini Tanzania hatuna selftaught programmers wenye mafanikio makubwa ?

Tatizo li wapi maana taaluma ni ile ile lakini miaka yote hii hatuna watu kama kina gates & steven jobs
Naamini unaposema self taught Programmer unamaanisha hawana Formal University degree ya computer science au related field.
Muundo wa elimu ya Tanzania sio sawa na nchi za wenzetu lakini pia exposure ya Watanzania wa kizazi ya 90s wengi wetu hatukuwa exposed na computer kabisa mpka labda tulipofika High school.
Wakina Billgates wameanza kutumia first versions za computer kabisa, huku wakifundishwa mpaka namna ya ku print basic commands na kufanya some basic mathematics operations.

Nacho jaribu kusema ni kwamba akina Billgates unaowaita ni self taught, wameanza kuwa exposed na BASIC tokea wakiwa high school.

Kwa Tanzania High schools zinazofundisha programming/basics za computer science ni chache sana...kuna classmate wangu kasoma Loyola kama sijakosea cheti chake kina Basics of Computer science.

Lakini pia soko la teknolojia Tanzania linawa exclude kabisa watu wasio kuwa na formal education, angalia hata job posts nyingi.
Ila self taught programmers wapo Tanzania, the issue ni ku excel of which haukipimiki maana hata hawafahamiki
 
Tatizo li wapi maana taaluma ni ile ile lakini miaka yote hii hatuna watu kama kina gates & steven jobs
Job Alikuwa ni mjasiriamali, woz ndio alikua Brain behind.

Na mbona Marehemu Ali mufuruki Alikuwa vizuri tu na comparable na hao jamaa? Alikuwa na visions zake jinsi Africa ilivyotakiwa kuwa operated na Alikuwa chairman wa Board za vodacom na Wananchi holdings (pia alimiliki Asilimia kadhaa)

Moja ya vitu alivyotuachia ni Fiber ya Zuku ambayo kwa muono wangu ni moja kati ya vitu vizuri kabisa kutokea kwenye Tasnia ya Technology Tanzania. Na Hata Vodacom somehow ni most Reliable Network.

Hata kwenye Ukwasi jamaa Alikuwa vizuri, si level za Kina Bill Gate ila Alikuwa na hela Za kumuita millionaire na Mara kwa Mara Alikuwa akitajwa kwenye list ya watu 10 wenye Hela zaidi Tanzania.
 

Kuwa na watu kama Bill na hao wengine ni ngumu ndugu

Kwanza katika tech industry sisi status yetu kama nchi naweza sema ni ya viwango vya chini kabisa coz we only import technologies

Sema kuna jamaa mmoja alisema usije mfananisha drop out wa Havard na graduates wa college nyingine

Issue iko hivi ukijifundisha mwenyewe kuprogram muhimu uwe na mtaji ili uweze kujenga empire yako jambo ambalo ni changamoto, na kama si hivyo basi upate ajira na linapokuja jambo la ajira, they(employers) need certificates ndio mfumo wa ajira zetu otherwise uwe exceptional kwenye hiyo field but who cares!

Again ili uweze kumake money kama self taught programmer utahitaji ata uzijue concept nyepesi za networking and probably you need to know the hardware part of a computer na kama hii itaprove right, basi itabidi utumie mda mrefu kitu ambacho sio rafiki kwa maisha ya wengi hapa tz
 
Job Alikuwa ni mjasiriamali, woz ndio alikua Brain behind.

Na mbona Marehemu Ali mufuruki Alikuwa vizuri tu na comparable na hao jamaa? Alikuwa na visions zake jinsi Africa ilivyotakiwa kuwa operated na Alikuwa chairman wa Board za vodacom na Wananchi holdings (pia alimiliki Asilimia kadhaa)

Moja ya vitu alivyotuachia ni Fiber ya Zuku ambayo kwa muono wangu ni moja kati ya vitu vizuri kabisa kutokea kwenye Tasnia ya Technology Tanzania. Na Hata Vodacom somehow ni most Reliable Network.

Hata kwenye Ukwasi jamaa Alikuwa vizuri, si level za Kina Bill Gate ila Alikuwa na hela Za kumuita millionaire na Mara kwa Mara Alikuwa akitajwa kwenye list ya watu 10 wenye Hela zaidi Tanzania.
Unachanganya mambo.
Jamaa anazungumzia programmers in coders, wewe unazungumzia investors in technology.
Ali alikuwa investor sio programmer.
 
Unachanganya mambo.
Jamaa anazungumzia programmers in coders, wewe unazungumzia investors in technology.
Ali alikuwa investor sio programmer.
Na mimi nimemtaja huyo baada ya kumuelezea Job, mtoa mada amemtaja Job, role ya Job na Mufuruki ni moja.

Na Mufuruki si investor tu, kabla ya ku invest kwenye wananchi cable alikua tayari Chairman, hivyo alipewa role ya kumake decision na kui shape kampuni kabla hata haja invest.

Na pia Mufuruki ni programmer alivyomaliza Elimu yake Ujerumani alikuwa ni Programmer wa magari amefanya kazi Benz kabla ya Kuacha kazi na kurudi Tanzania na akawa Founder WA Infotech.

Na Infotech inadili na mambo mengi ya ICT inapewa Tenda mbalimbali ikiwemo serikali, waliwahi kuwa na Tenda ya Zain (Airtel) na wengineo.

Vyovyote utakavyoweka Historia ya jamaa haina Tofauti na wajuu waliotajwaa.
 
Na mimi nimemtaja huyo baada ya kumuelezea Job, mtoa mada amemtaja Job, role ya Job na Mufuruki ni moja.

Na Mufuruki si investor tu, kabla ya ku invest kwenye wananchi cable alikua tayari Chairman, hivyo alipewa role ya kumake decision na kui shape kampuni kabla hata haja invest.

Na pia Mufuruki ni programmer alivyomaliza Elimu yake Ujerumani alikuwa ni Programmer wa magari amefanya kazi Benz kabla ya Kuacha kazi na kurudi Tanzania na akawa Founder WA Infotech.

Na Infotech inadili na mambo mengi ya ICT inapewa Tenda mbalimbali ikiwemo serikali, waliwahi kuwa na Tenda ya Zain (Airtel) na wengineo.

Vyovyote utakavyoweka Historia ya jamaa haina Tofauti na wajuu waliotajwaa.
Bosi.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Ali na Job.
Job alikuwa ni hands on stakeholder kwenye tech business, Job alikuwa ni CEO, alikuwa yuko engaged na day to day businesses kuanzia, Job alikuwa anaingia lab na kuinteract na engineers.

Ali alikuwa ni investor au staeholder at Board level. He was more of a business strategist, hakuwa na technical know how ya technology,
alifanya kazi benz, well, sababu alikuwa mechanical engineer not a computer somebody.

Hata hizo tender za zain, serikalini zikuwa ni trading, ama alikuwa anasupply upward au down ward.

Yeye Mwenyewe alikuwa anasema yeye ni muuza nguo, sasa kuja kumuweka chumba kimoja na steven kwa kweli hatutakuwa tunatenda haki.
 
Bosi.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Ali na Job.
Job alikuwa ni hands on stakeholder kwenye tech business, Job alikuwa ni CEO, alikuwa yuko engaged na day to day businesses kuanzia, Job alikuwa anaingia lab na kuinteract na engineers.

Ali alikuwa ni investor au staeholder at Board level. He was more of a business strategist, hakuwa na technical know how ya technology,
alifanya kazi benz, well, sababu alikuwa mechanical engineer not a computer somebody.

Hata hizo tender za zain, serikalini zikuwa ni trading, ama alikuwa anasupply upward au down ward.

Yeye Mwenyewe alikuwa anasema yeye ni muuza nguo, sasa kuja kumuweka chumba kimoja na steven kwa kweli hatutakuwa tunatenda haki.
Unazungumzia Ali wa 2000s Soma Historia yake 1970s mpaka 2000s.


Miaka ya 2000 tayari ana Hela Ndefu ndio maana ukaona tayari anafanya uwekezaji Mkubwa.

Na mkuu unafikiri unaweza ukawa wa kawaida tu kupewa Uchairman makampuni kibao ya Kimataifa Tena kwa muda mmoja? Unahitaji Historia fulani hivi ya ukweli kuaminiwa na makampuni kama haya.

Ali amesoma Reutlingen huko Ujerumani walikuwa wanafunzi 48, lakini mpaka wanamaliza waliobaki ni 24 tu wengine walifeli, na kati ya hao 24 ni 8 tu ndio walichukuliwa na Daimler (watengenezaji wa Benz na yeye akiwa kama programmer.

Hivyo alianza kama mwajiriwa kwa miaka miwli kabla ya ku rudi Tz na kujiajiri.

Kipindi hicho cha 80s na 90s Ali hustle kama wengine kuji establish. Na sio tu kwamba alikuwa na hela na kuanza ku invest.
 
Sijajua aina gani vijana unakutana nao lkn mm naona ilo litabadilika hivi karibuni

Kama wiki 3 au 4 ivi vyuma nilialikwa sehemu kuna project ya digital insurance ilikua inafanyika yan kwa mfano mm na mpango wa kusafiri kwenda india nakata bima yangu online ikitokea nimeugua au chochote ile bima yangu itanisaidia. Pia ivyo ivyo kwa watalii wanao kuja huku africa huko walipo wanaweza ku kata bima. Pia nikaona card zao za bima zana contain health profile yako labda mtu amedondoka gafla ile kadi yako ikofika hospitalini waki scan wanaweza kujua dawa za mwisho ww kutumia, group la damu, contact za docta wako, presha nk. Kusema ukweli jinsi nilivyoona documentation zao project jinsi ilivyo kwa miaka 2 au 3 mbele sijui watakuwa wamefika wapi. Mm mwenyewe na mpango we kupata ata 20% ya firm yao

Pia mwaka jana mwishoni nilipata kuongea na wanafunzi wa udsm hawa majamaa wana mpango we kufanya virtual simcard

Mm mwenyewe hapa mungu akitujalia uzima by 2023 tutaanza development ya digital bank. Nikisema digital bank simaanishi digital wallet yani miaka ya baadae utakua huna haja ya kuwa na account ya benk crdb, nmb sijui exim
 
Sijajua aina gani vijana unakutana nao lkn mm naona ilo litabadilika hivi karibuni

Kama wiki 3 au 4 ivi vyuma nilialikwa sehemu kuna project ya digital insurance ilikua inafanyika yan kwa mfano mm na mpango wa kusafiri kwenda india nakata bima yangu online ikitokea nimeugua au chochote ile bima yangu itanisaidia. Pia ivyo ivyo kwa watalii wanao kuja huku africa huko walipo wanaweza ku kata bima. Pia nikaona card zao za bima zana contain health profile yako labda mtu amedondoka gafla ile kadi yako ikofika hospitalini waki scan wanaweza kujua dawa za mwisho ww kutumia, group la damu, contact za docta wako, presha nk. Kusema ukweli jinsi nilivyoona documentation zao project jinsi ilivyo kwa miaka 2 au 3 mbele sijui watakuwa wamefika wapi. Mm mwenyewe na mpango we kupata ata 20% ya firm yao

Pia mwaka jana mwishoni nilipata kuongea na wanafunzi wa udsm hawa majamaa wana mpango we kufanya virtual simcard

Mm mwenyewe hapa mungu akitujalia uzima by 2023 tutaanza development ya digital bank. Nikisema digital bank simaanishi digital wallet yani miaka ya baadae utakua huna haja ya kuwa na account ya benk crdb, nmb sijui exim
What is virtual sim card.
 

Kuwa na watu kama Bill na hao wengine ni ngumu ndugu

Kwanza katika tech industry sisi status yetu kama nchi naweza sema ni ya viwango vya chini kabisa coz we only import technologies

Sema kuna jamaa mmoja alisema usije mfananisha drop out wa Havard na graduates wa college nyingine

Issue iko hivi ukijifundisha mwenyewe kuprogram muhimu uwe na mtaji ili uweze kujenga empire yako jambo ambalo ni changamoto, na kama si hivyo basi upate ajira na linapokuja jambo la ajira, they(employers) need certificates ndio mfumo wa ajira zetu otherwise uwe exceptional kwenye hiyo field but who cares!

Again ili uweze kumake money kama self taught programmer utahitaji ata uzijue concept nyepesi za networking and probably you need to know the hardware part of a computer na kama hii itaprove right, basi itabidi utumie mda mrefu kitu ambacho sio rafiki kwa maisha ya wengi hapa tz
Afu watu wanamchukulia poa Bill gates,ukiachana na yeye kua kichwa hata familia yao walikua Ni matajiri tu wa miaka hio.Dingi ake alikua anamiliki(partner) wa Law firm iliyokua Kwny top 10 ya law firm kubwa US,maza ake nae alikua fresh kifedha.Hapo hata family support inakuwepo kiaina.
 
Back
Top Bottom